Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,033
MI6136acheni unafiki nyinyi, yani watu hua ni hodari kweli kufuatilia mambo ya watu ambayo hata hayana maana, MWAKICHI wewe hizo 40 b wewe ndio ulimuwekea kwenye account yake how do you know kwamba ana hizo hela, amekuoa wewe? mana huwezi kujua ukali wa pilipili unless umeionja wewe hayo mambo umeyatoa wapi, tanzania hii inamatatizo kibao mambayo mngeweza kuyaripoti humu ndani, mara ooh sijui watu wa interpool, umbea hua unasambaa kuliko ukweli, people are very stupid in here, we al shabab uliwaona? baaada ya kufata mambo yanayo kuhusu kazi kufata mambo ya watu, watu wengine bwana ni watu wazima ila kama wachamba wima midomo imewasimama shauri ya maneno, umbea na unafiki. rorho mbaya haisaidii ndugu yangu, watu wana husle ila hawatumii umbea kama wewe shoga wewe
Join Date : 7th August 2011
Posts : 5
Rep Power : 0