Daud Balali je?
Mzee umenikumbusha! Kwangu mimi hii ndiyo mama ya yote (mother of all).
Lakini pia tusimsahau mtangulizi wake Gilman Rutihinda!
Daud Balali je?
Daud Balali je?
Mzee umenikumbusha! Kwangu mimi hii ndiyo mama ya yote (mother of all).
Lakini pia tusimsahau mtangulizi wake Gilman Rutihinda!
Daud Balali je?
Mimi au??!Kwahyo Ttozi bweka nae kaumia?
[/COLOR]
Huyu ngoma ilmwondoa, enzi hizo unyanyapaa ulikuwa wa hali ya juu, watanzania wlikuwa hawafi kihivyo bali walikuwa wanakufa kwa TB, Typhod, kansa, matizo ya figo n.k Huyu mzee Rutihinda walisema alikufa kwa kansa ya kongosho au kiswahili kingine ni wengu au Pancreas ukipenda hii ni mafuta fulani chini ya tumbo. Kaburi lake liko mjini Ngala limejengewa pamoja na nduguze watatu mmoja nai mtoto wake Alex. Mkaburi hayo yalivyotengenezwa mwanangu ni kivutio cha watalii.
Mimi au??!
Nicas Mahinda
Jwani Mwaikusa
Michael Okema
HUYU NI MZIMA WA AFYA NA PLASTIC SURGERY YAKE....angebakia hai ki ukweli na kukamatwa kuhusiana na EPA the top Leaders in CCM & Gvt wote wangekuwa kesi maana kuna walipochukua ki-ukweli kuna waliotumika ama majina yao na baadae kuingizia ama kulipwa ktk account zaop ama za watoto wao na baadae kuelezwa ukweli. So BALALI IS SOMEWHERE HIDING ENJOYING NA KUNA UWEZEKANA MKUBWA HATA HAPA TZ ANAOINGIA NA KUTOKA WA-tz ni wapumbavu saaaana lakini si WAJINGA.
Hivi kweli AC naye alikuwa na nini cha kuwafanya wamuondoe kama mnavyotaka tuamini??
1.Sokoine
2.Kolimba
3.Malima
4.Kombe
5.Nyerere
6.Chifupa
7.Salome
8.Balali
9.Rutihinda
ANAYEUGUA.
Mwakyembe (Dr.)
NAAM, TUENDELEE KUKUMBUSHANA ZAIDI
3. Prof Chachage (UDSM - aliporudi toka kwenye utafiti Kibaha) ?
.
1.Sokoine - Ajali baada ya kugongwa na Dumisan Dube
2.Kolimba - Mshituko wa moyo - CCM haina vision kumbe ina vision
3.Malima - Mshituko wa Moyo - Baada ya kugundua kwamba NRA haina uwezo wa kumwingiza ikulu
4.Kombe - Mistaken identity baada ya kufananishwa na white
5.Nyerere - Aliugua Leukemia na kila mtu analijua hili
6.Chifupa - Aliugua
7.Salome - Ajali ya kawaida huko Njombe