Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,914
- 6,033
Mufti Mkuu amemuambia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuwa wao kama Waislam wapo tayari kuiombea sensa na kuhesabiwa. Wataiombea Sensa ifanyike vizuri kwa amani na ikamilike ili lengo la serikali liweze kutimia.
Hivyo waislamu wote wapo tayari kuhesabiwa August 23.
Hivyo waislamu wote wapo tayari kuhesabiwa August 23.