Nimeipenda hilo shushuYuko sahihi kabisa hataki akupe nyavu kabla hajapata uhakika kama una hela wewe, lazima u demonstrate financial power yako ndipo akupende. Sasa dola ushaanza kulalamika akiomba corola je? tuachieni wazee nyie hamuwezi.
Yuko sahihi kabisa hataki akupe nyavu kabla hajapata uhakika kama una hela wewe, lazima u demonstrate financial power yako ndipo akupende. Sasa dola ushaanza kulalamika akiomba corola je? tuachieni wazee nyie hamuwezi.
Nimekutana na msichana flani hvi jana,tukabadlishana namba zetu za simu!cha kushangaza eti leo ananitumia tafadhali niongezee salio..ni halali kweli ukzngatia hata cjatupa nyavu bado?[/QUO
Kwani unataka Ndoa? Dogo usipende vya bure, Lipia vaucher mmbandue usepe...Demu keshakusoma wewe unataka kumpotezea muda tuu umdanganye. Sawa?