jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,131
- 8,655
Habari,
kwanza niipongeze serikali kwa kufungia tovuti zote za video za porn( maarufu kama X videos) uamuzi huo umefikiwa leo tarehe 19/7/2021, ambapo tovuti zote za ngono zimekuwa burned na serikali hutaweza kuziangalia kwa kupitia kifaa chochote iwe ni simu wala computer
JE, SERIKALI INALIJUA HILI:
Ni kwamba kwa sasa biashara ya ukahaba imeshamiri mno hasa dar es salaam na Zanzibar na imekuwa ni biashara kubwa mno ambayo ndugu zetu( dada zetu) wanaifanya bila ya kificho,kiasi imefikia anakufata mpaka nyumbani kwako kwako kabisa mnafanya unamlipa mnafanya mpaka asubuhi anaondoka kwake.
Dada zetu wamekuwa wanajiuza kupitia mitandao ya badoo, tinder, tagged na hasa huko telegram ndo kumeoza kabisa,wengine ni wadogo umri wa miaka hata 15 maskini ya mungu,na wengine ni wake kabisa wa watu na wengine masupa star kabisa ndani ya nchi hii, serikali iangalie na huko hakika kumeoza mno.
Kwa sasa madanguro ya malaya, hasa Sinza, Tabata, Kinondoni, Temeke na Mwananyamala yamezid imefikia hatua wamekuwa wanakodi nyumba hata kumi katika mtaa mmoja na kuzifanya madanguro ya kufanya biashara hiyo sasa sijui serikali za mitaa zinafanya kazi gani maana ukifika kituoni ukimuuliza mtu yoyote akwambie wapi wanapopatikana wahaya utapelekwa.
Sehemu zote wanakofanya massage ndani ya dar es salaam kumeoza biashara ya hivi vituo vya massage kupewa vibali na serikali ni kuruhusu kushamiri kwa biashara hii ya ukahaba kwani asilimia kubwa ya watoa huduma hiyo huwa wanatoa huduma nyingine ya kimwili,ukitaka kuthibitisha hilo tembelea sehemu yoyote yenye huduma ya massage then waambie huduma zao lazma uchoke wanafanya mpka body to body massage mkiwa uchi wa mnyama.
Najua unaweza kuwa unayasoma haya lakini ukaona kama hayakuhusu lakini kiukweli ni kwamba yanakuhusu kama siyo anafanya dada yako basi jua ni dada yako,mkeo,shangazi yako na hata mama yako anaweza kuwa anaifanya na kwa sasa biashara nyingine kubwa wanayoifanya dada zetu ni kwamba mbali ya kufanya biashara hii ya ukahaba wana biashara nyingine kubwa ya kutengeneza na kuuza video zao za ngono mtandaoni.
wengi watastuka lakini serikali inapaswa kujua kuwa kila siku zinatengenezwa video zaid ya 1000 na kurushwa kwenye application nilizozitaja hapo juu kwa kiasi cha fedha hivyo kufungwa kwa hizo sites za ngono tutarajie kupatikana kwa video nyingi mno za ngono za kitanzania ambazo zinazalishwa na watanzania tena wengi wakifanya kinyume na maumbile na wengine wakidiriki hata kufanya threesome.
Mwanzo walikuwa wakionyesha sura zao live na wakiwa wanafanya uchafu wao lakini siku hizi kumekuwa na fashion hasa kwa wanawake wengi kuvaa bracelet(culture)za bendera ya Tanzania au kenya mkononi.
ndugu yangu ukimuona mkeo,au mpenzi wako anavaa hivyo mkononi au kuvaa shanga mguuni hesabu huna mtu hapo huyo ni kahaba na hiyo ndo huwa inatumika kama alama yao na wengi utawapata magomeni,sinza,tabata,mbezi,kinondoni,mwnanyamala,temeke,mbagala na kimara
hizi hapa ukimuona mtu kavaa ujue yupo kazini na kwa ushahidi angalia wengi waliocheza/au kuweka video zao za ngono lazma utawaona wamezivaa hizi culture mkononi.
