- Thread starter
- #41
Hii hotel baada ya Baba kufariki familia mzima walishindwa kuafiki kwa sababu ilionyesha ni kampuni ya mke na mume yani mama ana percentage yake na baba anapercentage yale .
Ila nafikili hata wakubwa waliacha kwa sababu ya mama kumueshimu tuu.
Ila nafikili hata wakubwa waliacha kwa sababu ya mama kumueshimu tuu.