Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,283
- 2,043
Wanamichezo nawasabahi.Kwa wale wapenda Michezo hasa Mpira wa Miguu wa miaka ile SIO hawa wa 2000 naomba kujua Walipo wachezaji hawa na Wanajishughulisha na Shughuli/biashara gani baada ya KUSTAAFU SOKA.
1. Aluu Ally-mchezaji wa Simba
2. Malota Soma-Simba
3. Yanga Bwanga-Yanga
4. Zamoyoni Mogella-Simba
5. Nteze John_Simba
6. Mohamed Tostao-Yanga
7. Idd Seleman-Simba
8. Jella Mtagwa
9. Mtemi Ramadhani-Simba
10. Idelfonce Mwamlima-Yanga
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
1. Aluu Ally-mchezaji wa Simba
2. Malota Soma-Simba
3. Yanga Bwanga-Yanga
4. Zamoyoni Mogella-Simba
5. Nteze John_Simba
6. Mohamed Tostao-Yanga
7. Idd Seleman-Simba
8. Jella Mtagwa
9. Mtemi Ramadhani-Simba
10. Idelfonce Mwamlima-Yanga
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app