Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 2,959
- 6,097
Job true true! 😆😂🤣...Una matatizo ya problem.Vikongwe, Uzi wenu huu msiupuuze.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Job true true! 😆😂🤣...Una matatizo ya problem.Vikongwe, Uzi wenu huu msiupuuze.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Kutoka ''welfare'' mpaka ''olofea'' mlitisha sana.Tulikua tunaziita gulbit sijui ni sawa make maneno ya enzi hizo bana kuna mahali tulizoea kupaita olofea nmekuja kuwa mzee ndo najua kumbe ilikua welfare 🤣🤣🤣
Haha!...Kutoka ''welfare'' mpaka ''olofea'' mlitisha sana.
Ni yale yale ya ''seal tape'' mpaka ''solotepu''
Hapana, kituo kilikuwa ITV baada ya kuwazidi kete Wahindi wa CTN na DTV, hii ilifanya Mengi atishiwe kuuawa hadi akapewa ulinzi na serikali...Daaaaaaaaaah nakumbuka kuna kituo kilikua kinaonesha hizi mechi nadhani CTN enzi hizooo
ulimwengu usio na stressUlikuwa unaishi kwenye ulimwengu mwingine kabisa.
Umenikumbusha. ITV zamani walikuwa wanaonyesha ligi ya Uingereza. Bure kabisa. Enzi Arsenal ikiwa na wachezaji kama kina Overmass, Tony Adams, etc...Uwanja wa Sabasaba Kilwa Rd pale ndani kulikuwa na TV kibao kwenye mabaa ITV ikionyesha na Roberto Baggio akakosa penalty.
Ulimwengu usio na stress na usio na hizi raha za dunia. Ukaamua kuja kupata raha na stress, huwa haziachani, endless circle.ulimwengu usio na stress
Hata hizi Champions League ilikuwa free tu unaangalia ITV kupitia CFI - France International chini ya udhamini wa Total......Umenikumbusha. ITV zamani walikuwa wanaonyesha ligi ya Uingereza. Bure kabisa. Enzi Arsenal ikiwa na wachezaji kama kina Overmass, Tony Adams, etc...
Magomeni kwa marehemu sheikh YahayaWakongwe habari!
Nimepata kumbukumbu za Fainali za Kombe la Dunia mwaka 1994, wakati huo nilikuwa nipo shule ya Msingi.
Mechi za mashindano haya nilizingalia Jet Club (ilikuwa ndani ya eneo la Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere International Airport wakati ule ulijulikana kama Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam - Dar es Salaam International Airport.
Watu wengi waliokuwa wakiishi Kipawa na Kiwalani hapa ndio eneo la kwenda kuangalia mpira hasa kwa wale ambao walikuwa na ndugu ama marafiki wanaofanya kazi uwanja wa ndege.
Miaka ile uwanja wa ndege haukuwa na uzio wa ukuta kama ilivyo sasa.
Fainali ilipigwa Rose Bowl, katika jiji la Pasadena, California
Mechi ilichezwa kwa dakika 120 mpaka kwenye mikwaju ya penati. Brazil ikishinda kwa 3 na Italia kupata penati 2
Uliangalia mechi ya fainali ukiwa wapi?
Yeah...Tmk, Tandika, Chang'ombe, Kurasini na Aziz yote mpk Uwanja wa Sifa wote 77 Rongai Bar na zingine. Kumbuka mwaka huo ITV ndo akianza na hiyo ilikuwa moja ya promo zake.Kwahiyo vijana wa wa Temeke na kwa Aziz Ali mlikuwa mnajumuika Sabasaba
ITV mwaka huo walituuza akina Mikidadi Mahmoud tunasubiria kumbe wenye madishi wanakula sisi tunangoja recorded....Miaka hiyo Tyson akiwa kwenye ubora wake mnakesha kusubiria pambano ukifika muda anamaliza ngoma ndani ya dakika tatu.
Waliolala wakiamka wanakuta jamaa kashamaliza.
Kwa wale Magomeni na maeneo ya karibu tutamkumbuka sana marehemu Sheikh Yahya HusseinUliangalia mechi ya fainali ukiwa wapi?
Nimekuelewa mkubwa🙏Ulimwengu usio na stress na usio na hizi raha za dunia. Ukaamua kuja kupata raha na stress, huwa haziachani, endless circle.
Jambo la muhimu wewe zingatia raha, stress zipe ''airtime'' ndogo na ukubali kuwa ni sehemu ya maisha.
Na zile stress za kujitakia, hizo ziepuka pambana na zile za lazima tu ili upime ''strain power'' yako.
Yeah Martin Dahlin pande la mtu hivi.Niliangalia kwenye Kibanda-Umiza kwa Binamu yangu Deo Matengelele Visiga Kibaha. Kulikuwa na Mzee anakuja na tv na antena yake na kuonyesha mpira pale kupitia ITV.
Mashindano yale kiujumla yalikuwa bora hata kwa Cameroon ya mkongwe wa miaka 42 Roger Milla. Kulikuwa na bingwa wa kufunga magoli ya kichwa...mtu mweusi mmoja wa Sweden akiitwa Darlin.
Vya kale ni dhahabu kwakweli...
niliangalia kwa jirani kituo itv, nlikuwa form 5Wakongwe habari!
Nimepata kumbukumbu za Fainali za Kombe la Dunia mwaka 1994, wakati huo nilikuwa nipo shule ya Msingi.
Mechi za mashindano haya nilizingalia Jet Club (ilikuwa ndani ya eneo la Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere International Airport wakati ule ulijulikana kama Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam - Dar es Salaam International Airport.
Watu wengi waliokuwa wakiishi Kipawa na Kiwalani hapa ndio eneo la kwenda kuangalia mpira hasa kwa wale ambao walikuwa na ndugu ama marafiki wanaofanya kazi uwanja wa ndege.
Miaka ile uwanja wa ndege haukuwa na uzio wa ukuta kama ilivyo sasa.
Fainali ilipigwa Rose Bowl, katika jiji la Pasadena, California
Mechi ilichezwa kwa dakika 120 mpaka kwenye mikwaju ya penati. Brazil ikishinda kwa 3 na Italia kupata penati 2
Uliangalia mechi ya fainali ukiwa wapi?