Hivi Bob Makani ni mkwe wa Mbowe!?, maana katika kumbukumbu zangu Mbowe alipokea madaraka kwa kuchaguliwa baada ya Mzee Makani, naomba kurekebishwa if I am wrong.
Ukisha rudi CCM ndio unakuwa umejimaliza mwenyewe kwenye siasa za bongo. Hao wote si watu tena bali watu tu kwenye siasa za Tanzania!! Mi ningewashauri wanasiasa wapinzani kusimama imara pale walipo wasikubali kuyumbishwa yumbishwa na kudanganywa na CCM. Tukipata katiba mpya ndio itakuwa suluhisho kwa kuwa tutakuwa na demokrasia ya kweli.1. Dr masumbuka lamwai
2. Dr walid kabourou
3. Prince bagenda
4. Tomas ngawaiya
5. ...
.... Na wengine mtanisaidia jamani wako wapi mbona kimya kny siasa za bongo?
Wanaharakati Hawa wameshindwa kutokana na ukiritimba,udini na ukabila ulio jaa chadema ndio maana waliamua waihamena hasa pale Mbowe alipokabidhiwa madaraka na Mkwewe bila kutumia democrasia
Richard kiyabo karudi ccm