Nimekumiss kweli :hug::hug:umewekwa kinyumba na nani?
Hauwezi kupingana na NATURE by the way mke mtarajiwa anaendeleaje unamkuza vizuri
Anavizia akukate hizo nanhii.....kwa hiyo usilale hata chembe...
nipo dearest....nimekacrika kama nini, yaani Ndibalema amenikacrisha sana,hapo ana cm card ya magendo akija home cm yake ipo hapo ni ya kifamilia zaidi, mwanamke unajidai ooohh mume wangu, oohh mume wangu jamani hatoki nje ...oohh mume wangu jamani cjawahi kuona vituko kwenye cm yake...nachukiaga sana wadada wanaojifanyaga mume wangu mume wangu kumbe ndio kama hawa, wameshamaliza mambo yao huko wakija nyumbani wanakuchora tu.....yaani cjuagi kwanini niliolewa.....unamuamini mtoto wa mwanamke mwenzio kuliko unavyojiamini....mschew!...WADADA WA HUMU NDANI WANAUME WOTE MAMA YAO MMOJA....HAKUNA HAKUNA MWENYE MAMA TOFAUTI...TUNAYAONA KILA KUKICHA...UPATE WA KUKUPENDA/KUKUPA HESHIMA/KUJALI
Jamani sasa kama mtu unasamehe bila kusahau then nini maana ya kusamehe!
Jamani sasa kama mtu unasamehe bila kusahau then nini maana ya kusamehe!
kama na yeye ana mabaya yake inakuuma? mbona wewe una yako na umemuumiza vya kutosha tu sema ana act haja mind...kuna mawili kakuweka kiporo kwanza atulie ajue afanyaje au ndio yupo kwenye mchakato wa revenge, maisha ni mafupi sana nyie waume zetu bado mnataka kuyafupisha zaidi.... ,huwaga cna huruma kwa watu kama nyie....AMESAMEHE KIRAHISI HIVYO...UNACHEZA WEWE!
cha muhimu elewa jambo ulilomfanyia mkeo sio dogo,wanawake huwa tunaumia sana lakini tunasamehe,na kusamehe kwetu si rahisi kusahau,hebu imagine angekuwa mkeo kakufanyia hivyo si ajabu ungeshalifikisha mbali sana, sasa nakushauri tu uache hiyo tabia muheshimu mkeo na uwe makini na nyendo zako,ila sina uhakika sana kama mkeo kakusamehe mi nadhani kakuweka kapuni tu siku ukilikoroga utaisoma namba mwanawani
thanx me 2.
nikiwekwa kinyumba nitakupa card ya mualiko, nimepotelea ktk maombi ya kukemea roho za nyumba ndogo na aina zote za usaliti ktk ndoa.
Kusema kweli kama ndo mimi ningezikuta zile sms kwenye simu yake, hakyanani leo ningekuwa mahabusu Keko.
Amekusamehe - Wewe endelea tu na akina "Anjelina" as usual:
Usijaribu hata kidogo kubadilisha "life-style" : Tafuta sim card nyingine ya "siri" uedelee na mawasiliano ya "siri"
Concept ya Mke-Mmoja Mme-Mmoja imepitwa na wakati : Watu wana-pretend tu!
kwenye red unamshauri aendelee kufanya lakini aongeze umakini...geez! blue well said, nakuhakikishia kama mwanamke, huyo anafikiria cha kufanya, ogopa mwanamke wa hivyo...utapata kisukari cku hiyo hiyo.
Jamani hivi wife kanisamehe kikweli kweli au anapanga 'revenge' ambayo nitakiona cha moto?
So kwenye red hapo unamaanisha kazi za nje niendelee kama kawaida ila niwe makini kwenye sms tu? Asante sana.
nipo dearest....nimekacrika kama nini, yaani Ndibalema amenikacrisha sana,hapo ana cm card ya magendo akija home cm yake ipo hapo ni ya kifamilia zaidi, mwanamke unajidai ooohh mume wangu, oohh mume wangu jamani hatoki nje ...oohh mume wangu jamani cjawahi kuona vituko kwenye cm yake...nachukiaga sana wadada wanaojifanyaga mume wangu mume wangu kumbe ndio kama hawa, wameshamaliza mambo yao huko wakija nyumbani wanakuchora tu.....yaani cjuagi kwanini niliolewa.....unamuamini mtoto wa mwanamke mwenzio kuliko unavyojiamini....mschew!...WADADA WA HUMU NDANI WANAUME WOTE MAMA YAO MMOJA....HAKUNA HAKUNA MWENYE MAMA TOFAUTI...TUNAYAONA KILA KUKICHA...UPATE WA KUKUPENDA/KUKUPA HESHIMA/KUJALI