Wakazi wa Dar es Salaam wanatia aibu, je maisha yetu wakazi wa dar ni mazuri kiasi hicho?

Kasimba G

JF-Expert Member
Jan 19, 2011
3,428
2,609
Inasikitisha mji mkubwa kama Dar es Salaam, ambapo ilitakiwa kuwa kitovu cha mabadiriko ndiko haswa imekuwa ngome ya CCM, hivi ni kweli maisha ya wana Dar haswa eneo la Vijibweni maisha kwenu ni laini, hayawabani kama mbeya, Songea na sehemu nyingine nyingi hapa nchini?

Kwakweli baada ya kupata matokeo ya udiwani vijibweni nimesikitishwa saana, watu wa mlo mmoja! bado watu wanaowasababishia hivyo mnawaunga mkono! Dar es salaam, kwa kweli inatia aibu, inasikitisha saana, tena saana. Maeneo ya vijibweni mimi nayafahamu vizuri, hivi ni kweli kabisa CCM wameshinda kwa aina ya maisha ambayo mnaishi nyie watu wa vijibweni?

Yaani CCM is taking a very good care for you? Mnasikitisha!

Nawasilisha
 
Dar es Salaam ingekuwa ndio kitovu cha mabadiliko nchini kama miji mingine maarufu inavokuwa. Hali ya Dar ya huduma za barabara na miundombinu mingine ni sababu moja tosha kutaka mabadiliko. Kama majimbo ya vijinini kama Meatu, Kigoma Vijijini, Kasulu (si katika kudharau majimbo hayo) wanafanya mabadiliko - inakuwaje Dar wasione umuhimu wa hayo kupitia kashfa za UDA, Machinjio na uchafu mwingine mwingi???

Siku Dar ikibadilika, nchi yetu itakuwa na nafasi kubwa kubadilika pia. Ndio maana ni wazee wa Dar tu ndio wana maana katika uendeshaji wa nchi!!
 
mkuu! hawa jamaa wmeniudhi sana! yani sisi mikoani tumebadilika walio dar tulitegemea wawe msitari wa mbele kumbe hovyo! sawa sisi tumeamua kuchagua kilichochema! nyie komaeni na MAGAMBA YENU!
 
tatizo la watu wa dar wanajiona kama wanaish ulaya kwasbb wanaambiwa ni mji uliojengeka kuliko yote, nawapa miaka 10 km hawajabadilika watajikuta wameachwa mbali sana na miji iliyokubali mabadiliko ya kisiasa.
 
Achana na hao wapuuzi wa kigamboni wapiga mbizi wakubwa wameongwa biliani waache waendeleze usultani na kucheza bao watakuwa nyuma na wasindikizaji.
 
CCM wanashinda huko kwa kina YAKHE NA KILA KITU HEWALA na ndio tatizo kubwa la DAR MISWAHILI MINGI NA WACHEZA BAO PIA NA UNAFIKI MWINGI
 
Vijibweni ni shamba kabisa mkuu usiskie Dar ukajua mjini. By the way, mabadiliko yanakuja taratibu. 2015 hatuwaangushi. Its a promise watu wamechoka sana huku!
 
tatizo la watu wa dar wanajiona kama wanaish ulaya kwasbb wanaambiwa ni mji uliojengeka kuliko yote, nawapa miaka 10 km hawajabadilika watajikuta wameachwa mbali sana na miji iliyokubali mabadiliko ya kisiasa.

Mkuu miaka kumi ni mingi mno! Kwa hesabu za haraka, tayari washaanza kuachwa!
 
Tatizo lililotea Vijibweni mgawanyiko wa kura baina ya CCM, CDM na CUF.

CCM kama makadirio ya kura 1200
CDm makadirio ya kura 800 na ushee
CUF 700 na ushee kwa na pia watu wengi hawakupiga kura.
 
Inasikitisha mji mkubwa kama Dar es Salaam, ambapo ilitakiwa kuwa kitovu cha mabadiriko ndiko haswa imekuwa ngome ya CCM, hivi ni kweli maisha ya wana Dar haswa eneo la Vijibweni maisha kwenu ni laini, hayawabani kama mbeya, Songea na sehemu nyingine nyingi hapa nchini?

