Waislam tumedanganywa kwa miaka mingi sana. Tuamke, tufanye siasa misikitini na popote pale

Status
Not open for further replies.
Inaonekana hoja ya Mkataba wa Bandari imekukalia vibaya.

Lakini pia huenda unamchulia kiaina Rais Samia
Sana tena sana. Tunaona mama yetu anatukanwa kwa Uislam wake.

Hilo limetukalia vibaya sana tena sana. Siyo siri.
 
images (72).jpeg
 
Sana tena sana. Tunaona mama yetu anatukanwa kwa Uislam wake.

Hilo limetukalia vibaya sana tena sana. Siyo siri.
Lini Samia ametukanwa kisa Muislam ?, Bibi acha hizi Mambo bana, msilete vurugu za kidini,nchi hii hatuna ubaguzi wa kidini
 
Nadhani kuna haja ya kuufutilia mbali na huu utaaribu wa kubadilishana Rais muislamu na mkristo tuangalie uwezo tu .
unamaanisha tuufutilie Mbali utaratibu wa Rais kufia madarakani.

unaelewa kuwa Lema na Lissu walikimbizwa nchini na mwenzao na wakarudishwa nchini kufanya Siasa na asie mwenzao hayo sio maneno yangu …Lema anasema baada kung'oka mwenzie alimpigia Rais mstaafu usiempenda ampe mchongo wa kurudi nchini na akafanikiwa

na cha kufurahisha zaid akawapa malimbikizo yote ya Ruzuku zinazowawezesha kuandaa mikutano ya kisiasa kwa ushirikiano na Viongozi wao dini kutukana Serikali na Rais
 
Mwalimu Nyerere alisisitiza sana Mwaka 1995 ALISEMA.

"KIONGOZI aliyeishiwa Hoja anaanza KUZUNGUMZIA udini".
DINI YAKO inatusaidia nini sisi".
JK NYERERE.
 
Adui wa waislamu ni ujinga wa kutokupenda kusoma elimu Dunia,siyo kwamba hawapo wasomi wa kiislamu,wapo ila siyo wengi kwenye mfumo wa maisha,ajira na Serikalini

Japo wengi wao ni wafanyabiashara wakubwa hapa Bongo,ila shule ni muhimu

Wagalatia wakiongozwa na Kanisa katoliki,linaongoza Kwa kuwa na wasomi wengi,waumini wengi kwenye nafasi nyeti za maamuzi na wenye kipato kizuri na endelevu

Siyo kwamba waislamu hawapo katika siasa,ebu angalia hierarchy ya CCM Kwa sasa,kwenye Chama na jumuiya zake,topmost posts zote zinaongozwa na waislamu

Waislamu wasome kwa wingi,najua kwenye kuzaana mpomvizuri tofauti na wagalatia,someni,msiwe kama wazenji ambao Kila mwaka division 0 zinaongezeka na hii itawapunguzia kulia Lia kuwa NECTA inawafelisha kimakusudi
Siyo kweli, hiyo ni brain washing na propaganda kama hizo unazotumia wewe sasa hivi.

Waislam wasingependa kusoma wasingedai uhuru.

Unazijuwa sababu za Waislam kuwa mstari wa mbele kudai uhuru?

Ingekuwa Waislam hawataki kusoma wangekuwa wa mwanzo kuanza kujenga chuo kikuu?
 
Tatizo WAISLAMU hamjui kusoma!

هُوَ الَّذِي بَعَثَ فِي الْأُمِّيِّينَ رَسُولًا مِّنْهُمْ يَتْلُو عَلَيْهِمْ آيَاتِهِ وَيُزَكِّيهِمْ وَيُعَلِّمُهُمُ الْكِتَابَ وَالْحِكْمَةَ وَإِن كَانُوا مِن قَبْلُ لَفِي ضَلَالٍ مُّبِينٍ

[ AL - JUMUA' - 2 ]
Yeye ndiye aliye mpeleka Mtume kwenye watu wasio jua kusoma, awasomee Aya zake na awatakase, na awafunze Kitabu na hikima, ijapo kuwa kabla ya haya walikuwa katika upotofu ulio dhaahiri.
 
Leteni udini mswekwe korokoroni na uzuri anayewatia ndani huwa ni mwislamu mwenzenu kwa hyo hakuna tatizo
 
Mwalimu Nyerere alisisitiza sana Mwaka 1995 ALISEMA.

"KIONGOZI aliyeishiwa Hoja anaanza KUZUNGUMZIA udini".
DINI YAKO inatusaidia nini sisi".
JK NYERERE.
Naviogozi wadini kuzungumzia siasa ni sahihi?. Ila viongozi wa siasa wasizungumzie dini sio?.
 
Koran 5;51. Enyi mlio amini! (Waislamu) Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki.


MAFUNDISHO YA KISHETANI NDANI YA QURAN
 
SATANIC VERSE/
ORODHA YA MAFUNDISHO YA KISHETANI NDANI YA QURAN
 

Attachments

  • SALMAN RUSHDIE - SATANIC VERSES (1).pdf
    753.4 KB · Views: 2
MAFUNDISHO YA SHETANI.

QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.
 
Ni lini Waislamu mliacha kufanya siasa msikitini ? Hadi zile ndogo ndogo kabisaa za uchaguzi wa viongozi vyuoni ni hivyo hivyo.
Kitu cha achabu ni kuwa Rais akiwa Mwislamu ndio mnalia lia vizuri kuweni makini. Wakristu huwa tunajiuliza swali moja tu
Rais akiwa Mkristu hakuna anachoniletea kwenye familia yangu hali kadhalika akiwa Mwislamu. Hivyo ninaangalia anayofanya sio kumuonea huruma.
Kipindi cha Magu Waislamu mlikaa kimyaa waliokuwa wanaongea ni hawa
Askofu Mwamakula
Askofu Niwemugizi
Askofu Bagonza
Tundu Lissu
Sheikh Ponda
Zitto Kabwe n.k na wala hakuna siku maaskofu walisimama kutoa msimamo wa kanisa kuwa Magufuli anaonewa.
Leo akina Sheikh Ponda na Zito Kabwe wako kimyaa kwa kuwa ni Mwislamu mwenzao.
Angalizo:Rais akikosea haijalishi dini yake,maumivu yatakuja kwa watanzania wote.
akijibu hili nitag, .....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom