Wakili Pasco Mayalla - A True Story of My Life: Nilitamani kuwa Wakili sababu ya Wakili Murtaza Lakha, sasa ni Wakili. Je, nitakuwa kama Lakha? Part 1

Hapa nadhani ni kukusubiri uiseme hoja yako ya msingi kwa nini unataka kuwa kama wakili Lakha?
Nimebahatika kumfuatilia Lakha enzi zile za kesi ya Uhaini na jinsi alivyokuwa akiwahenyesha mashahidi wa usiri kina X, Y nk waliokuwa maofisa usalama hadi ilileta raha ya kuitamani taaluma ya sheria.
Kesi ile ilichangia sana kufanya mapitio idara ya usalama wa taifa na kuigeuza muundo na kuwa TISS.
Sasa kabla ya kuchangia mada yako ngoja tusikie unataka kuwa kama Lakha kwa nini?
Kutokana na muda kumtupa mkono nashauri abadili gia angani atamani awe japo kama wakili Hashim Rungwe.
 
Hapa nadhani ni kukusubiri uiseme hoja yako ya msingi kwa nini unataka kuwa kama wakili Lakha?
Nimebahatika kumfuatilia Lakha enzi zile za kesi ya Uhaini na jinsi alivyokuwa akiwahenyesha mashahidi wa usiri kina X, Y nk waliokuwa maofisa usalama hadi ilileta raha ya kuitamani taaluma ya sheria.
Kesi ile ilichangia sana kufanya mapitio idara ya usalama wa taifa na kuigeuza muundo na kuwa TISS.
Sasa kabla ya kuchangia mada yako ngoja tusikie unataka kuwa kama Lakha kwa nini?
Aliwahi kusema hii kesi ilimuhusu baba yake akiwa RSO Mwanza
 
Wanabodi,
Hii ni Makala ya Jumapili hii,
View attachment 2293748View attachment 2293749
Wapenzi wasomaji wangu wa safu hii ya "Kwa Maslahi ya Taifa", mimi mwandishi wenu Pascal Mayalla, ni miongoni mwa mawakili wapya 335 walioapishwa wiki iliyopita na Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma, hivyo hii ni makala ya shukrani kwa Jaji Mkuu na uongozi wote na wanyakazi wa Mhimili wa mahakama wakiwemo wa kitengo cha mawakili, Asanteni sana.

Safari yangu ya kutamani kuwa wakili ilianzia Mwanza mwaka 1976 nikiwa darasa la pili shule ya msingi ya Nyakahoja ambapo Baba yangu Mzee Andrew Mayalla (RIP) alikuwa mtumishi wa serikali tukiishi Isamilo ya Chini nyumba nne za serikali zimepangana baada ya nyumba yetu next ni RPC, next ni u DSO na OCD.

Baba Kuachishwa Kazi
Mara ghafla usiku mmoja tumekuja kusombwa mzobe mzobe mimi sina hili wala lile bila kujua kilichotokea, kutoka nje ya nyumba, kumbe kilichokuta, pia kimewakuta majirani zetu wote wanne tunaopakana nao, RPC, DSO, OCD, na wote ni mara tumerudishwa kijijini tena sisi japo ni Wasukuma wa Mwanza, wanaume wa Kisukuma wakipenda, ni wanapenda, wanakufa wanaoza na kuhamia kule alikopendea kwa kutelekeza kwao, na kuhamia huko alikopendea!. Babu mzaa Baba akikufa kwa mwanamke wa Kinyamwezi, akahama Mwanza jumla na kuhamia Tabora, akaoa Tabora, baba akazaliwa Tabora, akasoma Tabora na akaoa Tabora, hivyo a place of domicile aliyoandikisha kazini ni Tabora kikijiji cha Itonjanda. Hivyo ghafla tukarudishwa kijijini Itonjanda!.

Maisha ya Kijijini, Vijiji vya Ujamaa.
Enzi za Nyerere, Operation vijiji ilipoanza, ile 1975, ilikuta baba tayari ni boss kazini kwake na Baba yangu mdogo, Mzee Kasanga ni mfanyabiashara tajiri, hivyo waliisha mjengea mama yao (Bibi yangu) nyumba ya kisasa ya tofali, kigae, kupigwa chuppingi, rangi, sling board, wakati nyumba nyingi zilikuwa ni za udongo na nyasi.

Hivyo operation vijiji ilipoanza, ilikuta tayari nyumba nzuri ya kisasa ya block na kuezekwa kigae kijiji kizima ndio ilikuwa bonge la mjengo, hivyo kutakiwa kuvunja na kuhamia kijijini upande wa pili wa barabara, kwa wale wanaonijua mimi Pasco kuwa ni mbishi, mimi sio mbishi, kuna watu wabishi nchi hii walimbishia hadi Nyerere, hivyo wazee waligoma kuvunja nyumba, na kijiji kizima kilihamia upande wa pili wa barabara, hivyo nyumba yetu kubaki pekee yake upande huo.

