Nimekutana na msichana flani hvi jana,tukabadlishana namba zetu za simu!cha kushangaza eti leo ananitumia tafadhali niongezee salio..ni halali kweli ukzngatia hata cjatupa nyavu bado?
Yuko sahihi kabisa hataki akupe nyavu kabla hajapata uhakika kama una hela wewe, lazima u demonstrate financial power yako ndipo akupende. Sasa dola ushaanza kulalamika akiomba corola je? tuachieni wazee nyie hamuwezi.
Nimekutana na msichana flani hvi jana,tukabadlishana namba zetu za simu!cha kushangaza eti leo ananitumia tafadhali niongezee salio..ni halali kweli ukzngatia hata cjatupa nyavu bado?
Mpigie cm hyo binti na umshukuru kwa kukuonyesha yy ni wa aina gan?
Nimekutana na msichana flani hvi jana,tukabadlishana namba zetu za simu!cha kushangaza eti leo ananitumia tafadhali niongezee salio..ni halali kweli ukzngatia hata cjatupa nyavu bado?
Mtumie Vocha kiasi cha Sh. 5000 halafu mu"observe" kiasi gani atatumia kukupigia wewe; Inatosha kuwa Jibu.