Habari wadau.
Kwa niaba ya wananchi wa kata ya Tambani wilaya ya Mkuranga tunapenda kutoa malalamiko yetu kuhusu ubovu wa barabara .
Kata ya Tambani ni kata iliyopo Karibu Mbande kata ya Chamanzi iliyoko Dar. Wakazi wa Tambani asilimia kubwa ya vitu tunachukulia Mbande, karibia huduma zote za shule mpaka hospitali tunafuata Mbande kwa vile ni karibu sana.
Barabara ya tambani ni hatari kwa maisha ya binadamu, magari hayapiti hata bajaji zinapita kwa shida, tunaomba TARURA mtujengee japo gravel road kama hamuwezi kuweka lami.
Halmashauri ya Mkuranga wameisusa hii kata. Mbunge wetu Ulega pambania watu wako wapate barabara Bora achanana na paper work inakupotezea muda.
Halmashauri ya Mkuranga inasua sua sana kwenye miradi ya barabara.
Kwa niaba ya wananchi wa kata ya Tambani wilaya ya Mkuranga tunapenda kutoa malalamiko yetu kuhusu ubovu wa barabara .
Kata ya Tambani ni kata iliyopo Karibu Mbande kata ya Chamanzi iliyoko Dar. Wakazi wa Tambani asilimia kubwa ya vitu tunachukulia Mbande, karibia huduma zote za shule mpaka hospitali tunafuata Mbande kwa vile ni karibu sana.
Barabara ya tambani ni hatari kwa maisha ya binadamu, magari hayapiti hata bajaji zinapita kwa shida, tunaomba TARURA mtujengee japo gravel road kama hamuwezi kuweka lami.
Halmashauri ya Mkuranga wameisusa hii kata. Mbunge wetu Ulega pambania watu wako wapate barabara Bora achanana na paper work inakupotezea muda.
Halmashauri ya Mkuranga inasua sua sana kwenye miradi ya barabara.