Just imagine, mtoto unazaliwa, familia bora, unakuta baba na mama ni ma boss wa serikali, asubuhi ni mwendo wa chai ya maziwa, mkate na siagi kwa mayai ya kukaanga, baba anaendesha gari Volvo, mama Vockswagoon moja tuu ya kibanda wazi Mwanza nzima, mtoto unasoma English Medium Nyakahoja, mara ghafla mnahamishwa usiku usiku na kutupwa kijijini!, ndipo unagundua kuwa kuwa hata ile nyumba ya Isamilo sio nyumba yenu ni nyumba ya serikali!, kumbe yale magari ni magari ya serikali!, kumbe hadi fenicha za ndani, makochi, vitanda hadi magodoro vyote ni mali ya serikali commeworks!. Mnahama na masanduku tuu ya nguo zenu!.

Nikaandikishwa Shule ya Msingi ya Itonjanda. Enzi za maisha ya Mwanza, miongoni mwa vitu nilivyorithi kwa baba ni roho nzuri, kupenda starehe, na kupenda…, kula vizuri na kustarehe, soda, kuku na keki vilikuwa ni vyakula vya kawakaida enzi za Mwanza, sasa huku kijijini, soda na kuku ni mpaka siku ya sikukuu au wakija wageni, na kijijini sasa hakuna tena starehe!, Starehe pekee ilikuwa ni kusikiliza muziki wa santuri, sisi ndio pekee tulikuwa na muziki wa santuri kijiji kizima tena betri zikiisha unafanya kuzianika juani!.

Baba Kufuatwa Kuchukuliwa Kupelekwa Kusikojulikana!
Siku moja usiku, baba alifuatwa na watu wa kazini kwake, mimi nikidhani ni amesafiri, enzi hizo tukiishi na mama Mdogo, moja ya sifa ambazo sio nzuri niliyorithi kwa Baba, ni kupenda warembo, Mambo ya Wasukuma na wanawake wengi, yaliisha mshinda mama yangu kitambo, akasepa zake, hivyo mimi nimelelewa na wamama wadogo waliokuwa wanapishana. Wasukuma wanapenda watoto, tukiwa Mwanza, mimi ndie mtoto wa pekee niliye opt kubaki na baba, wakati ndugu zangu waliopt kuishi na mama.

Hivyo mimi nilikuwa ni mtoto best wa baba, hivyo trips za baba kwenda bar kunywa, nakwenda nae, usingizi ukinishika, napelekwa kulala kwenye gari, baba anapokuja tunarejea nyumbani, kutokana na ninayoyaona Dingi anaamini mimi ni mtoto mdogo sijui kinachoendelea, na kwenye gari anaamini nimelala, hivyo naona jinsi wamama wanavyopishana!. Lesson kwa wazazi, "don't underestimates uelewa wa watoto wadogo, mkawa mnafanya vitu vya ajabu ukijua mtoto ni mdogo haelewi!.

Nimelelewa na wamama wadogo watatu tofauti tofauti kila mmoja kwa wakati wake!, naomba tusiwaite mama wadogo kuwa ni mama wa kambo, kutokana na a bad connotation ya jina "mama wa kambo" kwasababu hawa wamama wadogo wangu, hawakuwahi kunitesa, and in fact walinipenda kuliko hata mama yangu mzazi!. Siku nikimtembelea mama, kule ndugu zangu wanafundishwa kufanya kazi za nyumbani, mimi nimewekewa mfanyakazi, mpaka darasa la pili, sifui chochote!, nyumbani sifanyi kazi yoyote, hata nikivua nguo, naiacha hapo chini, mtu wa kuiokota yupo.

In short niliishi kama a prince fulani, na sikuwahi kuchapwa na baba kwa kosa lolote, ila pia Baba alikuwa anajua kuchagua, maana hao mama zangu wadogo wote ilikuwa sio mchezo!. Hilo la kutochapa watoto na kujua kuchagua, pia nimelirithi!. Baada ya Mzee kuchukuliwa, Mama mdogo wa mwisho alirudi kwao, hivyo mimi kubaki na bibi, peke yetu!, mjumba wote ule!.

Development of Extra Sensory Powers
Tulipohamia kijijini, hatukuweza kuajiri mfanyakazi, hivyo ndio nikaanza kufundishwa kufanya kazi ndogo ndogo ikiwawemo kufua zile nguo zangu "zile", na soksi ila nguo za shule bado nilifuliwa na mama mdogo. Baba alianza kuwa mlevi, hivyo nilikuwa nikitumwa kuchukua pesa kutumwa dukani, nachukua na extra, bada hawawezi jua. One day nikatumwa kuchukua pesa mfukoni kwa baba, akasema angalia mfukoni kwangu kuna coin ya sent 50 (sungura), nikamnunulie sigara. Kule kwenye suruali, nikakuta kuna coins 2 za senti 50, nikakomba zote, nikaenda dukani kumnunulia sigara, na mimi nikanunua pipi, biskuti na maembe 10!.

Sikujua kuwa kumbe dingi aliisha note pesa zake zinayeyuka, hivyo this time was a trap!. Niliporudi nikampa sigara zake, akaniuliza kwenye mfuko kuna nini, nikasema hakuna kitu ni vitu vyangu, leta tuone!. Nikashangaa dingi hanaga time na vitu hivyo!. Nilipomuonyesha nikaulizwa umevipata wapi, nikajibu Chale ameninunulia!. Huyu Charles Lyochi, ni mtoto wa msaafu mingine, hivyo na wao ni maisha bora.

Mtu akatumwa amuite Chale, alipokuja akashangaa!. Kilichofuata ni kipigo!, hiyo ndio ikawa mara yangu ya kwanza kupigwa!. Siku hiyo nililia usiku kucha, nikamkumbuka mama, kwa mama ni maisha mazuri kuliko kwa baba. Katikati ya usiku na giza nene nikaona kama mwanga mweupe baadae ukapotea, sasa usiku gizani nikawa naona kama mchana!.

Macho yangu yalipata uwezo wa ajabu wa kusoma kwenye mwanga hafifu. Toka hapo siku za mbalamwezi, mimi nilikuwa nasoma vitabu vya hadithi usiku kucha, hivyo ku develop insomnia. Hivyo nimevisoma vitabu vyote vya Elfu Lela Ulela usiku kwa mwanga wa mbalamwezi.

Safari ya Kuhamia Dar es Salaam
Mara baada ya muda sii mrefu, baba yangu mdogo Mzee Mathew Kasanga, akanifuata kjijini Itonjanda, akanileta kwake Dar es Salaam, tena tulikuja kwa ndege ya kukodi, enzi hizo, ndege za kukodi ni ndege za jeshi tuu, ndege hiyo ilikuwa ikiendeshwa na Captatain Sande, from there nikasema mnikiwa mkubwa, nataka kuwa pilot, kurusha ndege!. Hivyo mimi mwana jf mwezenu nilianza kukwea pipa at 8 years!.

Maisha Mapya Familia kwa Mzee Kasanga.
Wakati najiunga na familia ya Kasanga, mimi ndio nillikuwa mtoto mkubwa, dada yangu Maria yeye aliishatangulia kuchukuliwa akisoma sekondari ya Jangwani, hivyo kutokana na kulelewa na wamama wadogo, na siku zote wamama wa kambo wana sifa mbaya za kutesa watoto wa wenzao, hivyo ili kuepuka kuonekana wananitesa, nikajikuta mimi nimelelewa kwa kudekezwa!. Hivyo nimeingia nyumbani kwa Mzee Kasanga as a spoilt kid!. I’m who I’m today, credits ni kwa Mke wa Mzee Kasanga, mama wa Kiganda, Nora Katusabe Kasanga, kwa sababu kiukweli alininyorosha!. Thanks to this family!.

Dar tulikuwa tunaishi nyumba nzuri, eneo la Drive In Flats, nikajiunga shule ya Msingi ya Oyster Bay na kurejea kwenye maisha bora zaidi yay ale ya Mwanza, maana Mzee Kasanga kwenda ulaya ni kama kwenda Dodoma, enzi hizo za ile miezi 18 ya kukaza mikanda, sisi kuanzia sabuni, dawa za meno, nguo, viatu na raba vyote ni kutoka mamtoni.

Kipindi chote hiki, mpaka ninatua kwa Mzee Kasanga, sikuwahi kuelezwa rasmi baba alienda wapi, ni nini kilimtokea.Jee ni nini kilimtokea Mzee Mayalla, na kina uhusiano gani na uwakili wa Pasco Mayalla?. Tukutane Wiki Ijayo Kuendelea na simulizi hii ya ndoto ya uwakili ya Pasco Mayalla.

Paskali
What the fvck is this?

No need of all this nonsense
 
Wanabodi,
Hii ni Makala ya Jumapili hii,
View attachment 2293748View attachment 2293749
Wapenzi wasomaji wangu wa safu hii ya "Kwa Maslahi ya Taifa", mimi mwandishi wenu Pascal Mayalla, ni miongoni mwa mawakili wapya 335 walioapishwa wiki iliyopita na Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma, hivyo hii ni makala ya shukrani kwa Jaji Mkuu na uongozi wote na wanyakazi wa Mhimili wa mahakama wakiwemo wa kitengo cha mawakili, Asanteni sana.

Safari yangu ya kutamani kuwa wakili ilianzia Mwanza mwaka 1976 nikiwa darasa la pili shule ya msingi ya Nyakahoja ambapo Baba yangu Mzee Andrew Mayalla (RIP) alikuwa mtumishi wa serikali tukiishi Isamilo ya Chini nyumba nne za serikali zimepangana baada ya nyumba yetu next ni RPC, next ni u DSO na OCD.

Baba Kuachishwa Kazi
Mara ghafla usiku mmoja tumekuja kusombwa mzobe mzobe mimi sina hili wala lile bila kujua kilichotokea, kutoka nje ya nyumba, kumbe kilichokuta, pia kimewakuta majirani zetu wote wanne tunaopakana nao, RPC, DSO, OCD, na wote ni mara tumerudishwa kijijini tena sisi japo ni Wasukuma wa Mwanza, wanaume wa Kisukuma wakipenda, ni wanapenda, wanakufa wanaoza na kuhamia kule alikopendea kwa kutelekeza kwao, na kuhamia huko alikopendea!. Babu mzaa Baba akikufa kwa mwanamke wa Kinyamwezi, akahama Mwanza jumla na kuhamia Tabora, akaoa Tabora, baba akazaliwa Tabora, akasoma Tabora na akaoa Tabora, hivyo a place of domicile aliyoandikisha kazini ni Tabora kikijiji cha Itonjanda. Hivyo ghafla tukarudishwa kijijini Itonjanda!.

Maisha ya Kijijini, Vijiji vya Ujamaa.
Enzi za Nyerere, Operation vijiji ilipoanza, ile 1975, ilikuta baba tayari ni boss kazini kwake na Baba yangu mdogo, Mzee Kasanga ni mfanyabiashara tajiri, hivyo waliisha mjengea mama yao (Bibi yangu) nyumba ya kisasa ya tofali, kigae, kupigwa chuppingi, rangi, sling board, wakati nyumba nyingi zilikuwa ni za udongo na nyasi.

Hivyo operation vijiji ilipoanza, ilikuta tayari nyumba nzuri ya kisasa ya block na kuezekwa kigae kijiji kizima ndio ilikuwa bonge la mjengo, hivyo kutakiwa kuvunja na kuhamia kijijini upande wa pili wa barabara, kwa wale wanaonijua mimi Pasco kuwa ni mbishi, mimi sio mbishi, kuna watu wabishi nchi hii walimbishia hadi Nyerere, hivyo wazee waligoma kuvunja nyumba, na kijiji kizima kilihamia upande wa pili wa barabara, hivyo nyumba yetu kubaki pekee yake upande huo.

Just imagine, mtoto unazaliwa, familia bora, unakuta baba na mama ni ma boss wa serikali, asubuhi ni mwendo wa chai ya maziwa, mkate na siagi kwa mayai ya kukaanga, baba anaendesha gari Volvo, mama Vockswagoon moja tuu ya kibanda wazi Mwanza nzima, mtoto unasoma English Medium Nyakahoja, mara ghafla mnahamishwa usiku usiku na kutupwa kijijini!, ndipo unagundua kuwa kuwa hata ile nyumba ya Isamilo sio nyumba yenu ni nyumba ya serikali!, kumbe yale magari ni magari ya serikali!, kumbe hadi fenicha za ndani, makochi, vitanda hadi magodoro vyote ni mali ya serikali commeworks!. Mnahama na masanduku tuu ya nguo zenu!.

Nikaandikishwa Shule ya Msingi ya Itonjanda. Enzi za maisha ya Mwanza, miongoni mwa vitu nilivyorithi kwa baba ni roho nzuri, kupenda starehe, na kupenda…, kula vizuri na kustarehe, soda, kuku na keki vilikuwa ni vyakula vya kawakaida enzi za Mwanza, sasa huku kijijini, soda na kuku ni mpaka siku ya sikukuu au wakija wageni, na kijijini sasa hakuna tena starehe!, Starehe pekee ilikuwa ni kusikiliza muziki wa santuri, sisi ndio pekee tulikuwa na muziki wa santuri kijiji kizima tena betri zikiisha unafanya kuzianika juani!.

Baba Kufuatwa Kuchukuliwa Kupelekwa Kusikojulikana!
Siku moja usiku, baba alifuatwa na watu wa kazini kwake, mimi nikidhani ni amesafiri, enzi hizo tukiishi na mama Mdogo, moja ya sifa ambazo sio nzuri niliyorithi kwa Baba, ni kupenda warembo, Mambo ya Wasukuma na wanawake wengi, yaliisha mshinda mama yangu kitambo, akasepa zake, hivyo mimi nimelelewa na wamama wadogo waliokuwa wanapishana. Wasukuma wanapenda watoto, tukiwa Mwanza, mimi ndie mtoto wa pekee niliye opt kubaki na baba, wakati ndugu zangu waliopt kuishi na mama.

Hivyo mimi nilikuwa ni mtoto best wa baba, hivyo trips za baba kwenda bar kunywa, nakwenda nae, usingizi ukinishika, napelekwa kulala kwenye gari, baba anapokuja tunarejea nyumbani, kutokana na ninayoyaona Dingi anaamini mimi ni mtoto mdogo sijui kinachoendelea, na kwenye gari anaamini nimelala, hivyo naona jinsi wamama wanavyopishana!. Lesson kwa wazazi, "don't underestimates uelewa wa watoto wadogo, mkawa mnafanya vitu vya ajabu ukijua mtoto ni mdogo haelewi!.

Nimelelewa na wamama wadogo watatu tofauti tofauti kila mmoja kwa wakati wake!, naomba tusiwaite mama wadogo kuwa ni mama wa kambo, kutokana na a bad connotation ya jina "mama wa kambo" kwasababu hawa wamama wadogo wangu, hawakuwahi kunitesa, and in fact walinipenda kuliko hata mama yangu mzazi!. Siku nikimtembelea mama, kule ndugu zangu wanafundishwa kufanya kazi za nyumbani, mimi nimewekewa mfanyakazi, mpaka darasa la pili, sifui chochote!, nyumbani sifanyi kazi yoyote, hata nikivua nguo, naiacha hapo chini, mtu wa kuiokota yupo.

