Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Acheni kusakama single mother wa watu.wengine wife material chanzo cha kuwa single mother ni muwe wake.kuna wanaume wana akili za vibaka lakini tuhuma ni single mother ,japo wapo single mother wa ovyo
 
Umewapata dozi ya uhakika. Big up sana. Siyo kila single mother ni mkorofi au kajitakia. Wengi chanzo cha wao kuwa single mother wanaume.
Mwanaume anamtongoza mtoto wa watu na kumjaza mimba wakati anajuankabisa hamhitaji kumuoa.
Hao sio laana mkuu, hujaelewa tu Bible na umeamua uitumie vibaya kuwakandia.....

Mtu anaweza akaachwa na Mumewe ila sababu ni mumewe ndio mkorofi so sio laana!

Kuna watu huku wamelelewa na masingle mother na kwao alikua baba na akawa mama ukimwambia mama yako ni laana na amempambania sidhani kama atakuelewa hata kidogo!

Pale imeonyesha kua tu siruhusa kumuacha mke wako, ama ukimuacha usioe na yeye aliyeachwa asiolewe tena, simple tu!
 
Hao sio laana mkuu, hujaelewa tu Bible na umeamua uitumie vibaya kuwakandia.....

Mtu anaweza akaachwa na Mumewe ila sababu ni mumewe ndio mkorofi so sio laana!

Kuna watu huku wamelelewa na masingle mother na kwao alikua baba na akawa mama ukimwambia mama yako ni laana na amempambania sidhani kama atakuelewa hata kidogo!

Pale imeonyesha kua tu siruhusa kumuacha mke wako, ama ukimuacha usioe na yeye aliyeachwa asiolewe tena, simple tu!
Kama unataka amani ya moyo , Usioe binti aliye lelewa na mama yake tuu bila uwepo hata wa mjomba au baba wadogo au wakubwa , isipo kua tuu kama kalelewa na mama kutokana na Baba yake alifariki kwa sababu asili za kibinadamu na hakuna mjomba/ baba mdogo / baba mkubwa kutoka kwenye koo ya asili ya baba yake mzazi aliye fariki na siyo vinginevyo
 
Biblia ya kingereza inasema MARITAL UNFAITHFULNESS...biblia ya kiswahili inasema UZINZI

mm nadhan kingereza kinatoa uwanda mpana sana...marital unfaithfulness haimaanishi uzinzi tu..inajumuisha mambo mengi ikiwemo uzinzi
 
Tafsiri ya single moms katika uzi huu ni wale wanawake ambao wanaume waliowazalisha wapo hai (hawajafa, siyo vichaa, na hawajafungwa gerezani) lakini kwa sababu yeyote butu, wameachana na waume zao.

Yesu, mjumbe wa habari njema ametukataza sisi wanaume kuoa single moms.

Mathayo 5:32
"Lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa habari ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini."
Hapa Yesu ameweka msisitizo wa kuwa na mwanamke bikra. Mwanamke used, siyo single mother tu; kwa mujibu wa nukuu hii hafai.
 
Kama unataka amani ya moyo , Usioe binti aliye lelewa na mama yake tuu bila uwepo hata wa mjomba au baba wadogo au wakubwa , isipo kua tuu kama kalelewa na mama kutokana na Baba yake alifariki kwa sababu asili za kibinadamu na hakuna mjomba/ baba mdogo / baba mkubwa kutoka kwenye koo ya asili ya baba yake mzazi aliye fariki na siyo vinginevyo
Mkuu kuoa tabia ya mtu hailazimishwi kulingana na baba kuachana na mama, watu wanatofautiana, sio kila Mwajabu utakayekutana nae basi ana maajabu!

Kikubwa uhai, Tuishi tu!
 
Dada mmoja alikuwa na bwana wake mwarabu muislamu. Alitembea nae mpaka ikafikia kubeba mimba. Yule mwarabu aliikataa mimba ya huyu dada na dada akabeba ujauzito mpaka alipopata mtoto africast wa kiarabu..

