Wajua japo Rais ni sehemu ya Bunge, bado hana mamlaka ya kuliingilia Bunge? Ili kufuta IGA ya DPW, Rais anapaswa kulivunja Bunge?

Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nikipata fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, makala ya leo ni kuhusu Ijue Katiba: Japo Rais ni Sehemu ya Bunge, kwa kuliunda, kulivunja na kuridhia miswada kuwa sheria, lakini Rais Hana Mamlaka ya Kuliingilia Bunge?. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania limemtaka Rais Samia kuifuta IGA ya DPW, iliyoridhiwa na Bunge, ili Rais Samia aifute hiyo IGA, ambayo baada ya kuridhiwa ni Azimio la Bunge, inambidi Rais kwanza kulivunja Bunge, ndipo alivunje Azimio la Bunge.

Katiba ni kakitabu kadogo tuu ka ukurasa, lakini kuielewa katiba, kunahitaji uwezo wa ziada, kama ilivyo kuielewa Biblia Takatifu au Quran Tukufu, kila mtu anayejua kusoma na kuandika, anaweza kusoma Biblia na Quran, lakini kuielewa unahitaji kupata ufunuo.

Vivyo hivyo kwa katiba ya JMT, kila mtu yoyote mwenye uwezo wa kusoma na kuandika, anaweza kuisoma katiba ila kuielewa kunahitaji ujaaliwe ufunuo.

Kwa mujibu wa katiba, mamlaka rasmi ya kuitafsiri katiba ni mhimili wa Mahakama Kuu, lakini it's very unfortunately mhimili wa serikali hawaijui katiba ndio maana wanatunga miswada kinyume cha katiba.

Mhimili wa Bunge, nao it's very unfortunately wanatunga sheria batili zinazokwenda kinyume cha katiba, na juzi kati hapa Bunge letu Tukufu, limeridhia IGA ya DPW na Bandari zetu ambayo iko kinyume cha katiba na sheria zetu.

Mhimili wa Mahakama wenye jukumu la kutafsiri katiba na sheria, nao it's very unfortunately hautimizi wajibu wake kikamilifu kwa kubariki uvunjifu wa katiba unaofanywa na mhimili wa serikali na mhimili wa Bunge!.

Mimi ni Mwanafunzi wa sheria wa Prof. Shivji, kiukweli niko very proud kuwa miongoni mwa wanafunzi tulio mwelewa vizuri Prof. Shivji alipokuwa akitufundisha somo la katiba, na ndio maana somo lake, mimi nimejenga kibanda, kwa kupata A, hivyo sasa najihesabu ni mwalimu wa kujitolea wa somo la Ijue Katiba, na nimeendesha mihadhara mbalimbali ya katiba ambayo imesaidia sana Bunge letu na serikali yetu, na sasa naanzisha vipindi vya Televisheni weekly kuelimisha umma kuhusu katiba, sheria na haki ambayo vitausaidia sana mhimili wa Mahakama kutenda haki.

Miongoni mwa wasioijua katiba ya JMT, ni Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, wametoa waraka wa kuipinga DPW, na kumtaka rais Samia asitishe ile IGA ya DPW na Bandari zetu, bila kujua kwa mujibu wa katiba, rais Samia hana uwezo huo!.

Ila hawa Maaskofu Katoliki, ni kiboko!.
Juzi baada ya kuutoa waraka wao, leo asubuhi katika makanisa yote ya Katoliki Tanzania, waraka huo umesomwa kanisani, mimbarini na madhabahuni!.

Baada ya kuusoma waraka wa TEC humu JF, Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu niliuliza Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa? na baada ya kitendo cha kusoma tamko la kisiasa Mimbarini na Madhabahuni, nauliza tena, huku sio kuchanganya dini na siasa?.

Lile tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kuipinga DPW na Bandari zetu, leo limesomwa mimbarini na madhabahuni na maparoko wa makanisa yote ya Katoliki Tanzania nzima kwenye kila ibada ya kila misa!.

Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kama taasisi huru, iko huru kutoa maoni yake yoyote kuhusu jambo lolote, yakiwemo maoni ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, lakini kitendo cha Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC, kutoa maoni ya kisiasa kuipinga DPW na Bandari zetu, kitendo cha kanisa Katoliki Tanzania kusoma maoni hayo ya kisiasa ya TEC, mimbarini na madhabahuni, sio kuchanganya dini na siasa?.

Madhabahuni na mimbarini ni mahala pa kuabudia, kitendo cha kanisa Katoliki Tanzania, kuusoma waraka huu mimbarini madhabahuni, ni **** kuwaaminisha Wakatoliki kuwa kuipinga DPW na Bandari zetu ni sehemu ya ibada, hivyo Wakatoliki wote sasa wanatakiwa kuipinga DPW. Wale Wakatoliki wanaiunga mkono DPW wakioongozwa na Makamo wetu wa Rais, Dr. Philip Mpango, tunawaweka kwenye hali gani?. Huku sio kuwakwaza Wakatoliki wote tunaounga mkono DPW na Bandari zetu?.

Waraka huo unasisitiza Vox Populi is Vox Dei, kumaanisha sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, Tangu issue ya DPW ilipoibuka, kanisa Katoliki limewahi kukusanya maoni ya waumimi wake kuhusu jambo hili, hivyo kufikia hii conclusion kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW?.

Mimi ni Mkristo Mkatoliki, na toka issue ya DPW iibuke, sijawahi kukosa kanisani hata mara moja, sikumbuki kuwahi kuulizwa maoni yetu kuhusu DPW!, kama kuna Mkatoliki yoyote aliwahi kuombwa maoni yake na kanisa Katoliki, naomba ajitokeze.

Kama kanisa Katoliki halijakusanya maoni ya waumini wake kuhusu DPW, hii hoja ya TEC kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW, wameyatoa wapi?.

Kitendo cha Kanisa Katoliki Tanzania, kukusanya maoni ya Maaskofu wa Katoliki Tanzania, na kuyageuza ndio maoni ya Watanzania, huku sio kusema uongo?.

Na kitendo cha kuusoma uongo huo wa TEC kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW, na kuusomea mimbarini na madhabahuni, huku sio kumkosea Mungu, kuitumia mimbari yake na madhabahu yake vibaya, badala ya kuitumia mimbari na madhabahu, kwa kuabudia, kanisa Katoliki Tanzania linaitumia mimbari na madhabahu kupigia siasa za uoga za kuipinga DPW kwasababu tuu ni ya Waarabu, hivyo kudhani DPW ikija inakuja kueneza Uislam!, na kwa kuzingatia, hivi tuu DPW bado haijapewa mkataba, imetoa misaada ya kujenga misikiti kadhaa, ikipewa Bandari, kazi ya kwanza si ni itakuwa ni kujenga masjid?.

Bunge letu Tukufu limepitisha Azimio la Bunge kuiridhia IGA ya DPW, hawa Maaskofu wa Katoliki Tanzania, wamemtaka Rais Samia alifute Azimio la Bunge kuridhia IGA ya DPW,

Kumbe maaskofu wetu hawaijui katiba!, hawajui kuwa kwa mujibu wa katiba yetu, Rais wa JMT hana mamlaka ya kufuta Azimio la Bunge!, ili Rais Samia alifute Azimio la Bunge, inambidi Rais Samia alivunje Bunge!.

Rais wa JMT ni sehemu ya Bunge kwa mambo matatu tuu, 1. Kuliunda Bunge, kuridhia muswada kuwa sheria na kulivunja Bunge.

Kwa upande wa miswada ya sheria, Bunge likitunga sheria, rais anaweza kukataa kuisaini, anatakiwa kurejesha Bungeni kurekebishwa, Bunge likigoma kurekebisha, rais anakuwa hana jinsi bali ni kulivunja Bunge!.

Lakini kwa upande wa Azimio la Bunge, Bunge likiisha pitisha Azimio la Bunge, rais wa JMT hana mamlaka ya kuingilia chochote bali ni kuteleleza tuu Azimio la Bunge, vinginevyo ni alivunje Bunge!.

Hawa Maaskofu wa Katoliki Tanzania sio mchezo!, wanampangia hadi rais wa JMT na kumlazimisha apindue jambo lililoridhiwa na Bunge!.

Kwa mujibu wa katiba ya JMT, rais wa JMT halazimiki kufuata ushauri wa yoyote kwenye kufikia maamuzi, isipokuwa katika mambo mawili tuu, ambayo rais wa JMT analazimika kuamrishwa kufuata.

Mambo hayo ni 1.Kuiwasilisha Bungeni ndani ya siku 7, ripoti ya CAG, baada ya kuipokea, na asipoiwasilisha ripoti hiyo ndani ya siku 7, inapofika siku ya 6, then CAG anatakiwa am bypass rais na kuwasilisha ripoti hiyo Bungeni. Hapa ni rais wa JMT anapangiwa na analazimishwa atake asitake!.

Ila Bunge letu lilivyo la mazuzu, likapitisha Azimio batili la Bunge kuwa halipokei ripoti ya CAG! Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG?

Kiukweli Bunge lile lilipaswa kunishukuru sana mimi, kwasababu ni mimi ndiye niliyewaambia Azimio lao hilo ni Azimio batili, na nikawaambia kitu kitakachowatokea iwapo Bunge halitapokea ripoti ya CAG Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba

Kitu kilichofanyika ni kwanza rais aliwasilisha ripoti ya CAG Bungeni kabla hajawa by passed na CAG, pili Bunge likaondoa Azimio lao batili kimya kimya, likaipokea ripoti ya CAG.

Jambo la pili ambalo rais wa JMT anaamrishwa ni kutekeleza Azimio la Bunge.

Baada ya Bunge letu Tukufu kuridhia IGA ya DPW na Bandari zetu, pamoja na mapungufu yake yote ya kisheria, IGA sio mkataba ni makubaliano tuu, mkataba ni HGA, hivyo tunaweza kabisa kuwa na HGA nzuri.

Paskali
Mapoyoyo hamuishi. Njaa inakusumbua.

Lazima mtatapika na hovyo vihela mlivyopewa. Na kwanza ndiyo Vita Ni mbichi.

Nani kakwambia bandari Ni siasa. Bandari Ni rasilimali za nchi. Lazima zilindwe dhidi ya waporaji.

Hizi elimu zenu za kuunga unga za Sheria ndiyo matokeo yake haya.

Prof Issa Shivji unaemsema alikufundisha katiba ndiyo wa kwanza kumrai Samia kurejesha mkataba bungeni. Ndiye wa kwanza kusema kwenda mahakamani haitasaidia Bali mkataba urudi bungeni na bunge litengue maamuzi yake.


Hapa wewe unmzunguzia Shivji yupi? Kama Ni huyu tunaemjua na ambae unadai alikufindisha somo la Katiba, wewe unataka kubishana na mwalimu wako wa sheria?

Paskali una tatizo la kuandika makala kwa kupima upepo Ni bahati mbaya bado nyota haing'ai kupata kile unachotamani.

Bandari zetu hazitauzwa.! Najua tumbo lako linanguruma njaa lkn kufa tu , nyie watetezi Ni mahayawani tu.

LEO HADI MTOTO WA CHEKECHEA AMEJUA KUNA MKATABA MBOVU WA KUUZA BANDARI ZETU KWA WAARABU.

Mayala tafsiri yake Ni njaa. Ila kufa njaa tu, Nani anajali!
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nikipata fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, makala ya leo ni kuhusu Ijue Katiba: Japo Rais ni Sehemu ya Bunge, kwa kuliunda, kulivunja na kuridhia miswada kuwa sheria, lakini Rais Hana Mamlaka ya Kuliingilia Bunge?. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania limemtaka Rais Samia kuifuta IGA ya DPW, iliyoridhiwa na Bunge, ili Rais Samia aifute hiyo IGA, ambayo baada ya kuridhiwa ni Azimio la Bunge, inambidi Rais kwanza kulivunja Bunge, ndipo alivunje Azimio la Bunge.

Katiba ni kakitabu kadogo tuu ka ukurasa, lakini kuielewa katiba, kunahitaji uwezo wa ziada, kama ilivyo kuielewa Biblia Takatifu au Quran Tukufu, kila mtu anayejua kusoma na kuandika, anaweza kusoma Biblia na Quran, lakini kuielewa unahitaji kupata ufunuo.

Vivyo hivyo kwa katiba ya JMT, kila mtu yoyote mwenye uwezo wa kusoma na kuandika, anaweza kuisoma katiba ila kuielewa kunahitaji ujaaliwe ufunuo.

Kwa mujibu wa katiba, mamlaka rasmi ya kuitafsiri katiba ni mhimili wa Mahakama Kuu, lakini it's very unfortunately mhimili wa serikali hawaijui katiba ndio maana wanatunga miswada kinyume cha katiba.

Mhimili wa Bunge, nao it's very unfortunately wanatunga sheria batili zinazokwenda kinyume cha katiba, na juzi kati hapa Bunge letu Tukufu, limeridhia IGA ya DPW na Bandari zetu ambayo iko kinyume cha katiba na sheria zetu.

Mhimili wa Mahakama wenye jukumu la kutafsiri katiba na sheria, nao it's very unfortunately hautimizi wajibu wake kikamilifu kwa kubariki uvunjifu wa katiba unaofanywa na mhimili wa serikali na mhimili wa Bunge!.

Mimi ni Mwanafunzi wa sheria wa Prof. Shivji, kiukweli niko very proud kuwa miongoni mwa wanafunzi tulio mwelewa vizuri Prof. Shivji alipokuwa akitufundisha somo la katiba, na ndio maana somo lake, mimi nimejenga kibanda, kwa kupata A, hivyo sasa najihesabu ni mwalimu wa kujitolea wa somo la Ijue Katiba, na nimeendesha mihadhara mbalimbali ya katiba ambayo imesaidia sana Bunge letu na serikali yetu, na sasa naanzisha vipindi vya Televisheni weekly kuelimisha umma kuhusu katiba, sheria na haki ambayo vitausaidia sana mhimili wa Mahakama kutenda haki.

Miongoni mwa wasioijua katiba ya JMT, ni Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, wametoa waraka wa kuipinga DPW, na kumtaka rais Samia asitishe ile IGA ya DPW na Bandari zetu, bila kujua kwa mujibu wa katiba, rais Samia hana uwezo huo!.

Ila hawa Maaskofu Katoliki, ni kiboko!.
Juzi baada ya kuutoa waraka wao, leo asubuhi katika makanisa yote ya Katoliki Tanzania, waraka huo umesomwa kanisani, mimbarini na madhabahuni!.

Baada ya kuusoma waraka wa TEC humu JF, Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu niliuliza Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa? na baada ya kitendo cha kusoma tamko la kisiasa Mimbarini na Madhabahuni, nauliza tena, huku sio kuchanganya dini na siasa?.

Lile tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kuipinga DPW na Bandari zetu, leo limesomwa mimbarini na madhabahuni na maparoko wa makanisa yote ya Katoliki Tanzania nzima kwenye kila ibada ya kila misa!.

Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kama taasisi huru, iko huru kutoa maoni yake yoyote kuhusu jambo lolote, yakiwemo maoni ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, lakini kitendo cha Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC, kutoa maoni ya kisiasa kuipinga DPW na Bandari zetu, kitendo cha kanisa Katoliki Tanzania kusoma maoni hayo ya kisiasa ya TEC, mimbarini na madhabahuni, sio kuchanganya dini na siasa?.

Madhabahuni na mimbarini ni mahala pa kuabudia, kitendo cha kanisa Katoliki Tanzania, kuusoma waraka huu mimbarini madhabahuni, ni **** kuwaaminisha Wakatoliki kuwa kuipinga DPW na Bandari zetu ni sehemu ya ibada, hivyo Wakatoliki wote sasa wanatakiwa kuipinga DPW. Wale Wakatoliki wanaiunga mkono DPW wakioongozwa na Makamo wetu wa Rais, Dr. Philip Mpango, tunawaweka kwenye hali gani?. Huku sio kuwakwaza Wakatoliki wote tunaounga mkono DPW na Bandari zetu?.

Waraka huo unasisitiza Vox Populi is Vox Dei, kumaanisha sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, Tangu issue ya DPW ilipoibuka, kanisa Katoliki limewahi kukusanya maoni ya waumimi wake kuhusu jambo hili, hivyo kufikia hii conclusion kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW?.

Mimi ni Mkristo Mkatoliki, na toka issue ya DPW iibuke, sijawahi kukosa kanisani hata mara moja, sikumbuki kuwahi kuulizwa maoni yetu kuhusu DPW!, kama kuna Mkatoliki yoyote aliwahi kuombwa maoni yake na kanisa Katoliki, naomba ajitokeze.

Kama kanisa Katoliki halijakusanya maoni ya waumini wake kuhusu DPW, hii hoja ya TEC kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW, wameyatoa wapi?.

Kitendo cha Kanisa Katoliki Tanzania, kukusanya maoni ya Maaskofu wa Katoliki Tanzania, na kuyageuza ndio maoni ya Watanzania, huku sio kusema uongo?.

Na kitendo cha kuusoma uongo huo wa TEC kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW, na kuusomea mimbarini na madhabahuni, huku sio kumkosea Mungu, kuitumia mimbari yake na madhabahu yake vibaya, badala ya kuitumia mimbari na madhabahu, kwa kuabudia, kanisa Katoliki Tanzania linaitumia mimbari na madhabahu kupigia siasa za uoga za kuipinga DPW kwasababu tuu ni ya Waarabu, hivyo kudhani DPW ikija inakuja kueneza Uislam!, na kwa kuzingatia, hivi tuu DPW bado haijapewa mkataba, imetoa misaada ya kujenga misikiti kadhaa, ikipewa Bandari, kazi ya kwanza si ni itakuwa ni kujenga masjid?.

Bunge letu Tukufu limepitisha Azimio la Bunge kuiridhia IGA ya DPW, hawa Maaskofu wa Katoliki Tanzania, wamemtaka Rais Samia alifute Azimio la Bunge kuridhia IGA ya DPW,

Kumbe maaskofu wetu hawaijui katiba!, hawajui kuwa kwa mujibu wa katiba yetu, Rais wa JMT hana mamlaka ya kufuta Azimio la Bunge!, ili Rais Samia alifute Azimio la Bunge, inambidi Rais Samia alivunje Bunge!.

