TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Rwanda ni Moja si vyema kuanza kupenyeza tena, lugha za kuudhi zilizo pelekea mauaji ya kimbari. Acha kuitamka Rwanda kwa misingi ya kikabila.
===
Tanzania ni moja lugha zako chochezi za kuanza kutubagua watanzania kwa misingi ya kikabila zikome kabisa kuanzia sasa!! Sisi tunaamini binadamu wote ni sawa.
Kumbuka, upo kwenye ving'amuzi.... vya aina zote!!!
===
Tanzania ni moja lugha zako chochezi za kuanza kutubagua watanzania kwa misingi ya kikabila zikome kabisa kuanzia sasa!! Sisi tunaamini binadamu wote ni sawa.
Kumbuka, upo kwenye ving'amuzi.... vya aina zote!!!