Wajanja ni sisi wa mjini au wao wa vijijini

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437


Kwa nini wana nchi wa majimbo yaliyo nje na miji ndio wamekuwa wepesi kuwachagua wabunge wa upinzani wakati sisi wa darisalama au tulipo tunaojiita wasomi wengi na miji mingine kama arusha mwanza,Mbeya mjini haina wabunge wa upinzani.

Ukiondoa jimbo la Moshi mjini na Bukoba mjini kipindi fulani na temeke enzi za mrema sijui ni ni jimbo gani limewai kuonyesha wakazi wa mujini tunahitaji mabadiliko.

-tuko busy kiasi tunshinwa kupiga kura za kuleta mabadliko?
- Tumekubali ule msemo wa zimwi likujualo
-Tumeridhika na mambo yalivyo ?
- kwa kuwa tunakula tunakunywa we have nothing to loose ?

Pendekezo
Kuliko kuchagua Mbunge mbovu wa CCM bora tuchahge mbunge mbovu wa upinzani litakuwa fundisho.
 
jamaa ni wapinzani wa njaa yao wala sio ccm

Kwa mtazamo wako bora tuendelee na style ya zimwi likujualo?

Nidhamu ya woga na kuogopa ku take risk ni baadhi ya sababu za msingi zinazotufanya tuwe hapa tulipo. Kuogopa kutake risk ni riks by itself.

Ni vema watu tujitahidi kuweka wabunge wengi wa upinzani acha wa CCM iwe na rais Daima.
 
Sio lazima umchague mpinzani hata kama hana sifa kwa vile ni mpinzani.Tunaangalia sifa ya mtu na uwezo alio nao kama yupo CCM,CCJ au mgombea mbinafsi yote haijalishi.Ishu hapa ni je ATATUFAA?
 
Kwa mtazamo wako bora tuendelee na style ya zimwi likujualo?

Nidhamu ya woga na kuogopa ku take risk ni baadhi ya sababu za msingi zinazotufanya tuwe hapa tulipo. Kuogopa kutake risk ni riks by itself.

Ni vema watu tujitahidi kuweka wabunge wengi wa upinzani acha wa CCM iwe na rais Daima.

inabidi lipumba aingie bungeni being underdog is not a deal
 
Sio lazima umchague mpinzani hata kama hana sifa kwa vile ni mpinzani.Tunaangalia sifa ya mtu na uwezo alio nao kama yupo CCM,CCJ au mgombea mbinafsi yote haijalishi.Ishu hapa ni je ATATUFAA?
maskini point yako nzuri ila kakura cha kamoja tuu
 
Sio lazima umchague mpinzani hata kama hana sifa kwa vile ni mpinzani.Tunaangalia sifa ya mtu na uwezo alio nao kama yupo CCM,CCJ au mgombea mbinafsi yote haijalishi.Ishu hapa ni je ATATUFAA?

Ni kweli lakini Hoja kwa nn Majimbo ya mjini yamekuwa hayana wabunge wa upinzani. Sidhani kam ni kweli wagombea wote waichaguliwa majimbo ya mjini wa CCMwanafaa zaidi ya wale walioshindwa. Kuna issue ya wapiga kura hapa tunaongea sana siku ya kupiga kura tunaona usumbufu kwenda kusimama masaa mawili eti kumpa mtu mlo.

Suala lingine ukiwa na wabunge 400 wanaofaa wa CCM ni sawa na 2-2 =0. Bora uwe na 200 wa CCM wanofaa na 200 wasiofaa wa vyama vingine . Kuna kitu watachangia hawa. CCM imeshalemaa
 
Back
Top Bottom