In short niliishi kama a prince fulani, na sikuwahi kuchapwa na baba kwa kosa lolote, ila pia Baba alikuwa anajua kuchagua, maana hao mama zangu wadogo wote ilikuwa sio mchezo!. Hilo la kutochapa watoto na kujua kuchagua, pia nimelirithi!. Baada ya Mzee kuchukuliwa, Mama mdogo wa mwisho alirudi kwao, hivyo mimi kubaki na bibi, peke yetu!, mjumba wote ule!.

Development of Extra Sensory Powers
Tulipohamia kijijini, hatukuweza kuajiri mfanyakazi, hivyo ndio nikaanza kufundishwa kufanya kazi ndogo ndogo ikiwawemo kufua zile nguo zangu "zile", na soksi ila nguo za shule bado nilifuliwa na mama mdogo. Baba alianza kuwa mlevi, hivyo nilikuwa nikitumwa kuchukua pesa kutumwa dukani, nachukua na extra, bada hawawezi jua. One day nikatumwa kuchukua pesa mfukoni kwa baba, akasema angalia mfukoni kwangu kuna coin ya sent 50 (sungura), nikamnunulie sigara. Kule kwenye suruali, nikakuta kuna coins 2 za senti 50, nikakomba zote, nikaenda dukani kumnunulia sigara, na mimi nikanunua pipi, biskuti na maembe 10!.

Sikujua kuwa kumbe dingi aliisha note pesa zake zinayeyuka, hivyo this time was a trap!. Niliporudi nikampa sigara zake, akaniuliza kwenye mfuko kuna nini, nikasema hakuna kitu ni vitu vyangu, leta tuone!. Nikashangaa dingi hanaga time na vitu hivyo!. Nilipomuonyesha nikaulizwa umevipata wapi, nikajibu Chale ameninunulia!. Huyu Charles Lyochi, ni mtoto wa msaafu mingine, hivyo na wao ni maisha bora.

Mtu akatumwa amuite Chale, alipokuja akashangaa!. Kilichofuata ni kipigo!, hiyo ndio ikawa mara yangu ya kwanza kupigwa!. Siku hiyo nililia usiku kucha, nikamkumbuka mama, kwa mama ni maisha mazuri kuliko kwa baba. Katikati ya usiku na giza nene nikaona kama mwanga mweupe baadae ukapotea, sasa usiku gizani nikawa naona kama mchana!.

Macho yangu yalipata uwezo wa ajabu wa kusoma kwenye mwanga hafifu. Toka hapo siku za mbalamwezi, mimi nilikuwa nasoma vitabu vya hadithi usiku kucha, hivyo ku develop insomnia. Hivyo nimevisoma vitabu vyote vya Elfu Lela Ulela usiku kwa mwanga wa mbalamwezi.

Safari ya Kuhamia Dar es Salaam
Mara baada ya muda sii mrefu, baba yangu mdogo Mzee Mathew Kasanga, akanifuata kjijini Itonjanda, akanileta kwake Dar es Salaam, tena tulikuja kwa ndege ya kukodi, enzi hizo, ndege za kukodi ni ndege za jeshi tuu, ndege hiyo ilikuwa ikiendeshwa na Captatain Sande, from there nikasema mnikiwa mkubwa, nataka kuwa pilot, kurusha ndege!. Hivyo mimi mwana jf mwezenu nilianza kukwea pipa at 8 years!.

Maisha Mapya Familia kwa Mzee Kasanga.
Wakati najiunga na familia ya Kasanga, mimi ndio nillikuwa mtoto mkubwa, dada yangu Maria yeye aliishatangulia kuchukuliwa akisoma sekondari ya Jangwani, hivyo kutokana na kulelewa na wamama wadogo, na siku zote wamama wa kambo wana sifa mbaya za kutesa watoto wa wenzao, hivyo ili kuepuka kuonekana wananitesa, nikajikuta mimi nimelelewa kwa kudekezwa!. Hivyo nimeingia nyumbani kwa Mzee Kasanga as a spoilt kid!. I’m who I’m today, credits ni kwa Mke wa Mzee Kasanga, mama wa Kiganda, Nora Katusabe Kasanga, kwa sababu kiukweli alininyorosha!. Thanks to this family!.

Dar tulikuwa tunaishi nyumba nzuri, eneo la Drive In Flats, nikajiunga shule ya Msingi ya Oyster Bay na kurejea kwenye maisha bora zaidi yay ale ya Mwanza, maana Mzee Kasanga kwenda ulaya ni kama kwenda Dodoma, enzi hizo za ile miezi 18 ya kukaza mikanda, sisi kuanzia sabuni, dawa za meno, nguo, viatu na raba vyote ni kutoka mamtoni.

Kipindi chote hiki, mpaka ninatua kwa Mzee Kasanga, sikuwahi kuelezwa rasmi baba alienda wapi, ni nini kilimtokea.Jee ni nini kilimtokea Mzee Mayalla, na kina uhusiano gani na uwakili wa Pasco Mayalla?. Tukutane Wiki Ijayo Kuendelea na simulizi hii ya ndoto ya uwakili ya Pasco Mayalla.