serikali ikimalizana nao mtandaoni ihamie mitaani hali ni tete wasagaji kila mtaa wamejaa
kwanza niipongeze serikali kwa kufungia tovuti zote za video za porn( maarufu kama X videos) uamuzi huo umefikiwa leo tarehe 19/7/2021, ambapo tovuti zote za ngono zimekuwa burned na serikali hutaweza kuziangalia kwa kupitia kifaa chochote iwe ni simu wala computer
JE, SERIKALI INALIJUA HILI:
Ni kwamba kwa sasa biashara ya ukahaba imeshamiri mno hasa dar es salaam na Zanzibar na imekuwa ni biashara kubwa mno ambayo ndugu zetu( dada zetu) wanaifanya bila ya kificho,kiasi imefikia anakufata mpaka nyumbani kwako kwako kabisa mnafanya unamlipa mnafanya mpaka asubuhi anaondoka kwake.
Dada zetu wamekuwa wanajiuza kupitia mitandao ya badoo, tinder, tagged na hasa huko telegram ndo kumeoza kabisa,wengine ni wadogo umri wa miaka hata 15 maskini ya mungu,na wengine ni wake kabisa wa watu na wengine masupa star kabisa ndani ya nchi hii, serikali iangalie na huko hakika kumeoza mno.
Kwa sasa madanguro ya malaya, hasa Sinza, Tabata, Kinondoni, Temeke na Mwananyamala yamezid imefikia hatua wamekuwa wanakodi nyumba hata kumi katika mtaa mmoja na kuzifanya madanguro ya kufanya biashara hiyo sasa sijui serikali za mitaa zinafanya kazi gani maana ukifika kituoni ukimuuliza mtu yoyote akwambie wapi wanapopatikana wahaya utapelekwa.
Sehemu zote wanakofanya massage ndani ya dar es salaam kumeoza biashara ya hivi vituo vya massage kupewa vibali na serikali ni kuruhusu kushamiri kwa biashara hii ya ukahaba kwani asilimia kubwa ya watoa huduma hiyo huwa wanatoa huduma nyingine ya kimwili,ukitaka kuthibitisha hilo tembelea sehemu yoyote yenye huduma ya massage then waambie huduma zao lazma uchoke wanafanya mpka body to body massage mkiwa uchi wa mnyama.
Najua unaweza kuwa unayasoma haya lakini ukaona kama hayakuhusu lakini kiukweli ni kwamba yanakuhusu kama siyo anafanya dada yako basi jua ni dada yako,mkeo,shangazi yako na hata mama yako anaweza kuwa anaifanya na kwa sasa biashara nyingine kubwa wanayoifanya dada zetu ni kwamba mbali ya kufanya biashara hii ya ukahaba wana biashara nyingine kubwa ya kutengeneza na kuuza video zao za ngono mtandaoni.
wengi watastuka lakini serikali inapaswa kujua kuwa kila siku zinatengenezwa video zaid ya 1000 na kurushwa kwenye application nilizozitaja hapo juu kwa kiasi cha fedha hivyo kufungwa kwa hizo sites za ngono tutarajie kupatikana kwa video nyingi mno za ngono za kitanzania ambazo zinazalishwa na watanzania tena wengi wakifanya kinyume na maumbile na wengine wakidiriki hata kufanya threesome.
Mwanzo walikuwa wakionyesha sura zao live na wakiwa wanafanya uchafu wao lakini siku hizi kumekuwa na fashion hasa kwa wanawake wengi kuvaa bracelet(culture)za bendera ya Tanzania au kenya mkononi.
ndugu yangu ukimuona mkeo,au mpenzi wako anavaa hivyo mkononi au kuvaa shanga mguuni hesabu huna mtu hapo huyo ni kahaba na hiyo ndo huwa inatumika kama alama yao na wengi utawapata magomeni,sinza,tabata,mbezi,kinondoni,mwnanyamala,temeke,mbagala na kimara
hizi hapa ukimuona mtu kavaa ujue yupo kazini na kwa ushahidi angalia wengi waliocheza/au kuweka video zao za ngono lazma utawaona wamezivaa hizi culture mkononi.
serikali ikimalizana nao mtandaoni ihamie mitaani hali ni tete wasagaji kila mtaa wamejaa