Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Misaada ya misikitini kwishney waasi wanataka kichwa cha Gadafi
Waandamane!? si walipinga maanandamano ya CHADEMA wanachochea fujo au yakwao yatakuwa ya style gani....Namkumbusha shehe Shabaan maandamano yetu lini.
...WAUMINI wa dini ya Kiislamu mkoani Dodoma, wamewataka Watanzania kupuuza uvumi kuhusu mgogoro wa Libya, badala yake, wametaka kuungana na kumuombea kiongozi huyo adumu madarakani.
Wito huo ulitolewa juzi na Sheikh wa Mkoa wa Dodoma, Mustafa Rajabu Shabaan, ambaye alisema hakuna machafuko nchini Libya bali kinachotokea ni kikundi kidogo alichokiita cha kihuni kinachopanga kumuondoa, Kanali Muammar Gaddafi.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake juzi, Sheikh Shaaban alisema tamko la Waislam wa Mkoa wa Dodoma ni kuwataka wenzao nchini na duniani, kuhakikisha hawaungi mkono kikundi hicho cha kihuni.
Sheikh Shaaban alisema kinachofanyika ni baadhi ya watu ambao wanapenda kunywa pombe na kutumia dawa za kulevya, walioko mpakani mwa nchi hiyo na Misri ndio walioanzisha fukuto hilo.
"Mimi ni nina shahada ya sheria ambayo niliipata Libya, nina ufahamu mzuri wa uongozi wa Gadaffi, ni mtu wa upendo kwa watu wake na nimekuwa nawasiliana na wenzangu huko wanasema machafuko ni ya mji mmoja tu, sio nchi nzima," alisema Sheikh Shaaban.
Kiongozi huyo alisema licha ya kuongoza nchi yake vizuri kwa kwa muda mrefu, Kanali Gaddafi amekuwa na mchango mkubwa kwa mataifa mbalimbali.
Kanali Gaddafi amejenga msikiti mkubwa mjini Dodoma na nchini Uganda. Pia, alifadhili ujenzi wa msikiti wa Butiama, baada ya Baba wa Taifa, marehemu Mwalimu Julius Nyerere kumuomba.
Source: Mwananchi
na Masheikh wote wafiraji/walawitina maaskofu wote walawiti
Yuko kidini zaidi na lengo lake siyo zuri kamaangeendelea kutawala....Hawa wtu huwa wanachekesha kweli. too low minded and afraid to face the truth. Hivi waliwahi kujiuliza ni kwa nini ghaddafi alipoombwa fedha asaidie kujenga Butiama University yeye alitoa pesa kwa ajili ya kujenga msikiti Butiama na dodoma tu?
Huyu shehe anafikiri kuwa na degree ndio kuwa na uelewa mkubwa ubwabwa kweli.
Tunamwomba huyu shehe arudi tena Mwananchi akalikane tamko lake. Ndio tatizo la kuongozwa na watu wajinga wajinga kama hawa! Eti kwa sababu amesoma Libya ndio anajua mambo yote ya Libya hata akiwa huko kwenye himaya ya Matonya!
Tunamtaka atoe tamko lingine la kuikana kauli yake ya kipoyoyo na kufikirika, eti kikundi kidogo cha wavuta unga. Sasa ndio watakaongoza Libya na kundi kubwa la watu wa Libya. Tuone kama atajinyonga leo hii akisikia kuwa Libya inaongozwa na Wavuta Unga!
Hivi vimisaada saada vidogovidogo vinavyotokana na kuweka njaa zenu kwenye mifuko ya Nylon, vinawapofusha sana!
Punguza hasira, Gadafi kwishnei, watoto wake wawili wameshadakwa na waasi, misaada ya misikiti sasa basi!jiheshimu wewe ubwabwa nani? mbona likizungumzwa jambo la waislam huwa mnaleta unoko sana ninyi??? acheni kukuza mambo bana