Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Ngombe hazeeki maini
Hii mbona tulishaieleza sana tena kwa msaada wa Rev Masa...kwamba hata kama hayazeeki lakini yanakuwa kama ya nguruvuwe...siyo riziki tena! Mweeee.....
Ngombe hazeeki maini
sasa DC unaanza kutoa ya ndani na kuleta njeHii mbona tulishaieleza sana tena kwa msaada wa Rev Masa...kwamba hata kama hayazeeki lakini yanakuwa kama ya nguruvuwe...siyo riziki tena! Mweeee.....
sasa DC unaanza kutoa ya ndani na kuleta nje
hahahahaaa! ulikuwa night nini? ni wewe ulikuja na ile TZR pale Kimbau pub na kukamata wanywaji nini? sio vizuri mkuu!Ok..ok,
Mubarikiwe sana na muwe na siku njema...ngoja nimalizie usingizi wangu kwanza!
Hii mbona tulishaieleza sana tena kwa msaada wa Rev Masa...kwamba hata kama hayazeeki lakini yanakuwa kama ya nguruvuwe...siyo riziki tena! Mweeee.....
Lovely enough...
Unajua wengine unatupa mawazo maana maneno kama hayo hata kwa wake zetu hayapo!!!! LOL...
Orait orait sasa naona unaupeleka uzee to the next level hautaki kuwa mtawala wa life time kama KIM JONG...
Mhhh,
Kwa wale tulioona yaliyowakuta akina Mobutu ni vizuri kustuka mapema kama Mwalimu Kambarage tukang'atuka kabla ya kung'atuliwa na katapila!
Mchina bado tunaye anaweza akakutengeneza the way you want akakurudisha in you early 20's lakini hii inakuja AT YOUR OWN RISK
Asante sana Preta, Nasi wakaka na Wababa wa JF tunawatakia kila la kheri
Ombi Langu
1: Kwa wadada na wamama wa JF ambao mmeolewa
Zitunzeni Ndoa zenu, watunzeni waume zenu ili Ndoa zenu ziwe za Furaha na Mfano wa kuigwa katika Jamii
2: Kwa wadada ambao bado mpo mpo
Muombeni Mungu awajalie wachumba wema ili mpate furaha siku Mkiamua Kuachana na Chama cha TABU na kujiunga na chama cha TAMU
Asanteni sana
Hizo biashara zilinishindaga kitambo. Why? Ili niendelee kufukuzana na wajukuu kukamata totoz au?
Umenikumbusha verse moja kwenye wimbo wa MWANA FA anasema wanawake ni urithi wetu nilicheka sana
Umesahau kidogo hapo,
Wape garantii ya 100% freedom ili yale mambo yenu yasikwame ..au unaonaje?