umepata mdau karibu chuo kikuu.. Huko kwingine da!
Hiyo S ya physics sio tatizo kweli???
Phy-S , chem-D na maths-B (div 2.12) .... Naeza pata civil engeneering udsm????
Phy-S , chem-D na maths-B (div 2.12) .... Naeza pata civil engeneering udsm????
omba haraka,tena ukipata DIT utapata raha sana,utasoma kwa raha na zaidi utaiva kwenye fani
kuna vitu viwili vya msingi kwenye choise
1. Ni jumla ya points katika masomo yako,
2. Principals mbili ktk comb yako,
sasa jamaa ana point b(4) d(2) s(0.5)= 6.5
na principal anazo mbili, so hapo s ya physics haina effect