KIMUKI
Member
- May 1, 2013
- 31
- 5
Huyu Mungu tunayemtumikia aipe ujasiri Mahakama kuwa na ujasiri wa kufanya maamuzi.
Tunawashukuru Mawakili wetu Peter Kibatala na Prof. Abdallah Safari, tunaomba muendelee na moyo huo mpaka haki ipatikane!
Tulianza na Mungu, Tunaendelea kuwa na Mungu, na Tutamaliza na Mungu ndugu zangu mjipe moyo tutashinda!
Mahakamani sheria tu,miujiza ya mungu ni gerezani kama ameshindwa kutoka basi hana mungu