Peter Kibatala atajwa kuongeza nguvu kwenye Jopo litakalowatetea Mwabukusi na Mdude kwenye kesi ya Uhaini

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,753
218,340
FB_IMG_1691947341389.jpg


Taarifa kutoka Mbeya zinadokeza kwamba Wakili Msomi Peter Kibatala , anatarajiwa kuwa miongoni mwa Mawakili wa Utetezi kwenye kesi ya uongo ya uhaini iliyobadilishwa kutoka kwenye Uchochezi , inayowakabili Boniface Kajunjumele Mwabukusi na Mdude Nyagali , Labda na wengine wanaotarajiwa kukamatwa kama polisi itakavyotaka .

Ikumbukwe kwamba Msemaji wa Polisi Kamanda Misiime Aliudanganya Umma kwamba Mwabukusi na Mdude wamekamatwa kwa Tuhuma za uchochezi , kumbe kinachowakabili ni Uhaini , bado haijajulikana sababu ya kamanda Misiime kudanganya .

Kwa mujibu wa Sheria za Tanzania , Mtuhumiwa anapaswa kufikishwa mahakamani baada ya masaa 24 tangu kukamatwa kwake , hawa walikamatwa Jumamosi basi tunatarajia kesho Jumatatu watasomewa Uhaini wao Mahakamani .
 
Hakuna kesi pale, vile ni vichekesho. Mdude anataka kupindua serikali? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Very likely hii inafanywa ili kubadili upepo wa mjadala. Sasa tutaanza kujadili kesi. Na wanaharakati itwabidi waweke nguvu kwenye kuwatetea akina Mdude.

Honestly I feel sorry for Mdude, the guy has suffered a lot. Lakini ni mtu wa maneno tu, hafanyi uhalifu wowote wa vitendo. It's really sad how they have treated him.
 
' Oyaaaa', 'Anaupiga Mwingi'

....haya ni mazingaombwe yaliyoridhiwa na Maridhiano.

....kuna mambo hayaoani kabisa, kinachoendelea CHADEMA na uwanja huu wa siasa. Yani wanasema ya Magufuli badala ya Bandari, wamemkataa DK Slaa, na Mwabukusi sio Pipooz kihivyo, ila hapa wanajifanya ati ni Watetezi.

CHADEMA-maridhiano wameteka mjadala wa Bandari na kuufanya wa kwao, lakini waliyokuwa wakiyazungumza huko mtaani ni ya kujipendekeza, huku CHADEMA-Tundu-fukua makaburi, wanapigana na makaburi! Lengo kuu ni yale waliyoridhiana, watuhadae Wananchi, wafunike Kesi na chemichemi za Kimapinduzi dhidi ya kugawiwa kwa Bandari, ikifika mbeleni huko wagawane vyeo.

Hakuna cha Katiba, hakuna cha Tume huru wala nini. I am yet to be vindicated(Nilisema mwanzoni kabisa) hakuna mda.

Nasema bora hili jinamizi tulijualo la CCM, ila basi nako huko kunahitajika mapinduzi ya haraka.

Waliopo waachie ngazi wajitafakari na kujitathmini. Hii Nchi inahitaji wakutuvusha. Sio hawa CHADEMA wala CCM hii ya leo!

Amani ikutawale.
 
' Oyaaaa', 'Anaupiga Mwingi'

....haya ni mazingaombwe yaliyoridhiwa na Maridhiano.

....kuna mambo hayoani kabisa, kinachoendelea CHADEMA. Yani wanasema ya Magufuli badala ya Bandari, wamemkataa DK Slaa, na Mwabukusi sio Pipooz kihivyo, ila hapa wanajifanya ati ni Watetezi.

CHADEMA-maridhiano wameteka mjadala wa Bandari na kuufanya wa kwao, lakini waliyokuwa wakiyazungumza huko mtaani ni ya kujipendekeza, huku CHADEMA-Tundu, wanapigana na makaburi! Lengo kuu ni yale waliyoridhiana, watuhadae Wananchi, wafunike Kesi na chemichemi za Kimapinduzi dhidi ya kugawiwa kwa Bandari, ikifika mbeleni huko wagawane vyeo.

Hakuna cha Katiba, hakuna cha Tume huru wala nini. I am yet to be vindicated(Nilisema mwanzoni kabisa) hakuna mda.

Nasema bora hili jinamizi tulijualo la CCM, ila basi nako huko kunahitajika mapinduzi ya haraka.

Waliopo waachie ngazi wajitafakari na kujitathmini. Hii Nchi inahitaji wakutuvusha. Sio hawa CHADEMA wala CCM hii ya leo!

Amani ikutawale.
Summarize
 
' Oyaaaa', 'Anaupiga Mwingi'

....haya ni mazingaombwe yaliyoridhiwa na Maridhiano.

