The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,464
- 17,292
Mufti mkuu wa Tanzania amewataka waislamu kuiombea sensa leo ijumaa.
Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir amewataka waumini wa Kiislam kote nchini kuitumia Ijumaa ya kesho Agosti 19, 2022 kuomba dua maalum kwa ajili ya kuliombea Taifa na kuiombea siku ya Sensa ya Watu na Makazi inayotarajiwa kufanyika tarehe 23 mwezi huu.
Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir amewataka waumini wa Kiislam kote nchini kuitumia Ijumaa ya kesho Agosti 19, 2022 kuomba dua maalum kwa ajili ya kuliombea Taifa na kuiombea siku ya Sensa ya Watu na Makazi inayotarajiwa kufanyika tarehe 23 mwezi huu.