Wakati Watanzania wakibishana juu ya Bandari ya Bagamoyo, Kenya wafungua Bandari ya Lamu

Lord denning

JF-Expert Member
Jun 3, 2015
13,247
26,149
Wakati Watanzania wakiendelea kubishana juu ya Bandari ya Bagamoyo wao wakiita ni Wizi wakati eneo litakalojengwa Bandari ya Bagamoyo ni pori na hata wapewe miaka 1000 hawataweza kuliendesha kwa faida, na wakiwa wanalalamika kila siku kukosa ajira na kutokuwepo na maendeleo ya kweli, Leo hii watu walio serious na maendeleo na uchumi , Kenya wamefungua rasmi Bandari ya Lamu ambayo inasemwa ndo Bandari kubwa zaidi kusini mwa jangwa la sahara.

Leo Rais Kenyatta amezindua Bandari hii inayosemwa itakuwa na Berth 33 huku kati ya hizo Berth 29 zikiwa zinahudumiwa na sekta binafsi.

Kenya anasemwa anaenda kukamata soko lote na uganda, South Sudan na Ethiopia kutokana na kuanza kwa Bandari hii.

Hongereni watanzania Kwa kupenda umasikini, kupenda kwenu umasikini kunaenda kuifanya kenya kukua zaidi kuichumi na kuwapita mbali sana kwa miaka Mingi isiyohesabika ijayo.


0877DB05-2216-43DE-BC4C-D508358E379B.jpeg
 
Wallah tutajutia sana ujinga wa kupingapinga tu. Jamaa alitudanganya watu wakaingia kingi. Ukweli inakuja ngoja yatasemwa zaidi kwenye magazeti rasmi ili tuondokane na ujinga uliowekwa hapa miaka ya karibuni.

Berth 33 sio mchezo tena za kisasa sio hizi tunahangaika nazo sijui berth 10 Ila mpaka leo hatuna Cha maana na hazijaisha.

Deal done we are out of the league.
 
Wallah tutajutia sana ujinga wa kupingapinga tu. Jamaa alitudanganya watu wakaingia kingi. Ukweli inakuja ngoja yatasemwa zaidi kwenye magazeto rasmi ili tuondokane na ujinga uliowekwa hapa miaka ya karibuni.

Berth 33 sio mchezo tena za kisasa sio hizi tunahangaika nazo sijui berth 10 Ila mpaka leo hatuna Cha maana na hazijaisha.

Deal done we are out of the league.
Kuna mda Hadi nawazaga nchi hii mapandikizi ya nchi jirani yamejaa sana kuzuia nchi hii isiwe na miradi ya maendeleo mizuri ya kuleta maendeleo ya kweli.
 
Kuna mda Hadi nawazaga nchi hii mapandikizi ya nchi jirani yamejaa sana kuzuia nchi hii isiwe na miradi ya maendeleo mizuri ya kuleta maendeleo ya kweli.
Wajinga ni wengi. Kama Hadi bunge linashabikia kuwa na watu wasiosoma ndio wa maana kwenye utaalamu na kutoa ushauri wa namna ya kuendesha mambo then unatarajia nini?

Bahati mbaya wadomi wengi ni victims wa mifumo iliyopo sababu unasoma almost miaka 26-28 ndio upate degree na certification professionally unatarajia nini baada ya hapo?

Unakutana na mtu kama msukuma yeye aliacha kusoma grade 7 labda akaanza kuwa mwizi qkaiba akanunua fuso ndio akazichanga wakati wewe unasoma unawekeza kwenye elimu yeye anaongoza pesa kwa ujanjaujana halafu leo anaanza kuleta dharau kwa wasomi.

Mwishowe unaona heri ujitafutie mkate wa wanao unaachana na wajinga unajiunga na walaji wajanja wajanja wanakuweka kwenye system kama Kabudi na maprofesa wengine wanakuweka front ili ukaombe kura ilimrafi wao ndio wamekuweka.

That's all.
 
Tuna bandari ya Tanga, Mtwara, Dar....wewe ulitakaje?
Acha kujichoresha kuwa huna exposure! Hizo Bandari za Mtwara, Tanga na Dar zinaleta nini?? Zimeleta ufanisi na competition gani???

Hivi Unajua berth katika Bandari zote za Tanga, Dar na Mtwara hazijazizidi kwa idadi berth za Bandari moja tu ya Mombasa ambao wana berth zaidi ya 18???

Sasa kenya kaongeza Bandari nyingine yenye berth 33 na hapo berth 29 amezipa sekta binafsi ili kuweka ufanisi. Sasa utamzidi nini kenya zaidi ya yeye kuzidi kukupiga gap???
 
Back
Top Bottom