Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,109
- 18,326
Hivi mbona watu hawa wanataka sana kujibagua, na kila kitu wanaonekana wanaonewa??. Algeria, egypt, sudan, afghanstan, yemen, tanzania, kwote huko mnaonewa. Acheni kumsingizia mungu eti atawaongoza hata katika katiba. Acheni tufanye kazi, tujjenge taifa la pamoja.