Kwakweli baada ya kupata matokeo ya udiwani vijibweni nimesikitishwa saana, watu wa mlo mmoja! bado watu wanaowasababishia hivyo mnawaunga mkono! Dar es salaam, kwa kweli inatia aibu, inasikitisha saana, tena saana. Maeneo ya vijibweni mimi nayafahamu vizuri, hivi ni kweli kabisa CCM wameshinda kwa aina ya maisha ambayo mnaishi nyie watu wa vijibweni?

Yaani CCM is taking a very good care for you? Mnasikitisha!

Nawasilisha

Yaani pamoja na kuambiwa wapige mbizi bado vichwa vyao vimejaa upofuuu.....lakini nadhani zile kura za CUF ndio zimeinyima CDM ushindi
 
hapa dar kuna MAKANJANJA pia. Akili wamezikalia badala ya kuzifanyia kazi!!
 
Suala linaloifanya CCM ishinde si jiographia bali aina ya ubongo na itikadi za wapiga kura wa eneo husika. Huko vijibweni kama lilivyo jina lake ni uswahilini. Binadamu wa huko wanaongozwa na manung'uniko badala ya kuchukua maamuzi. Ni hao hao ambao juzi tu waliambiwa wapige mbizi na wao wakajiapiza na kulia kama wameonewa. Hata maisha yao magumu ni matokeo ya akili zao hizo hizo, kinachokera ni kwamba, maamuzi yao yanatuponza na wengine.

Au nani anataka kuniambia the so called wazee wa dar es salaam hawajui kuwa kuna wazee wa iliyokuwa EAC wanadai mpunga wao na yule mhutubiaji wa vikao vyao anajua hilo lkn hajachukua hatua yeyote kuona wanalipwa?

Uswahili ni mzigo mzito kuliko kodi ya kichwa ya mkoloni.
 
Dar es salaam itakuwa ya mwisho katika kupigania ukombozi wa kweli.
 
Dar kweli hamnazo, tatizo uswahili mwingi, angalia sehemu ambazo hakuna uswahili kama kawe, ubungo jinsi watu walivyofanya kweli, kilichobaki ni kuwanunua wazaramo wote popote tuwaonapo
 
Inasikitisha mji mkubwa kama Dar es Salaam, ambapo ilitakiwa kuwa kitovu cha mabadiriko ndiko haswa imekuwa ngome ya CCM, hivi ni kweli maisha ya wana Dar haswa eneo la Vijibweni maisha kwenu ni laini, hayawabani kama mbeya, Songea na sehemu nyingine nyingi hapa nchini?

Kwakweli baada ya kupata matokeo ya udiwani vijibweni nimesikitishwa saana, watu wa mlo mmoja! bado watu wanaowasababishia hivyo mnawaunga mkono! Dar es salaam, kwa kweli inatia aibu, inasikitisha saana, tena saana. Maeneo ya vijibweni mimi nayafahamu vizuri, hivi ni kweli kabisa CCM wameshinda kwa aina ya maisha ambayo mnaishi nyie watu wa vijibweni?

Yaani CCM is taking a very good care for you? Mnasikitisha!

Nawasilisha

Wenyeji wanaponzwa na umasikini wa fikra. Nilikuwa na jirani ccm wa kutupwa, alipewa T-shirt na doti ya kanga 2005 na akajisifia kweli kweli: "uchaguzi wa mwaka huu na mimi nimefaidi". Jioni hiyo hiyo mkewe akaja kwangu kuomba unga!
 
CCM wanashinda huko kwa kina YAKHE NA KILA KITU HEWALA na ndio tatizo kubwa la DAR MISWAHILI MINGI NA WACHEZA BAO PIA NA UNAFIKI MWINGI

Pole pole na Waswahili mkubwa. Usinikumbushe machungu ya mikoa ya Tabora, Tanga na Pwani, ambayo haina mbunge mpinzani hata mmoja
 
nililalzimika kuichagua sisiem kwasababu tulitegemea Balozi Ngaiza angegombea bahati mbaya alifariki dunia RIP Balozi Ngaiza
 
dar haina historia ya kupinga, hapa kila kitu sawa tu, hata ukicheck historia utaona upinzani kwenye ukoloni ilikuwa mikoani,
na hata ukisema uhuru ulipatikana dar ni baada ya watu toka upcountry kuja kichaji watu wa darisalama
 
Watabadilika mdogo mdogo tu ccm bado kidogo itafutika ktk historia ya tz.
 
Back
Top Bottom