Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 8,476
- 26,662
😅😅😅😅Nlimtafuta tukaaa tukaongea yakaishaKwahiyo baada ya hapo makande yakawa hayashuki, ukila unahisi unakula mawe 😂
😅😅😅😅Nlimtafuta tukaaa tukaongea yakaishaKwahiyo baada ya hapo makande yakawa hayashuki, ukila unahisi unakula mawe 😂
Hapo safi na maisha yakaendelea.😅😅😅😅Nlimtafuta tukaaa tukaongea yakaisha
Shangaa nawee mwenzangu hapo.Yaani me nikiona mtu yoyote anateseka na mapenzi namuona mzembe sanaaaa
Duniani tuko watu bilion 7+ utakubalije uteseke kwa sabab ya mtu mmoja?
Ko Gari zima mlikua wanaume tupuu? WoiiiiihSiku, moja tuko ndani ya gari dereva alikuwa dada mmoja hivi basi tukapigwa mkono na traffic wa kike alikuwa pisi kwa kweli kakaja kwa dereva wetu kakamwambia dada mbona una speed hivo na umebeba viumbe wachache na adimu sana, hebu wapeleke taratibu hawa viumbe ni wa thamani sana. Hii kauli ya huyu afande inanipaga kiburi kwenye mapenzi hadi sasa
Pointhisia za mapenzi kwa kiasi kikubwa hubebwa na nyege!,ukiwa na nyege kali hautaacha kumuwaza unaempenda sasa kazitoe utamsahau yani kikubwa hakikisha haukai na upwiru usikaenao...!
Una uhakika wewe ni mtoto wa kiume na mbolo yako inasimama dede bila kipingamizi ?
Kama majibu yako ni ndiyo, kwani unakumbatia tabia za watoto wa kike ?
Unataka upelekwe kwa PDidddy ?
Kwa nn mkuuUsiruhusu kua na mpenzi sehemu za kazi, mitaa unayoishi, nyumba unayoishi, darasa moja and stuff like that. Fanya utafiti utakuja kunishukuru. Usiwinde maeneo ya nyumbani
🤣🤣Sema nlinyookaHapo safi na maisha yakaendelea.
Naelewa mkuu nmepitia hayo ni shida.🤣🤣Sema nlinyooka
Huyo alishaamua kukumwaga muda ni vile ulichelewa kujua.Nilikuwa ninakimchepuko changu kidogo kidogo hivi nilikuwa na kikubali sana maana tulikuwa tunapika na kupakua, dah! Sikumoja nakuta kinaongea na mshikaji nakiuliza nan huyo kinasema sio mtu wangu nikajisemea huu ni upuuz huyu dem anamshikaji.
Siku moja nikakiomba shoo kikawa kinanizingua zingua nikajisemea huyu dem amesha liwa kiboga sasa napita hivi nayeye kapita hiv, sasa ni mwez sijamtafuta hajanitafuta sibembelezagi mapenzi mm.
We huyo rafiki aliye kuja kuomuombea msamaha ungemla tu.WAKUU SIJUI NI MTEGO KAMTUMA RAFIKI YAKE AJE KUMUOMBEA MSAMAHA LEO NIKAMJIBU KWAN HAWEZ KUJA MWENYEW WAKAT TUNATOK KAZIN KANIFWATA ET ANAOMBA MSAMAHA SASA WAKUU NIMSAMEHE AU NIMTESE KWANZA
Yeah! Nikwel sasa namm nimempotezea wala sijahangaika nae kila mmoja na maisha yake.Huyo alishaamua kukumwaga muda ni vile ulichelewa kujua.
Una umri gani?WAKUU SIJUI NI MTEGO KAMTUMA RAFIKI YAKE AJE KUMUOMBEA MSAMAHA LEO NIKAMJIBU KWAN HAWEZ KUJA MWENYEW WAKAT TUNATOK KAZIN KANIFWATA ET ANAOMBA MSAMAHA SASA WAKUU NIMSAMEHE AU NIMTESE KWANZA
Inajishughulisha na mapenz mkuuHiyo ofisi yenu mnayoruhusu kuwa na wapenzi kazini inajishughulisha na shughuli gani?