ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,279
- 22,012
Unaficha nini funguka
Balali mzima kabisa wala hajafariki dunia msidanganywe wakuu, fuatilieni mkasa wa Marehemu profesa mmoja wa UDSM aliyemwona sehemu moja hapa hapa duniani kisha akampa taarifa rafiki yake alokuwa akifanya kazi TISS ni yapi yalomkuta!!!!!