Crigler Najjar
Member
- Jul 15, 2015
- 31
- 12
Wanaohusika na kuanzisha root za daladala watufikirie , maana nauli imepanda na tunalazimika kulipa nauli mbili kwa safari fupi kabisa.
Mabibo to mawasiliano zipo nowdays kakaWasisahau Hamna magari ya mabibo to mawasiliano!
Hv kwann hamna bajaji za mabibo kkoo, au mabibo kwenda sehem yeyote mpaka urequest
Sijaziona aisee! Nlikuwa napanda papa fololo then nashuka pale naprint kwa mguuMabibo to mawasiliano zipo nowdays kaka
Una uhakika mkuu?Wasisahau Hamna magari ya mabibo to mawasiliano!
Hv kwann hamna bajaji za mabibo kkoo, au mabibo kwenda sehem yeyote mpaka urequest
Mnazi Moja ....mabibo mwisho .....external..... Maji chumvi ...korogwe.....mbeziUna uhakika mkuu?
Kuna mnazi mmoja-mabibo mwisho- external-mawasiliano
Umekuja mjini juzi halafu unabisha kuna mnazi mmoja mabibo external hadi mawasiliano. Acha ubishiMnazi Moja ....mabibo mwisho .....external..... Maji chumvi ...korogwe.....mbezi
Hyo unayosema ww inapita mwanachi Buguruni hadi mnazi
Sawa....sibishani nenda kapandeUmekuja mjini juzi halafu unabisha kuna mnazi mmoja mabibo external hadi mawasiliano. Acha ubishi
Wenzangu wana usafiri binafsitatizo umelalamika peke yako ongezeni malalamiko muwe wengi ntawafikiria
Ni kweli ila kwa kipindi hiki ambacho nipo kwenye umaskini Gharama za maisha zipungue mpaka nikiwa tajiri ndo zipandeUmaskini mbaya sana
Kungekuwa na abiria wengi hata Noah zingekuwa zinapakia moja kwa moja.Wenzangu wana usafiri binafsi
Unahamasisha shuhuli zangu za biashara ninazofanya kigogo niache nibaki buzaKungekuwa na abiria wengi hata Noah zingekuwa zinapakia moja kwa moja.
Watu wa Temeke waende kigogo au mabibo kufanya nn
Hamia kigogo.Unahamasisha shuhuli zangu za biashara ninazofanya kigogo niache nibaki buza
kwanini ma ww usinunue usafiri wakoWenzangu wana usafiri binafsi