Wakati wa Temeke hulazimika kupanda magari mawili ili kufika Mabibo Kigogo ama Manzese

Wasisahau Hamna magari ya mabibo to mawasiliano!

Hv kwann hamna bajaji za mabibo kkoo, au mabibo kwenda sehem yeyote mpaka urequest
 
Mnazi Moja ....mabibo mwisho .....external..... Maji chumvi ...korogwe.....mbezi

Hyo unayosema ww inapita mwanachi Buguruni hadi mnazi
Umekuja mjini juzi halafu unabisha kuna mnazi mmoja mabibo external hadi mawasiliano. Acha ubishi
 
Kwa vyovyote vile bado gharama za usafir jijini Dar ni nafuu ukilinganisha na miji mingine.
 
Back
Top Bottom