Paskali
Mkuu hongera kwa juhudi
naomba kama una soft copy ya kitabu cha sheria ya ushahidi ya mwaka 1967 naomba unitumie
 
Kuna maisha flani ambayo watoto wakipitia huwafanya kua ma crown prince & princess

Brother paschal umenikumbusha maisha yetu kitambo icho....

Tumezaliwa nyumbani Kuna Umeme...tunatumia choo cha kukaa...Nyumban Kuna Bomba la mvua...tena unachagua maji yawe yamoto au ya baridi..

Mtaa mzima sisi ndio wa kwanza kununua Television...

mtaa mzma ndio tulikua na mashine ya kufulia nguo....mashine ya Ice cream...pia mtaa mzima sisi ndio tulikua na oven na friji....

ishu za kunywa soda na pilao nikawaida sana....

Nakumbuka tulivyo enda kijijini ukipewa maji unauliza haya ni maziwa au maji....

Hapa nazungumzia miaka Ile ambayo paschal anaisimulia....

Umeandika makala nzurii sana ya maisha brother Paschal
 
Mkuu red label, umenikumbusha mbali na swali lako limenichekesha!. Kuna kitu kunihusu mimi, naomba nikiseme na naomba uniamini, maana kwa mtu wa kawaida ni ngumu kuamini!.

Kwanza mimi nilijoin UDSM as a mature candidate, hivyo baadhi ya vitoto vingi vya chuo vilikuwa na umri wa binti yangu!.
Pili nilikuwa nikiishi Block F zile room za juu single.

Tatu, nilisoma kwa kujilipia, hivyo nilikuwa loaded, na kiukweli mademu wengi wa chuo walitegemea boom

Hivyo kwa hizo hoja tatu, ningetaka kuwatafuna!, ningewatafuna sana!, lakini huwezi amini, nimepiga miaka yote 4 bila kugusa mtoto yoyote wa chuo!. Week end nilikuwa narudi home, na kuwaachia madogo gheto yangu ambayo ndio waliifanya machinjio!. Majirani wakiona mizigo inapishana, walidhani ni mimi... kumbe ni madogo!.

Nikiwa kijana, nilikuwa hatari!, thanks God, nimejaaliwa very high self control, kujizuia kutafuna vifaranga nilivyosoma navyo!. Mimi nilikuwa ni mutu ya mizigo mikubwa!, and not hostel!.
P
Baba mark umenichekesha sn eti mutu ya mizigo mikubwa, lkn kweli.... i knw u since ukiwa unaishi Ilala flat kbl ya kuhamia Mbezi kwenye makazi yako!

Wape hi Mark na Linda hope they are now big boy and sister!
 
Wanabodi,
Hii ni Makala ya Jumapili hii,
View attachment 2293748View attachment 2293749
Wapenzi wasomaji wangu wa safu hii ya "Kwa Maslahi ya Taifa", mimi mwandishi wenu Pascal Mayalla, ni miongoni mwa mawakili wapya 335 walioapishwa wiki iliyopita na Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma, hivyo hii ni makala ya shukrani kwa Jaji Mkuu na uongozi wote na wanyakazi wa Mhimili wa mahakama wakiwemo wa kitengo cha mawakili, Asanteni sana.

Safari yangu ya kutamani kuwa wakili ilianzia Mwanza mwaka 1976 nikiwa darasa la pili shule ya msingi ya Nyakahoja ambapo Baba yangu Mzee Andrew Mayalla (RIP) alikuwa mtumishi wa serikali tukiishi Isamilo ya Chini nyumba nne za serikali zimepangana baada ya nyumba yetu next ni RPC, next ni u DSO na OCD.

Baba Kuachishwa Kazi
Mara ghafla usiku mmoja tumekuja kusombwa mzobe mzobe mimi sina hili wala lile bila kujua kilichotokea, kutoka nje ya nyumba, kumbe kilichokuta, pia kimewakuta majirani zetu wote wanne tunaopakana nao, RPC, DSO, OCD, na wote ni mara tumerudishwa kijijini tena sisi japo ni Wasukuma wa Mwanza, wanaume wa Kisukuma wakipenda, ni wanapenda, wanakufa wanaoza na kuhamia kule alikopendea kwa kutelekeza kwao, na kuhamia huko alikopendea!. Babu mzaa Baba akikufa kwa mwanamke wa Kinyamwezi, akahama Mwanza jumla na kuhamia Tabora, akaoa Tabora, baba akazaliwa Tabora, akasoma Tabora na akaoa Tabora, hivyo a place of domicile aliyoandikisha kazini ni Tabora kikijiji cha Itonjanda. Hivyo ghafla tukarudishwa kijijini Itonjanda!.

Maisha ya Kijijini, Vijiji vya Ujamaa.
Enzi za Nyerere, Operation vijiji ilipoanza, ile 1975, ilikuta baba tayari ni boss kazini kwake na Baba yangu mdogo, Mzee Kasanga ni mfanyabiashara tajiri, hivyo waliisha mjengea mama yao (Bibi yangu) nyumba ya kisasa ya tofali, kigae, kupigwa chuppingi, rangi, sling board, wakati nyumba nyingi zilikuwa ni za udongo na nyasi.

