KERO Barabara ya kutoka Kitonga kwenda Mbande kupitia Tambani ni hatari kwa maisha ya binadamu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Serikali ya Tambani (Mkuranga) inapuuzia ukarabati wa miundombinu ya barabara ya kutoka Kitonga kwenda Mbande kupitia Tambani, yapata miezi miwili. TANROADS na TARURA, wanachekea ujinga usiojificha.

WeChat Image_20240116155350.jpg
WeChat Image_20240116155304.jpg
WeChat Image_20240116155235.jpg
WeChat Image_20240116155159.jpg
WeChat Image_20240116154946.jpg
WeChat Image_20240116154924.jpg
WeChat Image_20240116154835.jpg
WeChat Image_20240116154742.jpg
 
Back
Top Bottom