Mie kukanyaga chini pekupeku nahisi ubaridi sana
mmmmh!Jee kukanyaga Uchi pekupeku unaweza?
Mnayowaza kwa Ajibu,pia tunawaza kuyafanya kwa NiyonzimaSifa kubwa ya Chama Jogoo ilikuwa ni Ubabe na Utemi ambapo Wachezaji wengi waliokuwa wakikutana nae au kukabana nae wengi wao kwa kujihami na kumuogopa walikuwa kila mara wakimuamkia Shikamoo Kaka Chama na Chama alikuwa hawajibu vile vile huku akiwakaba kiroho mbaya / ng'adu kwa ng'adu. Sifa kubwa ya Zamoyoni Mogella a.k.a Morgan a.k.a Golden Boy ni kuweza kufunga Magoli ya ajabu ajabu na ambayo hukuyatarajia na alikuwa haogopi msitu wa Mabeki katili kama Rafiki yake Chama Jogoo na ndiyo wawili hawa walipokutana mbungi / mchezo ulikuwa mtamu na Watu walikuwa wakienda Uwanjani kuwatizama wao tu.
Mpira ulikuwa zamani bhana siyo siku hizi tuna Wapuuzi kama akina Ibrahim Ajib. Huyu Ajib angenikuta enzi zangu nasimama half back four yangu au nacheza dimba la juu la Kukaba angenitambua kwani ningemtengua sana nyongo na angekula mno Vipepsi vyangu. Mtoto mnafiki mno huyo na mechi ya Ngao ya Jamii kuna Mtu tutampa Kazi maalum ya kuvivunjilia mbali vimiguu vyake ili asicheze tena msimu mzima na tukimkosakosa hapo tunamuendea mlingotini Pemba kummaliza kabisa Kiutamaduni na Kimila ili asiweze tena kucheza mpira.
Unyama Unyama tu!
Naomba kurekebisha kidogo mkuu... Chama hakumpasua kichwa Mogella. Ile ishu ilikuwa hivi... Mogella alianguka akiwa pale chini beki mwingine wa Yanga, Yussuf Ismael 'Bana' akiwa naviatu vyenye six-meno alitaka kumkanyaga usoni Chama akamsukuma Bana na vile viatu vikamchana Mogella kichwani. Ila Athuman Juma Chama hakumchezea rafu iliyompasua kichwa Mogella. Take It From Me.Mkuu hiyo inanikumbusha miaka ile 1982-1986. Asubuhi ya siku ya mechi ya simba na yanga Gazeti la Uhuru (gazeti pekee la kila siku wakati huo) liliandika hivi "Ni nani atakayemdhibiti Zamoyoni Mogela leo?" Jioni ya siku hiyo Athumani juma "chama" au jogoo na golikipa wake mtata himisi kinye walipata wakati mgumu kumdhibiti Mogella aliyekuwa tishio sana anapoingia kwenye 18 ya adui. Chama alimchezea rafu ambayo ilimpasua kichwa mogela na hivyo alimaliza mchezo huo akiwa na bandeji kichwani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungekuwa huku Makambako ungefreeze weweMie kukanyaga chini pekupeku nahisi ubaridi sana
Mnayowaza kwa Ajibu,pia tunawaza kuyafanya kwa Niyonzima
Narudi kijijini
hahaha jamaa unamajibu ya kikatiri duuh kama jasusiJee kukanyaga Uchi pekupeku unaweza?
Naona mada ndani ya mada!Sifa kubwa ya Chama Jogoo ilikuwa ni Ubabe na Utemi ambapo Wachezaji wengi waliokuwa wakikutana nae au kukabana nae wengi wao kwa kujihami na kumuogopa walikuwa kila mara wakimuamkia Shikamoo Kaka Chama na Chama alikuwa hawajibu vile vile huku akiwakaba kiroho mbaya / ng'adu kwa ng'adu. Sifa kubwa ya Zamoyoni Mogella a.k.a Morgan a.k.a Golden Boy ni kuweza kufunga Magoli ya ajabu ajabu na ambayo hukuyatarajia na alikuwa haogopi msitu wa Mabeki katili kama Rafiki yake Chama Jogoo na ndiyo wawili hawa walipokutana mbungi / mchezo ulikuwa mtamu na Watu walikuwa wakienda Uwanjani kuwatizama wao tu.
Mpira ulikuwa zamani bhana siyo siku hizi tuna Wapuuzi kama akina Ibrahim Ajib. Huyu Ajib angenikuta enzi zangu nasimama half back four yangu au nacheza dimba la juu la Kukaba angenitambua kwani ningemtengua sana nyongo na angekula mno Vipepsi vyangu. Mtoto mnafiki mno huyo na mechi ya Ngao ya Jamii kuna Mtu tutampa Kazi maalum ya kuvivunjilia mbali vimiguu vyake ili asicheze tena msimu mzima na tukimkosakosa hapo tunamuendea mlingotini Pemba kummaliza kabisa Kiutamaduni na Kimila ili asiweze tena kucheza mpira.
Unyama Unyama tu!
Shukrani kwa kuweka sawa hapoNaomba kurekebisha kidogo mkuu... Chama hakumpasua kichwa Mogella. Ile ishu ilikuwa hivi... Mogella alianguka akiwa pale chini beki mwingine wa Yanga, Yussuf Ismael 'Bana' akiwa naviatu vyenye six-meno alitaka kumkanyaga usoni Chama akamsukuma Bana na vile viatu vikamchana Mogella kichwani. Ila Athuman Juma Chama hakumchezea rafu iliyompasua kichwa Mogella. Take It From Me.