Meljons
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 3,086
- 1,363
kazi kweli kweli.Wewe hata kama ni muislam umechangia hoja vilivyo hujatukana!umeeleweka hata na walitoa rai hiyo.Lakini bwana mtoi hata kwenye group discussions uwezekano wa kutenganisha madawati upo , umbali wa Bluetooth ! Halafu suala hili ingawa limeletwa jf na waisilam wa tanga kwa itikadi,lakini kwenye jamii zetu za Leo ni muafaka ndio maana kuna michakato ya kujenga mabweni ya wasichana nchi nzima!