Hivyo operation vijiji ilipoanza, ilikuta tayari nyumba nzuri ya kisasa ya block na kuezekwa kigae kijiji kizima ndio ilikuwa bonge la mjengo, hivyo kutakiwa kuvunja na kuhamia kijijini upande wa pili wa barabara, kwa wale wanaonijua mimi Pasco kuwa ni mbishi, mimi sio mbishi, kuna watu wabishi nchi hii walimbishia hadi Nyerere, hivyo wazee waligoma kuvunja nyumba, na kijiji kizima kilihamia upande wa pili wa barabara, hivyo nyumba yetu kubaki pekee yake upande huo.

Just imagine, mtoto unazaliwa, familia bora, unakuta baba na mama ni ma boss wa serikali, asubuhi ni mwendo wa chai ya maziwa, mkate na siagi kwa mayai ya kukaanga, baba anaendesha gari Volvo, mama Vockswagoon moja tuu ya kibanda wazi Mwanza nzima, mtoto unasoma English Medium Nyakahoja, mara ghafla mnahamishwa usiku usiku na kutupwa kijijini!, ndipo unagundua kuwa kuwa hata ile nyumba ya Isamilo sio nyumba yenu ni nyumba ya serikali!, kumbe yale magari ni magari ya serikali!, kumbe hadi fenicha za ndani, makochi, vitanda hadi magodoro vyote ni mali ya serikali commeworks!. Mnahama na masanduku tuu ya nguo zenu!.

Nikaandikishwa Shule ya Msingi ya Itonjanda. Enzi za maisha ya Mwanza, miongoni mwa vitu nilivyorithi kwa baba ni roho nzuri, kupenda starehe, na kupenda…, kula vizuri na kustarehe, soda, kuku na keki vilikuwa ni vyakula vya kawakaida enzi za Mwanza, sasa huku kijijini, soda na kuku ni mpaka siku ya sikukuu au wakija wageni, na kijijini sasa hakuna tena starehe!, Starehe pekee ilikuwa ni kusikiliza muziki wa santuri, sisi ndio pekee tulikuwa na muziki wa santuri kijiji kizima tena betri zikiisha unafanya kuzianika juani!.

Baba Kufuatwa Kuchukuliwa Kupelekwa Kusikojulikana!
Siku moja usiku, baba alifuatwa na watu wa kazini kwake, mimi nikidhani ni amesafiri, enzi hizo tukiishi na mama Mdogo, moja ya sifa ambazo sio nzuri niliyorithi kwa Baba, ni kupenda warembo, Mambo ya Wasukuma na wanawake wengi, yaliisha mshinda mama yangu kitambo, akasepa zake, hivyo mimi nimelelewa na wamama wadogo waliokuwa wanapishana. Wasukuma wanapenda watoto, tukiwa Mwanza, mimi ndie mtoto wa pekee niliye opt kubaki na baba, wakati ndugu zangu waliopt kuishi na mama.

Hivyo mimi nilikuwa ni mtoto best wa baba, hivyo trips za baba kwenda bar kunywa, nakwenda nae, usingizi ukinishika, napelekwa kulala kwenye gari, baba anapokuja tunarejea nyumbani, kutokana na ninayoyaona Dingi anaamini mimi ni mtoto mdogo sijui kinachoendelea, na kwenye gari anaamini nimelala, hivyo naona jinsi wamama wanavyopishana!. Lesson kwa wazazi, "don't underestimates uelewa wa watoto wadogo, mkawa mnafanya vitu vya ajabu ukijua mtoto ni mdogo haelewi!.

Nimelelewa na wamama wadogo watatu tofauti tofauti kila mmoja kwa wakati wake!, naomba tusiwaite mama wadogo kuwa ni mama wa kambo, kutokana na a bad connotation ya jina "mama wa kambo" kwasababu hawa wamama wadogo wangu, hawakuwahi kunitesa, and in fact walinipenda kuliko hata mama yangu mzazi!. Siku nikimtembelea mama, kule ndugu zangu wanafundishwa kufanya kazi za nyumbani, mimi nimewekewa mfanyakazi, mpaka darasa la pili, sifui chochote!, nyumbani sifanyi kazi yoyote, hata nikivua nguo, naiacha hapo chini, mtu wa kuiokota yupo.

In short niliishi kama a prince fulani, na sikuwahi kuchapwa na baba kwa kosa lolote, ila pia Baba alikuwa anajua kuchagua, maana hao mama zangu wadogo wote ilikuwa sio mchezo!. Hilo la kutochapa watoto na kujua kuchagua, pia nimelirithi!. Baada ya Mzee kuchukuliwa, Mama mdogo wa mwisho alirudi kwao, hivyo mimi kubaki na bibi, peke yetu!, mjumba wote ule!.

