Kasimba G
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,428
- 2,609
Inasikitisha mji mkubwa kama Dar es Salaam, ambapo ilitakiwa kuwa kitovu cha mabadiriko ndiko haswa imekuwa ngome ya CCM, hivi ni kweli maisha ya wana Dar haswa eneo la Vijibweni maisha kwenu ni laini, hayawabani kama mbeya, Songea na sehemu nyingine nyingi hapa nchini?
Kwakweli baada ya kupata matokeo ya udiwani vijibweni nimesikitishwa saana, watu wa mlo mmoja! bado watu wanaowasababishia hivyo mnawaunga mkono! Dar es salaam, kwa kweli inatia aibu, inasikitisha saana, tena saana. Maeneo ya vijibweni mimi nayafahamu vizuri, hivi ni kweli kabisa CCM wameshinda kwa aina ya maisha ambayo mnaishi nyie watu wa vijibweni?
Yaani CCM is taking a very good care for you? Mnasikitisha!
Nawasilisha
Kwakweli baada ya kupata matokeo ya udiwani vijibweni nimesikitishwa saana, watu wa mlo mmoja! bado watu wanaowasababishia hivyo mnawaunga mkono! Dar es salaam, kwa kweli inatia aibu, inasikitisha saana, tena saana. Maeneo ya vijibweni mimi nayafahamu vizuri, hivi ni kweli kabisa CCM wameshinda kwa aina ya maisha ambayo mnaishi nyie watu wa vijibweni?
Yaani CCM is taking a very good care for you? Mnasikitisha!
Nawasilisha