Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 4,425
- 9,824
Ewe mama, baba, kaka, dada fuatilia binti yako au mdogo wako anafanya nini Dar. Hali ni mbaya kwa kweli ukahaba na udangaji umefanywa kuwa ajira, sawa ni maamuzi binafsi ya mtu ni mwili wake lakini kwa utamaduni wetu ni fedhea kwa mwanafamilia kujihusisha na hii biashara.
Baada ya bugudha nyingi uko barabarani sasa wakina dada kila kukicha wanabuni platforms mpya za kufanyia biashara zao. Kwa sasa wamevamia kazi za uhudumu wa bar na vituo vya massage. Uko kwenye kumbi za starehe ndo hatari tupu wasichana wadogo wanaleweshwa pombe na kuishia kuingiliwa kinyume na maumbile wakiwa hawajitambui.
Kuna wanaofanya ukahaba directly uko kwenye kumbi za starehe, mitandaoni, vituo vya massage n.k na kuna wanaofanya ukahaba indirectly kupitia mahusiano rasmi ya kimapenzi maarufu kama wadangaji.
Baada ya bugudha nyingi uko barabarani sasa wakina dada kila kukicha wanabuni platforms mpya za kufanyia biashara zao. Kwa sasa wamevamia kazi za uhudumu wa bar na vituo vya massage. Uko kwenye kumbi za starehe ndo hatari tupu wasichana wadogo wanaleweshwa pombe na kuishia kuingiliwa kinyume na maumbile wakiwa hawajitambui.
Kuna wanaofanya ukahaba directly uko kwenye kumbi za starehe, mitandaoni, vituo vya massage n.k na kuna wanaofanya ukahaba indirectly kupitia mahusiano rasmi ya kimapenzi maarufu kama wadangaji.