Wakuu tukumbushane vifo hivi & kuumwa:walidai haki za Watanzania

Unaficha nini funguka
Balali mzima kabisa wala hajafariki dunia msidanganywe wakuu, fuatilieni mkasa wa Marehemu profesa mmoja wa UDSM aliyemwona sehemu moja hapa hapa duniani kisha akampa taarifa rafiki yake alokuwa akifanya kazi TISS ni yapi yalomkuta!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom