Jamani wananchi wa Tanzania wanawalipa hela waajiriwa wa serikali wasiofanya kazi kabisa. Kila sehemu wanaajiri wataalamu wa IT lakini sioni wanachokifanya. Yaani website ya mashirika hadi ya nchi hazina data za 2010 forget about 2012. Sasa hivi mnakula mshahara wa nini jamani.
Angalai hii kitu ya EWURA wanasema mradi utakamilika mwishoni mwa 2007....eti web page ya mwaka 2012 kama siyo uhuni ni nini sasa
"Another 100MW capacity that may come on line by the end 2007 is under construction by TANESCO." check kwenye link hapa
EWURA - Energy & Water Utilities Regulatory Authority of Tanzania
Angalai hii kitu ya EWURA wanasema mradi utakamilika mwishoni mwa 2007....eti web page ya mwaka 2012 kama siyo uhuni ni nini sasa
"Another 100MW capacity that may come on line by the end 2007 is under construction by TANESCO." check kwenye link hapa
EWURA - Energy & Water Utilities Regulatory Authority of Tanzania