- Thread starter
- #41
Mwamba kweli kweli Dan Martin Nataniel Dahlin huyu aliiwezesha Sweden kushika nafasi ya tatu kwenye World Cup ya 1994.Niliangalia kwenye Kibanda-Umiza kwa Binamu yangu Deo Matengelele Visiga Kibaha. Kulikuwa na Mzee anakuja na tv na antena yake na kuonyesha mpira pale kupitia ITV.
Mashindano yale kiujumla yalikuwa bora hata kwa Cameroon ya mkongwe wa miaka 42 Roger Milla. Kulikuwa na bingwa wa kufunga magoli ya kichwa...mtu mweusi mmoja wa Sweden akiitwa Darlin.
Vya kale ni dhahabu kwakweli...
Alikuwa fundi kweli kweli.