Mwarabu hakujali. Aliendelea kumkataa dada huyo na Alimtelekeza mtoto.

Dada akakomaa kulea mwenyewe kwa kuunga baadae akaja kupata bwana wa kichaga mkristo. Mchaga huyu akanogewa na penzi la huyo dada na kufikia dada huyo wa kiislam kubadili dini na kufunga ndoa ya kikristo na huyo bwana mchaga.

Dada na mwanae wakawa wote wanaishi na mume wake huyo mchaga. Na alikuwa anamuhudumia mtoto na kumsomesha bila ubaguzi wowote.

Baada ya kuishi miaka kazaa, bahati mbaya huyo mtoto wa dada aliyezaa na mwarabu akafariki dunia.

Msiba ukafanyika nyumbani kwao kwa taratibu za kikristo kwa kushirikiana na kanisa ambalo walikuwa wanasali . Maana hata mtoto alikuwa anaenda kanisani na wazazi wake baba na mama.

Ghafla siku ya mazishi dada akabadilika na kugoma mwanae asizikwe kwa taratibu za kikristo azikwe kiislamu. Maana hata kama baba yake alimtelekeza haiondoi uhalisia kwamba mtoto huyo mwarabu baba yake ni muislamu.

Bonge la seke seke likatokea msibani

Tazama video mwenyewe.


HII IMENIFANYA NIWAELEWE WANAUME WANAOKATAA SINGLE MOTHER
 

Attachments

  • @mkombozi_store-7247033073777315077-no-watermark.mp4
    2.7 MB
Nilivyoona hii habari jana ya mama kutaka mwanae azikwe kiislamu ndo nilihitimisha utafiti wangu kwa kutamka hadharani USIOE SINGLE MOTHER NI HATARI MNO KWA MAISHA YAKO. Labda wanaJF tumsikilize mtukufu dronedrake huenda akawa na maoni tofauti kwenye hili.
 
Nilivyoona hii habari jana ya mama kutaka mwanae azikwe kiislamu ndo nilihitimisha utafiti wangu kwa kutamka hadharani USIOE SINGLE MOTHER NI HATARI MNO KWA MAISHA YAKO. Labda wanaJF tumsikilize mtukufu dronedrake huenda akawa na maoni tofauti kwenye hili.
washaunga uzi eeh, maana sielewi
 
Dada mmoja alikuwa na bwana wake mwarabu muislamu. Alitembea nae mpaka ikafikia kubeba mimba. Yule mwarabu aliikataa mimba ya huyu dada na dada akabeba ujauzito mpaka alipopata mtoto africast wa kiarabu..

Mwarabu hakujali. Aliendelea kumkataa dada huyo na Alimtelekeza mtoto.

Dada akakomaa kulea mwenyewe kwa kuunga baadae akaja kupata bwana wa kichaga mkristo. Mchaga huyu akanogewa na penzi la huyo dada na kufikia dada huyo wa kiislam kubadili dini na kufunga ndoa ya kikristo na huyo bwana mchaga.

Dada na mwanae wakawa wote wanaishi na mume wake huyo mchaga. Na alikuwa anamuhudumia mtoto na kumsomesha bila ubaguzi wowote.

Baada ya kuishi miaka kazaa, bahati mbaya huyo mtoto wa dada aliyezaa na mwarabu akafariki dunia.

Msiba ukafanyika nyumbani kwao kwa taratibu za kikristo kwa kushirikiana na kanisa ambalo walikuwa wanasali . Maana hata mtoto alikuwa anaenda kanisani na wazazi wake baba na mama.

Ghafla siku ya mazishi dada akabadilika na kugoma mwanae asizikwe kwa taratibu za kikristo azikwe kiislamu. Maana hata kama baba yake alimtelekeza haiondoi uhalisia kwamba mtoto huyo mwarabu baba yake ni muislamu.

Bonge la seke seke likatokea msibani

Tazama video mwenyewe.


HII IMENIFANYA NIWAELEWE WANAUME WANAOKATAA SINGLE MOTHER
Hii habari ina mkanganyiko.
 
Back
Top Bottom