TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 25,001
- 11,386
Tumeendekeza watu wachache sana na sasa hili bomu linalipukaKumekucha..
I hope hali itadhibitiwa mapema sana… chuki ni kubwa
Tumeendekeza watu wachache sana na sasa hili bomu linalipukaKumekucha..
Dini ni imani tu. Thats' all!Kwahio unawashauri waislamu waachane na kusoma dini yao?. Hapo ndio utofauti wa wagalatia nawaislamu ulipo. Mmoja dini kwake nimuhimu mwingine dini kwake ni Bonasi.
Lini Samia ametukanwa kisa Muislam ?, Bibi acha hizi Mambo bana, msilete vurugu za kidini,nchi hii hatuna ubaguzi wa kidiniSana tena sana. Tunaona mama yetu anatukanwa kwa Uislam wake.
Hilo limetukalia vibaya sana tena sana. Siyo siri.
unamaanisha tuufutilie Mbali utaratibu wa Rais kufia madarakani.Nadhani kuna haja ya kuufutilia mbali na huu utaaribu wa kubadilishana Rais muislamu na mkristo tuangalie uwezo tu .
Siyo kweli, hiyo ni brain washing na propaganda kama hizo unazotumia wewe sasa hivi.Adui wa waislamu ni ujinga wa kutokupenda kusoma elimu Dunia,siyo kwamba hawapo wasomi wa kiislamu,wapo ila siyo wengi kwenye mfumo wa maisha,ajira na Serikalini
Japo wengi wao ni wafanyabiashara wakubwa hapa Bongo,ila shule ni muhimu
Wagalatia wakiongozwa na Kanisa katoliki,linaongoza Kwa kuwa na wasomi wengi,waumini wengi kwenye nafasi nyeti za maamuzi na wenye kipato kizuri na endelevu
Siyo kwamba waislamu hawapo katika siasa,ebu angalia hierarchy ya CCM Kwa sasa,kwenye Chama na jumuiya zake,topmost posts zote zinaongozwa na waislamu
Waislamu wasome kwa wingi,najua kwenye kuzaana mpomvizuri tofauti na wagalatia,someni,msiwe kama wazenji ambao Kila mwaka division 0 zinaongezeka na hii itawapunguzia kulia Lia kuwa NECTA inawafelisha kimakusudi
Naviogozi wadini kuzungumzia siasa ni sahihi?. Ila viongozi wa siasa wasizungumzie dini sio?.Mwalimu Nyerere alisisitiza sana Mwaka 1995 ALISEMA.
"KIONGOZI aliyeishiwa Hoja anaanza KUZUNGUMZIA udini".
DINI YAKO inatusaidia nini sisi".
JK NYERERE.
akijibu hili nitag, .....Ni lini Waislamu mliacha kufanya siasa msikitini ? Hadi zile ndogo ndogo kabisaa za uchaguzi wa viongozi vyuoni ni hivyo hivyo.
Kitu cha achabu ni kuwa Rais akiwa Mwislamu ndio mnalia lia vizuri kuweni makini. Wakristu huwa tunajiuliza swali moja tu
Rais akiwa Mkristu hakuna anachoniletea kwenye familia yangu hali kadhalika akiwa Mwislamu. Hivyo ninaangalia anayofanya sio kumuonea huruma.
Kipindi cha Magu Waislamu mlikaa kimyaa waliokuwa wanaongea ni hawa
Askofu Mwamakula
Askofu Niwemugizi
Askofu Bagonza
Tundu Lissu
Sheikh Ponda
Zitto Kabwe n.k na wala hakuna siku maaskofu walisimama kutoa msimamo wa kanisa kuwa Magufuli anaonewa.
Leo akina Sheikh Ponda na Zito Kabwe wako kimyaa kwa kuwa ni Mwislamu mwenzao.
Angalizo:Rais akikosea haijalishi dini yake,maumivu yatakuja kwa watanzania wote.