Development of Extra Sensory Powers
Tulipohamia kijijini, hatukuweza kuajiri mfanyakazi, hivyo ndio nikaanza kufundishwa kufanya kazi ndogo ndogo ikiwawemo kufua zile nguo zangu "zile", na soksi ila nguo za shule bado nilifuliwa na mama mdogo. Baba alianza kuwa mlevi, hivyo nilikuwa nikitumwa kuchukua pesa kutumwa dukani, nachukua na extra, bada hawawezi jua. One day nikatumwa kuchukua pesa mfukoni kwa baba, akasema angalia mfukoni kwangu kuna coin ya sent 50 (sungura), nikamnunulie sigara. Kule kwenye suruali, nikakuta kuna coins 2 za senti 50, nikakomba zote, nikaenda dukani kumnunulia sigara, na mimi nikanunua pipi, biskuti na maembe 10!.

Sikujua kuwa kumbe dingi aliisha note pesa zake zinayeyuka, hivyo this time was a trap!. Niliporudi nikampa sigara zake, akaniuliza kwenye mfuko kuna nini, nikasema hakuna kitu ni vitu vyangu, leta tuone!. Nikashangaa dingi hanaga time na vitu hivyo!. Nilipomuonyesha nikaulizwa umevipata wapi, nikajibu Chale ameninunulia!. Huyu Charles Lyochi, ni mtoto wa msaafu mingine, hivyo na wao ni maisha bora.

Mtu akatumwa amuite Chale, alipokuja akashangaa!. Kilichofuata ni kipigo!, hiyo ndio ikawa mara yangu ya kwanza kupigwa!. Siku hiyo nililia usiku kucha, nikamkumbuka mama, kwa mama ni maisha mazuri kuliko kwa baba. Katikati ya usiku na giza nene nikaona kama mwanga mweupe baadae ukapotea, sasa usiku gizani nikawa naona kama mchana!.

Macho yangu yalipata uwezo wa ajabu wa kusoma kwenye mwanga hafifu. Toka hapo siku za mbalamwezi, mimi nilikuwa nasoma vitabu vya hadithi usiku kucha, hivyo ku develop insomnia. Hivyo nimevisoma vitabu vyote vya Elfu Lela Ulela usiku kwa mwanga wa mbalamwezi.

Safari ya Kuhamia Dar es Salaam
Mara baada ya muda sii mrefu, baba yangu mdogo Mzee Mathew Kasanga, akanifuata kjijini Itonjanda, akanileta kwake Dar es Salaam, tena tulikuja kwa ndege ya kukodi, enzi hizo, ndege za kukodi ni ndege za jeshi tuu, ndege hiyo ilikuwa ikiendeshwa na Captatain Sande, from there nikasema mnikiwa mkubwa, nataka kuwa pilot, kurusha ndege!. Hivyo mimi mwana jf mwezenu nilianza kukwea pipa at 8 years!.

Maisha Mapya Familia kwa Mzee Kasanga.
Wakati najiunga na familia ya Kasanga, mimi ndio nillikuwa mtoto mkubwa, dada yangu Maria yeye aliishatangulia kuchukuliwa akisoma sekondari ya Jangwani, hivyo kutokana na kulelewa na wamama wadogo, na siku zote wamama wa kambo wana sifa mbaya za kutesa watoto wa wenzao, hivyo ili kuepuka kuonekana wananitesa, nikajikuta mimi nimelelewa kwa kudekezwa!. Hivyo nimeingia nyumbani kwa Mzee Kasanga as a spoilt kid!. I’m who I’m today, credits ni kwa Mke wa Mzee Kasanga, mama wa Kiganda, Nora Katusabe Kasanga, kwa sababu kiukweli alininyorosha!. Thanks to this family!.

Dar tulikuwa tunaishi nyumba nzuri, eneo la Drive In Flats, nikajiunga shule ya Msingi ya Oyster Bay na kurejea kwenye maisha bora zaidi yay ale ya Mwanza, maana Mzee Kasanga kwenda ulaya ni kama kwenda Dodoma, enzi hizo za ile miezi 18 ya kukaza mikanda, sisi kuanzia sabuni, dawa za meno, nguo, viatu na raba vyote ni kutoka mamtoni.

Kipindi chote hiki, mpaka ninatua kwa Mzee Kasanga, sikuwahi kuelezwa rasmi baba alienda wapi, ni nini kilimtokea.Jee ni nini kilimtokea Mzee Mayalla, na kina uhusiano gani na uwakili wa Pasco Mayalla?. Tukutane Wiki Ijayo Kuendelea na simulizi hii ya ndoto ya uwakili ya Pasco Mayalla.

Paskali
Maupepo ya @ tiiisi
 
Aliwahi kusema hii kesi ilimuhusu baba yake akiwa RSO Mwanza
Tulia tuu, kuna maswali mengi tutamuuliza maana hapa katuambia waliishi Isamilo Mwanza kabla ya kuondolewa late 70s. Lakini kesi hiyo ya uhaini iliyo simamiwa na Wakili Lakha na wenzake iliyokuwa ikiwakabili kina Hatty McGhee, Lt Maganga, Capt Komando nk ilianza kusikilizwa early 80s.
Sasa mzee alirudi tena kuwa RSO Mwanza baada ya ngarambe za awali akiwa Mwanza?
Ngoja arudi!
 
Back
Top Bottom