Uliwaza nini mkuu?Wakuu hivi kuna mtu ameishawahi kukutana na mwanamke ananunua nyembe dukani?
mimi sijawahi aisee,lakini cha kushangaza unakuta nyeti zao safi kama sakafu ya tiles,hawa viumbe ni wasiri sana khaaa!
Mkuu umejuaje kama hawanunui nyembe? Kwani wewe ni muuza nyembe? Je wewe pekee ndiyo unauza nyembe?Wakuu hivi kuna mtu ameishawahi kukutana na mwanamke ananunua nyembe dukani?
mimi sijawahi aisee,lakini cha kushangaza unakuta nyeti zao safi kama sakafu ya tiles,hawa viumbe ni wasiri sana khaaa!
Ndie mimi....nilipiga chata mkoa mzima Rass Jeff Kapita......hizo chata zipo toka 1993ras jeff hii chata ilikuwepo sana mbeya maeneo ya soko matola miaka ya 2000 wakati nasoma nyada zile...ndio wewe au ulilipenda tu jina mkuu?