Lwakatare yumo yumo tu, anawania kwa mbali nafasi ya zitto lakini maji marefu..
1. Dr masumbuka lamwai
2. Dr walid kabourou
3. Prince bagenda
4. Tomas ngawaiya
5. ...
.... Na wengine mtanisaidia jamani wako wapi mbona kimya kny siasa za bongo?
Lwakatare yumo yumo tu, anawania kwa mbali nafasi ya zitto lakini maji marefu..
atawaniaje nafasi isiyo wasi? Majungu yako peleka masj.d sio humu
mipango gani kisiasa ili iweje ndo washaloweka na jiki hvo.................sisiem imewachanachana imewatupa kuule ka waimbavyo.Jamani lengo langu ni kuwajua wanamipango gani kisiasa hasa huyu prince bagenda
Wanaharakati Hawa wameshindwa kutokana na ukiritimba,udini na ukabila ulio jaa chadema ndio maana waliamua waihamena hasa pale Mbowe alipokabidhiwa madaraka na Mkwewe bila kutumia democrasia