....kuna mambo hayoani kabisa, kinachoendelea CHADEMA. Yani wanasema ya Magufuli badala ya Bandari, wamemkataa DK Slaa, na Mwabukusi sio Pipooz kihivyo, ila hapa wanajifanya ati ni Watetezi.

CHADEMA-maridhiano wameteka mjadala wa Bandari na kuufanya wa kwao, lakini waliyokuwa wakiyazungumza huko mtaani ni ya kujipendekeza, huku CHADEMA-Tundu, wanapigana na makaburi! Lengo kuu ni yale waliyoridhiana, watuhadae Wananchi, wafunike Kesi na chemichemi za Kimapinduzi dhidi ya kugawiwa kwa Bandari, ikifika mbeleni huko wagawane vyeo.

Hakuna cha Katiba, hakuna cha Tume huru wala nini. I am yet to be vindicated(Nilisema mwanzoni kabisa) hakuna mda.

Nasema bora hili jinamizi tulijualo la CCM, ila basi nako huko kunahitajika mapinduzi ya haraka.

Waliopo waachie ngazi wajitafakari na kujitathmini. Hii Nchi inahitaji wakutuvusha. Sio hawa CHADEMA wala CCM hii ya leo!

Amani ikutawale.
Hata wewe unaweza kutuvusha anza basi sio lawama tu hata maandamano unafanyia JF
 
Hakuna kesi pale, vile ni vichekesho. Mdude anataka kupindua serikali?

Very likely hii inafanywa ili kubadili upepo wa mjadala. Sasa tutaanza kujadili kesi. Na wanaharakati itwabidi waweke nguvu kwenye kuwatetea akina Mdude.

Honestly I feel sorry for Mdude, the guy has suffered a lot. Lakini ni mtu wa maneno tu, hafanyi uhalifu wowote wa vitendo. It's really sad how they have treated him.
Hawachelewi kwenda kumsachi na kutuambia kakutwa na Mabomu Kontena 100
 
Nyerere angekuwa hai wasingethubutu kufanya ushenzi wanaofanya hapa nchini!
Samia sio anauza nchi tu because of her ignorance lakini mbaya zaidi amegeuza IKULU KUWA PANGO LA MAFISADI!
Bila Nyerere (Rip) hamuwezi kujisimamia wenyewe ?
 
View attachment 2716564

Taarifa kutoka Mbeya zinadokeza kwamba Wakili Msomi Peter Kibatala , anatarajiwa kuwa miongoni mwa Mawakili wa Utetezi kwenye kesi ya uongo ya uhaini iliyobadilishwa kutoka kwenye Uchochezi , inayowakabili Boniface Kajunjumele Mwabukusi na Mdude Nyagali , Labda na wengine wanaotarajiwa kukamatwa kama polisi itakavyotaka .

Ikumbukwe kwamba Msemaji wa Polisi Kamanda Misiime Aliudanganya Umma kwamba Mwabukusi na Mdude wamekamatwa kwa Tuhuma za uchochezi , kumbe kinachowakabili ni Uhaini , bado haijajulikana sababu ya kamanda Misiime kudanganya .

Kwa mujibu wa Sheria , Mtuhumiwa anapaswa kufikishwa mahakamani baada ya masaa 24 tangu kukamatwa kwake , hawa walikamatwa Jumamosi basi tunatarajia kesho Jumatatu watasomewa Uhaini wao Mahakamani .
AIBU kwa JESHI la POLISI uhaini Kupinga Mkataba wa Bandari basi wawakamate na Wananchi waliokuwa wanawaunga mkono
 
View attachment 2716564

Taarifa kutoka Mbeya zinadokeza kwamba Wakili Msomi Peter Kibatala , anatarajiwa kuwa miongoni mwa Mawakili wa Utetezi kwenye kesi ya uongo ya uhaini iliyobadilishwa kutoka kwenye Uchochezi , inayowakabili Boniface Kajunjumele Mwabukusi na Mdude Nyagali , Labda na wengine wanaotarajiwa kukamatwa kama polisi itakavyotaka .

Ikumbukwe kwamba Msemaji wa Polisi Kamanda Misiime Aliudanganya Umma kwamba Mwabukusi na Mdude wamekamatwa kwa Tuhuma za uchochezi , kumbe kinachowakabili ni Uhaini , bado haijajulikana sababu ya kamanda Misiime kudanganya .

Kwa mujibu wa Sheria , Mtuhumiwa anapaswa kufikishwa mahakamani baada ya masaa 24 tangu kukamatwa kwake , hawa walikamatwa Jumamosi basi tunatarajia kesho Jumatatu watasomewa Uhaini wao Mahakamani .
Kuongozwa na kilaza ni tabu sana.
 
Back
Top Bottom