Rais wa JMT ni sehemu ya Bunge kwa mambo matatu tuu, 1. Kuliunda Bunge, kuridhia muswada kuwa sheria na kulivunja Bunge.

Kwa upande wa miswada ya sheria, Bunge likitunga sheria, rais anaweza kukataa kuisaini, anatakiwa kurejesha Bungeni kurekebishwa, Bunge likigoma kurekebisha, rais anakuwa hana jinsi bali ni kulivunja Bunge!.

Lakini kwa upande wa Azimio la Bunge, Bunge likiisha pitisha Azimio la Bunge, rais wa JMT hana mamlaka ya kuingilia chochote bali ni kuteleleza tuu Azimio la Bunge, vinginevyo ni alivunje Bunge!.

Hawa Maaskofu wa Katoliki Tanzania sio mchezo!, wanampangia hadi rais wa JMT na kumlazimisha apindue jambo lililoridhiwa na Bunge!.

Kwa mujibu wa katiba ya JMT, rais wa JMT halazimiki kufuata ushauri wa yoyote kwenye kufikia maamuzi, isipokuwa katika mambo mawili tuu, ambayo rais wa JMT analazimika kuamrishwa kufuata.

Mambo hayo ni 1.Kuiwasilisha Bungeni ndani ya siku 7, ripoti ya CAG, baada ya kuipokea, na asipoiwasilisha ripoti hiyo ndani ya siku 7, inapofika siku ya 6, then CAG anatakiwa am bypass rais na kuwasilisha ripoti hiyo Bungeni. Hapa ni rais wa JMT anapangiwa na analazimishwa atake asitake!.

Ila Bunge letu lilivyo la mazuzu, likapitisha Azimio batili la Bunge kuwa halipokei ripoti ya CAG! Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG?

Kiukweli Bunge lile lilipaswa kunishukuru sana mimi, kwasababu ni mimi ndiye niliyewaambia Azimio lao hilo ni Azimio batili, na nikawaambia kitu kitakachowatokea iwapo Bunge halitapokea ripoti ya CAG Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba

Kitu kilichofanyika ni kwanza rais aliwasilisha ripoti ya CAG Bungeni kabla hajawa by passed na CAG, pili Bunge likaondoa Azimio lao batili kimya kimya, likaipokea ripoti ya CAG.

Jambo la pili ambalo rais wa JMT anaamrishwa ni kutekeleza Azimio la Bunge.

Baada ya Bunge letu Tukufu kuridhia IGA ya DPW na Bandari zetu, pamoja na mapungufu yake yote ya kisheria, IGA sio mkataba ni makubaliano tuu, mkataba ni HGA, hivyo tunaweza kabisa kuwa na HGA nzuri.

Paskali
Ni Nini kinatokea pale bunge km mhimili linapopitisha na tunajua baada ya hapo Ni rais pia kusaini km mhimili pia.

Ndugu msomi huo mkataba (siyo makubaliano) Rais asipousaini Ni nn kinatokea na tafsiri yake Ni nn.

Karibu msomi wa katiba!
 
Ni Nini kinatokea pale bunge km mhimili linapopitisha na tunajua baada ya hapo Ni rais pia kusaini km mhimili pia.
No Bunge linapotunga sheria, ndipo rais huhitajika kusaini, lakini Bunge linaporidhia mikataba ya kimataifa, linatoa Azimio tuu ambalo rais hahusiki. Azimio la Bunge ni amri, serikali ni kutekeleza tuu!.
Ndugu msomi
Mimi sio msomi!.
huo mkataba (siyo makubaliano) Rais asipousaini Ni nn kinatokea na tafsiri yake Ni nn.
Rais hahitajiki kusaini. Rais anawajibika kusaini miswada ili kuwa sheria. Rais asiposaini, anarudisha Bungeni kurekebisha, Bunge likimgomea rais analivunja Bunge.
Karibu msomi wa katiba!
Sio msomi ila nimesoma tuu sheria, LL.B, kusomea kitu ni jambo moja na kuwa msomi wa hicho kitu ni jambo jingine. Mawakili wana mtindo wa kujiita wakili msomi, kiukweli wengi wao ni kujidai dai tuu, hawana usomi wowote, mimi mwenyewe pia ni wakili lakini sijawahi kujiita wakili msomi!.
P
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nikipata fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, makala ya leo ni kuhusu Ijue Katiba: Japo Rais ni Sehemu ya Bunge, kwa kuliunda, kulivunja na kuridhia miswada kuwa sheria, lakini Rais Hana Mamlaka ya Kuliingilia Bunge?. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania limemtaka Rais Samia kuifuta IGA ya DPW, iliyoridhiwa na Bunge, ili Rais Samia aifute hiyo IGA, ambayo baada ya kuridhiwa ni Azimio la Bunge, inambidi Rais kwanza kulivunja Bunge, ndipo alivunje Azimio la Bunge.

Katiba ni kakitabu kadogo tuu ka ukurasa, lakini kuielewa katiba, kunahitaji uwezo wa ziada, kama ilivyo kuielewa Biblia Takatifu au Quran Tukufu, kila mtu anayejua kusoma na kuandika, anaweza kusoma Biblia na Quran, lakini kuielewa unahitaji kupata ufunuo.

Vivyo hivyo kwa katiba ya JMT, kila mtu yoyote mwenye uwezo wa kusoma na kuandika, anaweza kuisoma katiba ila kuielewa kunahitaji ujaaliwe ufunuo.

Kwa mujibu wa katiba, mamlaka rasmi ya kuitafsiri katiba ni mhimili wa Mahakama Kuu, lakini it's very unfortunately mhimili wa serikali hawaijui katiba ndio maana wanatunga miswada kinyume cha katiba.

Mhimili wa Bunge, nao it's very unfortunately wanatunga sheria batili zinazokwenda kinyume cha katiba, na juzi kati hapa Bunge letu Tukufu, limeridhia IGA ya DPW na Bandari zetu ambayo iko kinyume cha katiba na sheria zetu.

Mhimili wa Mahakama wenye jukumu la kutafsiri katiba na sheria, nao it's very unfortunately hautimizi wajibu wake kikamilifu kwa kubariki uvunjifu wa katiba unaofanywa na mhimili wa serikali na mhimili wa Bunge!.

Mimi ni Mwanafunzi wa sheria wa Prof. Shivji, kiukweli niko very proud kuwa miongoni mwa wanafunzi tulio mwelewa vizuri Prof. Shivji alipokuwa akitufundisha somo la katiba, na ndio maana somo lake, mimi nimejenga kibanda, kwa kupata A, hivyo sasa najihesabu ni mwalimu wa kujitolea wa somo la Ijue Katiba, na nimeendesha mihadhara mbalimbali ya katiba ambayo imesaidia sana Bunge letu na serikali yetu, na sasa naanzisha vipindi vya Televisheni weekly kuelimisha umma kuhusu katiba, sheria na haki ambayo vitausaidia sana mhimili wa Mahakama kutenda haki.

Miongoni mwa wasioijua katiba ya JMT, ni Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, wametoa waraka wa kuipinga DPW, na kumtaka rais Samia asitishe ile IGA ya DPW na Bandari zetu, bila kujua kwa mujibu wa katiba, rais Samia hana uwezo huo!.

Ila hawa Maaskofu Katoliki, ni kiboko!.
Juzi baada ya kuutoa waraka wao, leo asubuhi katika makanisa yote ya Katoliki Tanzania, waraka huo umesomwa kanisani, mimbarini na madhabahuni!.

Baada ya kuusoma waraka wa TEC humu JF, Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu niliuliza Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa? na baada ya kitendo cha kusoma tamko la kisiasa Mimbarini na Madhabahuni, nauliza tena, huku sio kuchanganya dini na siasa?.

Lile tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kuipinga DPW na Bandari zetu, leo limesomwa mimbarini na madhabahuni na maparoko wa makanisa yote ya Katoliki Tanzania nzima kwenye kila ibada ya kila misa!.

Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kama taasisi huru, iko huru kutoa maoni yake yoyote kuhusu jambo lolote, yakiwemo maoni ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, lakini kitendo cha Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC, kutoa maoni ya kisiasa kuipinga DPW na Bandari zetu, kitendo cha kanisa Katoliki Tanzania kusoma maoni hayo ya kisiasa ya TEC, mimbarini na madhabahuni, sio kuchanganya dini na siasa?.

Madhabahuni na mimbarini ni mahala pa kuabudia, kitendo cha kanisa Katoliki Tanzania, kuusoma waraka huu mimbarini madhabahuni, ni **** kuwaaminisha Wakatoliki kuwa kuipinga DPW na Bandari zetu ni sehemu ya ibada, hivyo Wakatoliki wote sasa wanatakiwa kuipinga DPW. Wale Wakatoliki wanaiunga mkono DPW wakioongozwa na Makamo wetu wa Rais, Dr. Philip Mpango, tunawaweka kwenye hali gani?. Huku sio kuwakwaza Wakatoliki wote tunaounga mkono DPW na Bandari zetu?.

Waraka huo unasisitiza Vox Populi is Vox Dei, kumaanisha sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, Tangu issue ya DPW ilipoibuka, kanisa Katoliki limewahi kukusanya maoni ya waumimi wake kuhusu jambo hili, hivyo kufikia hii conclusion kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW?.

Mimi ni Mkristo Mkatoliki, na toka issue ya DPW iibuke, sijawahi kukosa kanisani hata mara moja, sikumbuki kuwahi kuulizwa maoni yetu kuhusu DPW!, kama kuna Mkatoliki yoyote aliwahi kuombwa maoni yake na kanisa Katoliki, naomba ajitokeze.

Kama kanisa Katoliki halijakusanya maoni ya waumini wake kuhusu DPW, hii hoja ya TEC kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW, wameyatoa wapi?.

Kitendo cha Kanisa Katoliki Tanzania, kukusanya maoni ya Maaskofu wa Katoliki Tanzania, na kuyageuza ndio maoni ya Watanzania, huku sio kusema uongo?.

Na kitendo cha kuusoma uongo huo wa TEC kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW, na kuusomea mimbarini na madhabahuni, huku sio kumkosea Mungu, kuitumia mimbari yake na madhabahu yake vibaya, badala ya kuitumia mimbari na madhabahu, kwa kuabudia, kanisa Katoliki Tanzania linaitumia mimbari na madhabahu kupigia siasa za uoga za kuipinga DPW kwasababu tuu ni ya Waarabu, hivyo kudhani DPW ikija inakuja kueneza Uislam!, na kwa kuzingatia, hivi tuu DPW bado haijapewa mkataba, imetoa misaada ya kujenga misikiti kadhaa, ikipewa Bandari, kazi ya kwanza si ni itakuwa ni kujenga masjid?.

Bunge letu Tukufu limepitisha Azimio la Bunge kuiridhia IGA ya DPW, hawa Maaskofu wa Katoliki Tanzania, wamemtaka Rais Samia alifute Azimio la Bunge kuridhia IGA ya DPW,

Kumbe maaskofu wetu hawaijui katiba!, hawajui kuwa kwa mujibu wa katiba yetu, Rais wa JMT hana mamlaka ya kufuta Azimio la Bunge!, ili Rais Samia alifute Azimio la Bunge, inambidi Rais Samia alivunje Bunge!.

Rais wa JMT ni sehemu ya Bunge kwa mambo matatu tuu, 1. Kuliunda Bunge, kuridhia muswada kuwa sheria na kulivunja Bunge.

Kwa upande wa miswada ya sheria, Bunge likitunga sheria, rais anaweza kukataa kuisaini, anatakiwa kurejesha Bungeni kurekebishwa, Bunge likigoma kurekebisha, rais anakuwa hana jinsi bali ni kulivunja Bunge!.

Lakini kwa upande wa Azimio la Bunge, Bunge likiisha pitisha Azimio la Bunge, rais wa JMT hana mamlaka ya kuingilia chochote bali ni kuteleleza tuu Azimio la Bunge, vinginevyo ni alivunje Bunge!.

Hawa Maaskofu wa Katoliki Tanzania sio mchezo!, wanampangia hadi rais wa JMT na kumlazimisha apindue jambo lililoridhiwa na Bunge!.

Kwa mujibu wa katiba ya JMT, rais wa JMT halazimiki kufuata ushauri wa yoyote kwenye kufikia maamuzi, isipokuwa katika mambo mawili tuu, ambayo rais wa JMT analazimika kuamrishwa kufuata.

Mambo hayo ni 1.Kuiwasilisha Bungeni ndani ya siku 7, ripoti ya CAG, baada ya kuipokea, na asipoiwasilisha ripoti hiyo ndani ya siku 7, inapofika siku ya 6, then CAG anatakiwa am bypass rais na kuwasilisha ripoti hiyo Bungeni. Hapa ni rais wa JMT anapangiwa na analazimishwa atake asitake!.

Ila Bunge letu lilivyo la mazuzu, likapitisha Azimio batili la Bunge kuwa halipokei ripoti ya CAG! Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG?

Kiukweli Bunge lile lilipaswa kunishukuru sana mimi, kwasababu ni mimi ndiye niliyewaambia Azimio lao hilo ni Azimio batili, na nikawaambia kitu kitakachowatokea iwapo Bunge halitapokea ripoti ya CAG Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba

Kitu kilichofanyika ni kwanza rais aliwasilisha ripoti ya CAG Bungeni kabla hajawa by passed na CAG, pili Bunge likaondoa Azimio lao batili kimya kimya, likaipokea ripoti ya CAG.

Jambo la pili ambalo rais wa JMT anaamrishwa ni kutekeleza Azimio la Bunge.

Baada ya Bunge letu Tukufu kuridhia IGA ya DPW na Bandari zetu, pamoja na mapungufu yake yote ya kisheria, IGA sio mkataba ni makubaliano tuu, mkataba ni HGA, hivyo tunaweza kabisa kuwa na HGA nzuri.

Paskali
Wakati nasoma political science nilifundishwa kuhusu separation of power na checks and balance lakini kwa bongo hivi vitu utavisikia tu. Executive imeatamia vyote.
 
Kusema kuwa hawezi kuingilia bunge ni UONGO.kama hawezi kuingilia bunge kwa nini spika jobu ndugai alimfukuza baada ya kusema nchi itauzwa ?
JYN alijiuzulu mwenyewe, hakufukuzwa!
.https://www.jamiiforums.com/threads/ndoa-halali-ndoa-batili-na-ndoa-batilifu-je-wajua-pia-kuna-msamaha-halali-wa-kweli-msamaha-batili-na-msamaha-batilifu-msamaha-ule-ni-batilifu.1945143/ halafu akaandika barua batili ya kujiuzulu Msameheni bure Job Ndugai, amechanganyikiwa baada ya kuomba msamaha batilifu uliokataliwa! Barua yake ya Kujiuzulu nayo pia ni batilifu!

P
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nikipata fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, makala ya leo ni kuhusu Ijue Katiba: Japo Rais ni Sehemu ya Bunge, kwa kuliunda, kulivunja na kuridhia miswada kuwa sheria, lakini Rais Hana Mamlaka ya Kuliingilia Bunge?. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania limemtaka Rais Samia kuifuta IGA ya DPW, iliyoridhiwa na Bunge, ili Rais Samia aifute hiyo IGA, ambayo baada ya kuridhiwa ni Azimio la Bunge, inambidi Rais kwanza kulivunja Bunge, ndipo alivunje Azimio la Bunge.

Katiba ni kakitabu kadogo tuu ka ukurasa, lakini kuielewa katiba, kunahitaji uwezo wa ziada, kama ilivyo kuielewa Biblia Takatifu au Quran Tukufu, kila mtu anayejua kusoma na kuandika, anaweza kusoma Biblia na Quran, lakini kuielewa unahitaji kupata ufunuo.

Vivyo hivyo kwa katiba ya JMT, kila mtu yoyote mwenye uwezo wa kusoma na kuandika, anaweza kuisoma katiba ila kuielewa kunahitaji ujaaliwe ufunuo.

Kwa mujibu wa katiba, mamlaka rasmi ya kuitafsiri katiba ni mhimili wa Mahakama Kuu, lakini it's very unfortunately mhimili wa serikali hawaijui katiba ndio maana wanatunga miswada kinyume cha katiba.

Mhimili wa Bunge, nao it's very unfortunately wanatunga sheria batili zinazokwenda kinyume cha katiba, na juzi kati hapa Bunge letu Tukufu, limeridhia IGA ya DPW na Bandari zetu ambayo iko kinyume cha katiba na sheria zetu.

Mhimili wa Mahakama wenye jukumu la kutafsiri katiba na sheria, nao it's very unfortunately hautimizi wajibu wake kikamilifu kwa kubariki uvunjifu wa katiba unaofanywa na mhimili wa serikali na mhimili wa Bunge!.

Mimi ni Mwanafunzi wa sheria wa Prof. Shivji, kiukweli niko very proud kuwa miongoni mwa wanafunzi tulio mwelewa vizuri Prof. Shivji alipokuwa akitufundisha somo la katiba, na ndio maana somo lake, mimi nimejenga kibanda, kwa kupata A, hivyo sasa najihesabu ni mwalimu wa kujitolea wa somo la Ijue Katiba, na nimeendesha mihadhara mbalimbali ya katiba ambayo imesaidia sana Bunge letu na serikali yetu, na sasa naanzisha vipindi vya Televisheni weekly kuelimisha umma kuhusu katiba, sheria na haki ambayo vitausaidia sana mhimili wa Mahakama kutenda haki.

Miongoni mwa wasioijua katiba ya JMT, ni Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, wametoa waraka wa kuipinga DPW, na kumtaka rais Samia asitishe ile IGA ya DPW na Bandari zetu, bila kujua kwa mujibu wa katiba, rais Samia hana uwezo huo!.

Ila hawa Maaskofu Katoliki, ni kiboko!.
Juzi baada ya kuutoa waraka wao, leo asubuhi katika makanisa yote ya Katoliki Tanzania, waraka huo umesomwa kanisani, mimbarini na madhabahuni!.

Baada ya kuusoma waraka wa TEC humu JF, Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu niliuliza Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa? na baada ya kitendo cha kusoma tamko la kisiasa Mimbarini na Madhabahuni, nauliza tena, huku sio kuchanganya dini na siasa?.

Lile tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kuipinga DPW na Bandari zetu, leo limesomwa mimbarini na madhabahuni na maparoko wa makanisa yote ya Katoliki Tanzania nzima kwenye kila ibada ya kila misa!.

Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kama taasisi huru, iko huru kutoa maoni yake yoyote kuhusu jambo lolote, yakiwemo maoni ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, lakini kitendo cha Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC, kutoa maoni ya kisiasa kuipinga DPW na Bandari zetu, kitendo cha kanisa Katoliki Tanzania kusoma maoni hayo ya kisiasa ya TEC, mimbarini na madhabahuni, sio kuchanganya dini na siasa?.

Madhabahuni na mimbarini ni mahala pa kuabudia, kitendo cha kanisa Katoliki Tanzania, kuusoma waraka huu mimbarini madhabahuni, ni **** kuwaaminisha Wakatoliki kuwa kuipinga DPW na Bandari zetu ni sehemu ya ibada, hivyo Wakatoliki wote sasa wanatakiwa kuipinga DPW. Wale Wakatoliki wanaiunga mkono DPW wakioongozwa na Makamo wetu wa Rais, Dr. Philip Mpango, tunawaweka kwenye hali gani?. Huku sio kuwakwaza Wakatoliki wote tunaounga mkono DPW na Bandari zetu?.

Waraka huo unasisitiza Vox Populi is Vox Dei, kumaanisha sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, Tangu issue ya DPW ilipoibuka, kanisa Katoliki limewahi kukusanya maoni ya waumimi wake kuhusu jambo hili, hivyo kufikia hii conclusion kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW?.

Mimi ni Mkristo Mkatoliki, na toka issue ya DPW iibuke, sijawahi kukosa kanisani hata mara moja, sikumbuki kuwahi kuulizwa maoni yetu kuhusu DPW!, kama kuna Mkatoliki yoyote aliwahi kuombwa maoni yake na kanisa Katoliki, naomba ajitokeze.

Kama kanisa Katoliki halijakusanya maoni ya waumini wake kuhusu DPW, hii hoja ya TEC kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW, wameyatoa wapi?.

Kitendo cha Kanisa Katoliki Tanzania, kukusanya maoni ya Maaskofu wa Katoliki Tanzania, na kuyageuza ndio maoni ya Watanzania, huku sio kusema uongo?.

Na kitendo cha kuusoma uongo huo wa TEC kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW, na kuusomea mimbarini na madhabahuni, huku sio kumkosea Mungu, kuitumia mimbari yake na madhabahu yake vibaya, badala ya kuitumia mimbari na madhabahu, kwa kuabudia, kanisa Katoliki Tanzania linaitumia mimbari na madhabahu kupigia siasa za uoga za kuipinga DPW kwasababu tuu ni ya Waarabu, hivyo kudhani DPW ikija inakuja kueneza Uislam!, na kwa kuzingatia, hivi tuu DPW bado haijapewa mkataba, imetoa misaada ya kujenga misikiti kadhaa, ikipewa Bandari, kazi ya kwanza si ni itakuwa ni kujenga masjid?.

Bunge letu Tukufu limepitisha Azimio la Bunge kuiridhia IGA ya DPW, hawa Maaskofu wa Katoliki Tanzania, wamemtaka Rais Samia alifute Azimio la Bunge kuridhia IGA ya DPW,

Kumbe maaskofu wetu hawaijui katiba!, hawajui kuwa kwa mujibu wa katiba yetu, Rais wa JMT hana mamlaka ya kufuta Azimio la Bunge!, ili Rais Samia alifute Azimio la Bunge, inambidi Rais Samia alivunje Bunge!.

Rais wa JMT ni sehemu ya Bunge kwa mambo matatu tuu, 1. Kuliunda Bunge, kuridhia muswada kuwa sheria na kulivunja Bunge.

Kwa upande wa miswada ya sheria, Bunge likitunga sheria, rais anaweza kukataa kuisaini, anatakiwa kurejesha Bungeni kurekebishwa, Bunge likigoma kurekebisha, rais anakuwa hana jinsi bali ni kulivunja Bunge!.

Lakini kwa upande wa Azimio la Bunge, Bunge likiisha pitisha Azimio la Bunge, rais wa JMT hana mamlaka ya kuingilia chochote bali ni kuteleleza tuu Azimio la Bunge, vinginevyo ni alivunje Bunge!.

Hawa Maaskofu wa Katoliki Tanzania sio mchezo!, wanampangia hadi rais wa JMT na kumlazimisha apindue jambo lililoridhiwa na Bunge!.

Kwa mujibu wa katiba ya JMT, rais wa JMT halazimiki kufuata ushauri wa yoyote kwenye kufikia maamuzi, isipokuwa katika mambo mawili tuu, ambayo rais wa JMT analazimika kuamrishwa kufuata.

Mambo hayo ni 1.Kuiwasilisha Bungeni ndani ya siku 7, ripoti ya CAG, baada ya kuipokea, na asipoiwasilisha ripoti hiyo ndani ya siku 7, inapofika siku ya 6, then CAG anatakiwa am bypass rais na kuwasilisha ripoti hiyo Bungeni. Hapa ni rais wa JMT anapangiwa na analazimishwa atake asitake!.

Ila Bunge letu lilivyo la mazuzu, likapitisha Azimio batili la Bunge kuwa halipokei ripoti ya CAG! Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG?

Kiukweli Bunge lile lilipaswa kunishukuru sana mimi, kwasababu ni mimi ndiye niliyewaambia Azimio lao hilo ni Azimio batili, na nikawaambia kitu kitakachowatokea iwapo Bunge halitapokea ripoti ya CAG Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba

Kitu kilichofanyika ni kwanza rais aliwasilisha ripoti ya CAG Bungeni kabla hajawa by passed na CAG, pili Bunge likaondoa Azimio lao batili kimya kimya, likaipokea ripoti ya CAG.

Jambo la pili ambalo rais wa JMT anaamrishwa ni kutekeleza Azimio la Bunge.

Baada ya Bunge letu Tukufu kuridhia IGA ya DPW na Bandari zetu, pamoja na mapungufu yake yote ya kisheria, IGA sio mkataba ni makubaliano tuu, mkataba ni HGA, hivyo tunaweza kabisa kuwa na HGA nzuri.

Paskali
Usituchanganye Pimbi
 
Hivi tulipigania/tulidai uhuru wa kazi gani kama hatuwezi kusimamia mambo yetu wenyewe? na serikali inakiri hivyo kuwa TPA nimeshindwa na dawa ni kuleta waarabu. Hivi watanzania tunafifikri vizuri kweli? Hatujifunzi tu makosa tuliyofanya huko nyuma(madini, tanesco, dawasco, railways nk)?

Inatisha na kusikitisha sana ukiona wasomi wazuri namna hii waliosoma shule za umma na kwa kodi za walala hoi wanashupaa mishipa ya shingo kutaka bandari zetu wapewe DPW. Tumekurogwa na nani sisi ngozi nyeusi?
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nikipata fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, makala ya leo ni kuhusu Ijue Katiba: Japo Rais ni Sehemu ya Bunge, kwa kuliunda, kulivunja na kuridhia miswada kuwa sheria, lakini Rais Hana Mamlaka ya Kuliingilia Bunge?. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania limemtaka Rais Samia kuifuta IGA ya DPW, iliyoridhiwa na Bunge, ili Rais Samia aifute hiyo IGA, ambayo baada ya kuridhiwa ni Azimio la Bunge, inambidi Rais kwanza kulivunja Bunge, ndipo alivunje Azimio la Bunge.

Katiba ni kakitabu kadogo tuu ka ukurasa, lakini kuielewa katiba, kunahitaji uwezo wa ziada, kama ilivyo kuielewa Biblia Takatifu au Quran Tukufu, kila mtu anayejua kusoma na kuandika, anaweza kusoma Biblia na Quran, lakini kuielewa unahitaji kupata ufunuo.

Vivyo hivyo kwa katiba ya JMT, kila mtu yoyote mwenye uwezo wa kusoma na kuandika, anaweza kuisoma katiba ila kuielewa kunahitaji ujaaliwe ufunuo.

Kwa mujibu wa katiba, mamlaka rasmi ya kuitafsiri katiba ni mhimili wa Mahakama Kuu, lakini it's very unfortunately mhimili wa serikali hawaijui katiba ndio maana wanatunga miswada kinyume cha katiba.

Mhimili wa Bunge, nao it's very unfortunately wanatunga sheria batili zinazokwenda kinyume cha katiba, na juzi kati hapa Bunge letu Tukufu, limeridhia IGA ya DPW na Bandari zetu ambayo iko kinyume cha katiba na sheria zetu.

Mhimili wa Mahakama wenye jukumu la kutafsiri katiba na sheria, nao it's very unfortunately hautimizi wajibu wake kikamilifu kwa kubariki uvunjifu wa katiba unaofanywa na mhimili wa serikali na mhimili wa Bunge!.

Mimi ni Mwanafunzi wa sheria wa Prof. Shivji, kiukweli niko very proud kuwa miongoni mwa wanafunzi tulio mwelewa vizuri Prof. Shivji alipokuwa akitufundisha somo la katiba, na ndio maana somo lake, mimi nimejenga kibanda, kwa kupata A, hivyo sasa najihesabu ni mwalimu wa kujitolea wa somo la Ijue Katiba, na nimeendesha mihadhara mbalimbali ya katiba ambayo imesaidia sana Bunge letu na serikali yetu, na sasa naanzisha vipindi vya Televisheni weekly kuelimisha umma kuhusu katiba, sheria na haki ambayo vitausaidia sana mhimili wa Mahakama kutenda haki.

Miongoni mwa wasioijua katiba ya JMT, ni Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, wametoa waraka wa kuipinga DPW, na kumtaka rais Samia asitishe ile IGA ya DPW na Bandari zetu, bila kujua kwa mujibu wa katiba, rais Samia hana uwezo huo!.

Ila hawa Maaskofu Katoliki, ni kiboko!.
Juzi baada ya kuutoa waraka wao, leo asubuhi katika makanisa yote ya Katoliki Tanzania, waraka huo umesomwa kanisani, mimbarini na madhabahuni!.

Baada ya kuusoma waraka wa TEC humu JF, Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu niliuliza Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa? na baada ya kitendo cha kusoma tamko la kisiasa Mimbarini na Madhabahuni, nauliza tena, huku sio kuchanganya dini na siasa?.

Lile tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kuipinga DPW na Bandari zetu, leo limesomwa mimbarini na madhabahuni na maparoko wa makanisa yote ya Katoliki Tanzania nzima kwenye kila ibada ya kila misa!.

Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kama taasisi huru, iko huru kutoa maoni yake yoyote kuhusu jambo lolote, yakiwemo maoni ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, lakini kitendo cha Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC, kutoa maoni ya kisiasa kuipinga DPW na Bandari zetu, kitendo cha kanisa Katoliki Tanzania kusoma maoni hayo ya kisiasa ya TEC, mimbarini na madhabahuni, sio kuchanganya dini na siasa?.

Madhabahuni na mimbarini ni mahala pa kuabudia, kitendo cha kanisa Katoliki Tanzania, kuusoma waraka huu mimbarini madhabahuni, ni **** kuwaaminisha Wakatoliki kuwa kuipinga DPW na Bandari zetu ni sehemu ya ibada, hivyo Wakatoliki wote sasa wanatakiwa kuipinga DPW. Wale Wakatoliki wanaiunga mkono DPW wakioongozwa na Makamo wetu wa Rais, Dr. Philip Mpango, tunawaweka kwenye hali gani?. Huku sio kuwakwaza Wakatoliki wote tunaounga mkono DPW na Bandari zetu?.

Waraka huo unasisitiza Vox Populi is Vox Dei, kumaanisha sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, Tangu issue ya DPW ilipoibuka, kanisa Katoliki limewahi kukusanya maoni ya waumimi wake kuhusu jambo hili, hivyo kufikia hii conclusion kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW?.

Mimi ni Mkristo Mkatoliki, na toka issue ya DPW iibuke, sijawahi kukosa kanisani hata mara moja, sikumbuki kuwahi kuulizwa maoni yetu kuhusu DPW!, kama kuna Mkatoliki yoyote aliwahi kuombwa maoni yake na kanisa Katoliki, naomba ajitokeze.

Kama kanisa Katoliki halijakusanya maoni ya waumini wake kuhusu DPW, hii hoja ya TEC kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW, wameyatoa wapi?.

Kitendo cha Kanisa Katoliki Tanzania, kukusanya maoni ya Maaskofu wa Katoliki Tanzania, na kuyageuza ndio maoni ya Watanzania, huku sio kusema uongo?.

Na kitendo cha kuusoma uongo huo wa TEC kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW, na kuusomea mimbarini na madhabahuni, huku sio kumkosea Mungu, kuitumia mimbari yake na madhabahu yake vibaya, badala ya kuitumia mimbari na madhabahu, kwa kuabudia, kanisa Katoliki Tanzania linaitumia mimbari na madhabahu kupigia siasa za uoga za kuipinga DPW kwasababu tuu ni ya Waarabu, hivyo kudhani DPW ikija inakuja kueneza Uislam!, na kwa kuzingatia, hivi tuu DPW bado haijapewa mkataba, imetoa misaada ya kujenga misikiti kadhaa, ikipewa Bandari, kazi ya kwanza si ni itakuwa ni kujenga masjid?.

Bunge letu Tukufu limepitisha Azimio la Bunge kuiridhia IGA ya DPW, hawa Maaskofu wa Katoliki Tanzania, wamemtaka Rais Samia alifute Azimio la Bunge kuridhia IGA ya DPW,

Kumbe maaskofu wetu hawaijui katiba!, hawajui kuwa kwa mujibu wa katiba yetu, Rais wa JMT hana mamlaka ya kufuta Azimio la Bunge!, ili Rais Samia alifute Azimio la Bunge, inambidi Rais Samia alivunje Bunge!.

Rais wa JMT ni sehemu ya Bunge kwa mambo matatu tuu, 1. Kuliunda Bunge, kuridhia muswada kuwa sheria na kulivunja Bunge.

Kwa upande wa miswada ya sheria, Bunge likitunga sheria, rais anaweza kukataa kuisaini, anatakiwa kurejesha Bungeni kurekebishwa, Bunge likigoma kurekebisha, rais anakuwa hana jinsi bali ni kulivunja Bunge!.

Lakini kwa upande wa Azimio la Bunge, Bunge likiisha pitisha Azimio la Bunge, rais wa JMT hana mamlaka ya kuingilia chochote bali ni kuteleleza tuu Azimio la Bunge, vinginevyo ni alivunje Bunge!.

Hawa Maaskofu wa Katoliki Tanzania sio mchezo!, wanampangia hadi rais wa JMT na kumlazimisha apindue jambo lililoridhiwa na Bunge!.

Kwa mujibu wa katiba ya JMT, rais wa JMT halazimiki kufuata ushauri wa yoyote kwenye kufikia maamuzi, isipokuwa katika mambo mawili tuu, ambayo rais wa JMT analazimika kuamrishwa kufuata.

Mambo hayo ni 1.Kuiwasilisha Bungeni ndani ya siku 7, ripoti ya CAG, baada ya kuipokea, na asipoiwasilisha ripoti hiyo ndani ya siku 7, inapofika siku ya 6, then CAG anatakiwa am bypass rais na kuwasilisha ripoti hiyo Bungeni. Hapa ni rais wa JMT anapangiwa na analazimishwa atake asitake!.

Ila Bunge letu lilivyo la mazuzu, likapitisha Azimio batili la Bunge kuwa halipokei ripoti ya CAG! Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG?

Kiukweli Bunge lile lilipaswa kunishukuru sana mimi, kwasababu ni mimi ndiye niliyewaambia Azimio lao hilo ni Azimio batili, na nikawaambia kitu kitakachowatokea iwapo Bunge halitapokea ripoti ya CAG Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba

Kitu kilichofanyika ni kwanza rais aliwasilisha ripoti ya CAG Bungeni kabla hajawa by passed na CAG, pili Bunge likaondoa Azimio lao batili kimya kimya, likaipokea ripoti ya CAG.

Jambo la pili ambalo rais wa JMT anaamrishwa ni kutekeleza Azimio la Bunge.

Baada ya Bunge letu Tukufu kuridhia IGA ya DPW na Bandari zetu, pamoja na mapungufu yake yote ya kisheria, IGA sio mkataba ni makubaliano tuu, mkataba ni HGA, hivyo tunaweza kabisa kuwa na HGA nzuri.

Paskali
Kaka Paskali, nimekushangaa sana hapo uliposema NANUKUU..
Kumbe maaskofu wetu hawaijui katiba!, hawajui kuwa kwa mujibu wa katiba yetu, Rais wa JMT hana mamlaka ya kufuta Azimio la Bunge!, ili Rais Samia alifute Azimio la Bunge, inambidi Rais Samia alivunje Bunge!. MWISHO WA KUNUKUU..

Swali langu kwako ni hili

kwamba kwa sababu maombi yao yanapelekea kuvunjwa kwa bunge, BASI NDO HAWAJUI KATIBA?
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nikipata fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, makala ya leo ni kuhusu Ijue Katiba: Japo Rais ni Sehemu ya Bunge, kwa kuliunda, kulivunja na kuridhia miswada kuwa sheria, lakini Rais Hana Mamlaka ya Kuliingilia Bunge?. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania limemtaka Rais Samia kuifuta IGA ya DPW, iliyoridhiwa na Bunge, ili Rais Samia aifute hiyo IGA, ambayo baada ya kuridhiwa ni Azimio la Bunge, inambidi Rais kwanza kulivunja Bunge, ndipo alivunje Azimio la Bunge.

Katiba ni kakitabu kadogo tuu ka ukurasa, lakini kuielewa katiba, kunahitaji uwezo wa ziada, kama ilivyo kuielewa Biblia Takatifu au Quran Tukufu, kila mtu anayejua kusoma na kuandika, anaweza kusoma Biblia na Quran, lakini kuielewa unahitaji kupata ufunuo.

Vivyo hivyo kwa katiba ya JMT, kila mtu yoyote mwenye uwezo wa kusoma na kuandika, anaweza kuisoma katiba ila kuielewa kunahitaji ujaaliwe ufunuo.

Kwa mujibu wa katiba, mamlaka rasmi ya kuitafsiri katiba ni mhimili wa Mahakama Kuu, lakini it's very unfortunately mhimili wa serikali hawaijui katiba ndio maana wanatunga miswada kinyume cha katiba.

Mhimili wa Bunge, nao it's very unfortunately wanatunga sheria batili zinazokwenda kinyume cha katiba, na juzi kati hapa Bunge letu Tukufu, limeridhia IGA ya DPW na Bandari zetu ambayo iko kinyume cha katiba na sheria zetu.

Mhimili wa Mahakama wenye jukumu la kutafsiri katiba na sheria, nao it's very unfortunately hautimizi wajibu wake kikamilifu kwa kubariki uvunjifu wa katiba unaofanywa na mhimili wa serikali na mhimili wa Bunge!.

Mimi ni Mwanafunzi wa sheria wa Prof. Shivji, kiukweli niko very proud kuwa miongoni mwa wanafunzi tulio mwelewa vizuri Prof. Shivji alipokuwa akitufundisha somo la katiba, na ndio maana somo lake, mimi nimejenga kibanda, kwa kupata A, hivyo sasa najihesabu ni mwalimu wa kujitolea wa somo la Ijue Katiba, na nimeendesha mihadhara mbalimbali ya katiba ambayo imesaidia sana Bunge letu na serikali yetu, na sasa naanzisha vipindi vya Televisheni weekly kuelimisha umma kuhusu katiba, sheria na haki ambayo vitausaidia sana mhimili wa Mahakama kutenda haki.

Miongoni mwa wasioijua katiba ya JMT, ni Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, wametoa waraka wa kuipinga DPW, na kumtaka rais Samia asitishe ile IGA ya DPW na Bandari zetu, bila kujua kwa mujibu wa katiba, rais Samia hana uwezo huo!.

Ila hawa Maaskofu Katoliki, ni kiboko!.
Juzi baada ya kuutoa waraka wao, leo asubuhi katika makanisa yote ya Katoliki Tanzania, waraka huo umesomwa kanisani, mimbarini na madhabahuni!.

Baada ya kuusoma waraka wa TEC humu JF, Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu niliuliza Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa? na baada ya kitendo cha kusoma tamko la kisiasa Mimbarini na Madhabahuni, nauliza tena, huku sio kuchanganya dini na siasa?.

Lile tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kuipinga DPW na Bandari zetu, leo limesomwa mimbarini na madhabahuni na maparoko wa makanisa yote ya Katoliki Tanzania nzima kwenye kila ibada ya kila misa!.

Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kama taasisi huru, iko huru kutoa maoni yake yoyote kuhusu jambo lolote, yakiwemo maoni ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, lakini kitendo cha Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC, kutoa maoni ya kisiasa kuipinga DPW na Bandari zetu, kitendo cha kanisa Katoliki Tanzania kusoma maoni hayo ya kisiasa ya TEC, mimbarini na madhabahuni, sio kuchanganya dini na siasa?.

Madhabahuni na mimbarini ni mahala pa kuabudia, kitendo cha kanisa Katoliki Tanzania, kuusoma waraka huu mimbarini madhabahuni, ni **** kuwaaminisha Wakatoliki kuwa kuipinga DPW na Bandari zetu ni sehemu ya ibada, hivyo Wakatoliki wote sasa wanatakiwa kuipinga DPW. Wale Wakatoliki wanaiunga mkono DPW wakioongozwa na Makamo wetu wa Rais, Dr. Philip Mpango, tunawaweka kwenye hali gani?. Huku sio kuwakwaza Wakatoliki wote tunaounga mkono DPW na Bandari zetu?.

Waraka huo unasisitiza Vox Populi is Vox Dei, kumaanisha sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, Tangu issue ya DPW ilipoibuka, kanisa Katoliki limewahi kukusanya maoni ya waumimi wake kuhusu jambo hili, hivyo kufikia hii conclusion kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW?.

Mimi ni Mkristo Mkatoliki, na toka issue ya DPW iibuke, sijawahi kukosa kanisani hata mara moja, sikumbuki kuwahi kuulizwa maoni yetu kuhusu DPW!, kama kuna Mkatoliki yoyote aliwahi kuombwa maoni yake na kanisa Katoliki, naomba ajitokeze.

Kama kanisa Katoliki halijakusanya maoni ya waumini wake kuhusu DPW, hii hoja ya TEC kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW, wameyatoa wapi?.

Kitendo cha Kanisa Katoliki Tanzania, kukusanya maoni ya Maaskofu wa Katoliki Tanzania, na kuyageuza ndio maoni ya Watanzania, huku sio kusema uongo?.

Na kitendo cha kuusoma uongo huo wa TEC kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW, na kuusomea mimbarini na madhabahuni, huku sio kumkosea Mungu, kuitumia mimbari yake na madhabahu yake vibaya, badala ya kuitumia mimbari na madhabahu, kwa kuabudia, kanisa Katoliki Tanzania linaitumia mimbari na madhabahu kupigia siasa za uoga za kuipinga DPW kwasababu tuu ni ya Waarabu, hivyo kudhani DPW ikija inakuja kueneza Uislam!, na kwa kuzingatia, hivi tuu DPW bado haijapewa mkataba, imetoa misaada ya kujenga misikiti kadhaa, ikipewa Bandari, kazi ya kwanza si ni itakuwa ni kujenga masjid?.

Bunge letu Tukufu limepitisha Azimio la Bunge kuiridhia IGA ya DPW, hawa Maaskofu wa Katoliki Tanzania, wamemtaka Rais Samia alifute Azimio la Bunge kuridhia IGA ya DPW,

Kumbe maaskofu wetu hawaijui katiba!, hawajui kuwa kwa mujibu wa katiba yetu, Rais wa JMT hana mamlaka ya kufuta Azimio la Bunge!, ili Rais Samia alifute Azimio la Bunge, inambidi Rais Samia alivunje Bunge!.

Rais wa JMT ni sehemu ya Bunge kwa mambo matatu tuu, 1. Kuliunda Bunge, kuridhia muswada kuwa sheria na kulivunja Bunge.

Kwa upande wa miswada ya sheria, Bunge likitunga sheria, rais anaweza kukataa kuisaini, anatakiwa kurejesha Bungeni kurekebishwa, Bunge likigoma kurekebisha, rais anakuwa hana jinsi bali ni kulivunja Bunge!.

Lakini kwa upande wa Azimio la Bunge, Bunge likiisha pitisha Azimio la Bunge, rais wa JMT hana mamlaka ya kuingilia chochote bali ni kuteleleza tuu Azimio la Bunge, vinginevyo ni alivunje Bunge!.

Hawa Maaskofu wa Katoliki Tanzania sio mchezo!, wanampangia hadi rais wa JMT na kumlazimisha apindue jambo lililoridhiwa na Bunge!.

Kwa mujibu wa katiba ya JMT, rais wa JMT halazimiki kufuata ushauri wa yoyote kwenye kufikia maamuzi, isipokuwa katika mambo mawili tuu, ambayo rais wa JMT analazimika kuamrishwa kufuata.

Mambo hayo ni 1.Kuiwasilisha Bungeni ndani ya siku 7, ripoti ya CAG, baada ya kuipokea, na asipoiwasilisha ripoti hiyo ndani ya siku 7, inapofika siku ya 6, then CAG anatakiwa am bypass rais na kuwasilisha ripoti hiyo Bungeni. Hapa ni rais wa JMT anapangiwa na analazimishwa atake asitake!.

Ila Bunge letu lilivyo la mazuzu, likapitisha Azimio batili la Bunge kuwa halipokei ripoti ya CAG! Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG?

Kiukweli Bunge lile lilipaswa kunishukuru sana mimi, kwasababu ni mimi ndiye niliyewaambia Azimio lao hilo ni Azimio batili, na nikawaambia kitu kitakachowatokea iwapo Bunge halitapokea ripoti ya CAG Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba

Kitu kilichofanyika ni kwanza rais aliwasilisha ripoti ya CAG Bungeni kabla hajawa by passed na CAG, pili Bunge likaondoa Azimio lao batili kimya kimya, likaipokea ripoti ya CAG.

Jambo la pili ambalo rais wa JMT anaamrishwa ni kutekeleza Azimio la Bunge.

Baada ya Bunge letu Tukufu kuridhia IGA ya DPW na Bandari zetu, pamoja na mapungufu yake yote ya kisheria, IGA sio mkataba ni makubaliano tuu, mkataba ni HGA, hivyo
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nikipata fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, makala ya leo ni kuhusu Ijue Katiba: Japo Rais ni Sehemu ya Bunge, kwa kuliunda, kulivunja na kuridhia miswada kuwa sheria, lakini Rais Hana Mamlaka ya Kuliingilia Bunge?. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania limemtaka Rais Samia kuifuta IGA ya DPW, iliyoridhiwa na Bunge, ili Rais Samia aifute hiyo IGA, ambayo baada ya kuridhiwa ni Azimio la Bunge, inambidi Rais kwanza kulivunja Bunge, ndipo alivunje Azimio la Bunge.

Katiba ni kakitabu kadogo tuu ka ukurasa, lakini kuielewa katiba, kunahitaji uwezo wa ziada, kama ilivyo kuielewa Biblia Takatifu au Quran Tukufu, kila mtu anayejua kusoma na kuandika, anaweza kusoma Biblia na Quran, lakini kuielewa unahitaji kupata ufunuo.

Vivyo hivyo kwa katiba ya JMT, kila mtu yoyote mwenye uwezo wa kusoma na kuandika, anaweza kuisoma katiba ila kuielewa kunahitaji ujaaliwe ufunuo.

Kwa mujibu wa katiba, mamlaka rasmi ya kuitafsiri katiba ni mhimili wa Mahakama Kuu, lakini it's very unfortunately mhimili wa serikali hawaijui katiba ndio maana wanatunga miswada kinyume cha katiba.

Mhimili wa Bunge, nao it's very unfortunately wanatunga sheria batili zinazokwenda kinyume cha katiba, na juzi kati hapa Bunge letu Tukufu, limeridhia IGA ya DPW na Bandari zetu ambayo iko kinyume cha katiba na sheria zetu.

Mhimili wa Mahakama wenye jukumu la kutafsiri katiba na sheria, nao it's very unfortunately hautimizi wajibu wake kikamilifu kwa kubariki uvunjifu wa katiba unaofanywa na mhimili wa serikali na mhimili wa Bunge!.

Mimi ni Mwanafunzi wa sheria wa Prof. Shivji, kiukweli niko very proud kuwa miongoni mwa wanafunzi tulio mwelewa vizuri Prof. Shivji alipokuwa akitufundisha somo la katiba, na ndio maana somo lake, mimi nimejenga kibanda, kwa kupata A, hivyo sasa najihesabu ni mwalimu wa kujitolea wa somo la Ijue Katiba, na nimeendesha mihadhara mbalimbali ya katiba ambayo imesaidia sana Bunge letu na serikali yetu, na sasa naanzisha vipindi vya Televisheni weekly kuelimisha umma kuhusu katiba, sheria na haki ambayo vitausaidia sana mhimili wa Mahakama kutenda haki.

Miongoni mwa wasioijua katiba ya JMT, ni Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, wametoa waraka wa kuipinga DPW, na kumtaka rais Samia asitishe ile IGA ya DPW na Bandari zetu, bila kujua kwa mujibu wa katiba, rais Samia hana uwezo huo!.

Ila hawa Maaskofu Katoliki, ni kiboko!.
Juzi baada ya kuutoa waraka wao, leo asubuhi katika makanisa yote ya Katoliki Tanzania, waraka huo umesomwa kanisani, mimbarini na madhabahuni!.

Baada ya kuusoma waraka wa TEC humu JF, Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu niliuliza Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa? na baada ya kitendo cha kusoma tamko la kisiasa Mimbarini na Madhabahuni, nauliza tena, huku sio kuchanganya dini na siasa?.

Lile tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kuipinga DPW na Bandari zetu, leo limesomwa mimbarini na madhabahuni na maparoko wa makanisa yote ya Katoliki Tanzania nzima kwenye kila ibada ya kila misa!.

Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kama taasisi huru, iko huru kutoa maoni yake yoyote kuhusu jambo lolote, yakiwemo maoni ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, lakini kitendo cha Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC, kutoa maoni ya kisiasa kuipinga DPW na Bandari zetu, kitendo cha kanisa Katoliki Tanzania kusoma maoni hayo ya kisiasa ya TEC, mimbarini na madhabahuni, sio kuchanganya dini na siasa?.

Madhabahuni na mimbarini ni mahala pa kuabudia, kitendo cha kanisa Katoliki Tanzania, kuusoma waraka huu mimbarini madhabahuni, ni **** kuwaaminisha Wakatoliki kuwa kuipinga DPW na Bandari zetu ni sehemu ya ibada, hivyo Wakatoliki wote sasa wanatakiwa kuipinga DPW. Wale Wakatoliki wanaiunga mkono DPW wakioongozwa na Makamo wetu wa Rais, Dr. Philip Mpango, tunawaweka kwenye hali gani?. Huku sio kuwakwaza Wakatoliki wote tunaounga mkono DPW na Bandari zetu?.

Waraka huo unasisitiza Vox Populi is Vox Dei, kumaanisha sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, Tangu issue ya DPW ilipoibuka, kanisa Katoliki limewahi kukusanya maoni ya waumimi wake kuhusu jambo hili, hivyo kufikia hii conclusion kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW?.

Mimi ni Mkristo Mkatoliki, na toka issue ya DPW iibuke, sijawahi kukosa kanisani hata mara moja, sikumbuki kuwahi kuulizwa maoni yetu kuhusu DPW!, kama kuna Mkatoliki yoyote aliwahi kuombwa maoni yake na kanisa Katoliki, naomba ajitokeze.

Kama kanisa Katoliki halijakusanya maoni ya waumini wake kuhusu DPW, hii hoja ya TEC kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW, wameyatoa wapi?.

Kitendo cha Kanisa Katoliki Tanzania, kukusanya maoni ya Maaskofu wa Katoliki Tanzania, na kuyageuza ndio maoni ya Watanzania, huku sio kusema uongo?.

Na kitendo cha kuusoma uongo huo wa TEC kuwa Watanzania wengi hawaitaki DPW, na kuusomea mimbarini na madhabahuni, huku sio kumkosea Mungu, kuitumia mimbari yake na madhabahu yake vibaya, badala ya kuitumia mimbari na madhabahu, kwa kuabudia, kanisa Katoliki Tanzania linaitumia mimbari na madhabahu kupigia siasa za uoga za kuipinga DPW kwasababu tuu ni ya Waarabu, hivyo kudhani DPW ikija inakuja kueneza Uislam!, na kwa kuzingatia, hivi tuu DPW bado haijapewa mkataba, imetoa misaada ya kujenga misikiti kadhaa, ikipewa Bandari, kazi ya kwanza si ni itakuwa ni kujenga masjid?.

Bunge letu Tukufu limepitisha Azimio la Bunge kuiridhia IGA ya DPW, hawa Maaskofu wa Katoliki Tanzania, wamemtaka Rais Samia alifute Azimio la Bunge kuridhia IGA ya DPW,

Kumbe maaskofu wetu hawaijui katiba!, hawajui kuwa kwa mujibu wa katiba yetu, Rais wa JMT hana mamlaka ya kufuta Azimio la Bunge!, ili Rais Samia alifute Azimio la Bunge, inambidi Rais Samia alivunje Bunge!.

Rais wa JMT ni sehemu ya Bunge kwa mambo matatu tuu, 1. Kuliunda Bunge, kuridhia muswada kuwa sheria na kulivunja Bunge.

Kwa upande wa miswada ya sheria, Bunge likitunga sheria, rais anaweza kukataa kuisaini, anatakiwa kurejesha Bungeni kurekebishwa, Bunge likigoma kurekebisha, rais anakuwa hana jinsi bali ni kulivunja Bunge!.

Lakini kwa upande wa Azimio la Bunge, Bunge likiisha pitisha Azimio la Bunge, rais wa JMT hana mamlaka ya kuingilia chochote bali ni kuteleleza tuu Azimio la Bunge, vinginevyo ni alivunje Bunge!.

Hawa Maaskofu wa Katoliki Tanzania sio mchezo!, wanampangia hadi rais wa JMT na kumlazimisha apindue jambo lililoridhiwa na Bunge!.

Kwa mujibu wa katiba ya JMT, rais wa JMT halazimiki kufuata ushauri wa yoyote kwenye kufikia maamuzi, isipokuwa katika mambo mawili tuu, ambayo rais wa JMT analazimika kuamrishwa kufuata.

Mambo hayo ni 1.Kuiwasilisha Bungeni ndani ya siku 7, ripoti ya CAG, baada ya kuipokea, na asipoiwasilisha ripoti hiyo ndani ya siku 7, inapofika siku ya 6, then CAG anatakiwa am bypass rais na kuwasilisha ripoti hiyo Bungeni. Hapa ni rais wa JMT anapangiwa na analazimishwa atake asitake!.

Ila Bunge letu lilivyo la mazuzu, likapitisha Azimio batili la Bunge kuwa halipokei ripoti ya CAG! Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG?

Kiukweli Bunge lile lilipaswa kunishukuru sana mimi, kwasababu ni mimi ndiye niliyewaambia Azimio lao hilo ni Azimio batili, na nikawaambia kitu kitakachowatokea iwapo Bunge halitapokea ripoti ya CAG Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba

Kitu kilichofanyika ni kwanza rais aliwasilisha ripoti ya CAG Bungeni kabla hajawa by passed na CAG, pili Bunge likaondoa Azimio lao batili kimya kimya, likaipokea ripoti ya CAG.

Jambo la pili ambalo rais wa JMT anaamrishwa ni kutekeleza Azimio la Bunge.

Baada ya Bunge letu Tukufu kuridhia IGA ya DPW na Bandari zetu, pamoja na mapungufu yake yote ya kisheria, IGA sio mkataba ni makubaliano tuu, mkataba ni HGA, hivyo tunaweza kabisa kuwa na HGA nzuri.

Paskali
BW. P., umetutambia humu kuwa ulikuwa mwanafunzi mzuri wa Prof. Shivji na kupata A. Katika mjadala huu unaoendelea Shivji alisha toa maoni yake ya kisheria. Swali ni kama ulimsikia na kumwelewa?
 
Back
Top Bottom