Waifu kanisamehe kikweli kweli au?

cha muhimu elewa jambo ulilomfanyia mkeo sio dogo,wanawake huwa tunaumia sana lakini tunasamehe,na kusamehe kwetu si rahisi kusahau,hebu imagine angekuwa mkeo kakufanyia hivyo si ajabu ungeshalifikisha mbali sana, sasa nakushauri tu uache hiyo tabia muheshimu mkeo na uwe makini na nyendo zako,ila sina uhakika sana kama mkeo kakusamehe mi nadhani kakuweka kapuni tu siku ukilikoroga utaisoma namba mwanawani
 
Anavizia akukate hizo nanhii.....kwa hiyo usilale hata chembe...

japo nimecheka...mie kipindi kile nilimwambia nimemsamehe(na kweli nilimsamehe kuoka moyoni)lakini hakuamni, nilikuwa nikijigeuza anash2ka anajifanya kunywa maji, nikifanya hivi anashtuka, alikuwa halali akihofia nitamfunika na mto ucngizini, alikuwa aapata ucngizi asubuhi mie nikiamka.......mnajitakia matatizo sana nyie.
 
nipo dearest....nimekacrika kama nini, yaani Ndibalema amenikacrisha sana,hapo ana cm card ya magendo akija home cm yake ipo hapo ni ya kifamilia zaidi, mwanamke unajidai ooohh mume wangu, oohh mume wangu jamani hatoki nje ...oohh mume wangu jamani cjawahi kuona vituko kwenye cm yake...nachukiaga sana wadada wanaojifanyaga mume wangu mume wangu kumbe ndio kama hawa, wameshamaliza mambo yao huko wakija nyumbani wanakuchora tu.....yaani cjuagi kwanini niliolewa.....unamuamini mtoto wa mwanamke mwenzio kuliko unavyojiamini....mschew!...WADADA WA HUMU NDANI WANAUME WOTE MAMA YAO MMOJA....HAKUNA HAKUNA MWENYE MAMA TOFAUTI...TUNAYAONA KILA KUKICHA...UPATE WA KUKUPENDA/KUKUPA HESHIMA/KUJALI

Hio statement umenikumbukusha ofisi moja mdada fulani alikuwa ameolewa kila kukicha alikuwa anamuongelea mume wake na kumsifia jinsi alivyomuaminifu kwake kumbe wanawake wenzake wanamchora na kumcheka tu watu wanamchukulia mumewe kiulani tena hao hao wanawake anaofanya nao kazi ofisini
 
kama na yeye ana mabaya yake inakuuma? mbona wewe una yako na umemuumiza vya kutosha tu sema ana act haja mind...kuna mawili kakuweka kiporo kwanza atulie ajue afanyaje au ndio yupo kwenye mchakato wa revenge, maisha ni mafupi sana nyie waume zetu bado mnataka kuyafupisha zaidi.... ,huwaga cna huruma kwa watu kama nyie....AMESAMEHE KIRAHISI HIVYO...UNACHEZA WEWE!

Kusema kweli kama ndo mimi ningezikuta zile sms kwenye simu yake, hakyanani leo ningekuwa mahabusu Keko.
 
cha muhimu elewa jambo ulilomfanyia mkeo sio dogo,wanawake huwa tunaumia sana lakini tunasamehe,na kusamehe kwetu si rahisi kusahau,hebu imagine angekuwa mkeo kakufanyia hivyo si ajabu ungeshalifikisha mbali sana, sasa nakushauri tu uache hiyo tabia muheshimu mkeo na uwe makini na nyendo zako,ila sina uhakika sana kama mkeo kakusamehe mi nadhani kakuweka kapuni tu siku ukilikoroga utaisoma namba mwanawani


kwenye red unamshauri aendelee kufanya lakini aongeze umakini...geez! blue well said, nakuhakikishia kama mwanamke, huyo anafikiria cha kufanya, ogopa mwanamke wa hivyo...utapata kisukari cku hiyo hiyo.
 
thanx me 2.
nikiwekwa kinyumba nitakupa card ya mualiko, nimepotelea ktk maombi ya kukemea roho za nyumba ndogo na aina zote za usaliti ktk ndoa.

Mbona unapemda sana kunipa presha ili mradi tu ujue kama kweli nakupenda, okay haya basi :A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S 8::A S 8::A S 8:
 
Amekusamehe - Wewe endelea tu na akina "Anjelina" as usual:

Usijaribu hata kidogo kubadilisha "life-style" : Tafuta sim card nyingine ya "siri" uedelee na mawasiliano ya "siri"

Concept ya Mke-Mmoja Mme-Mmoja imepitwa na wakati : Watu wana-pretend tu!






The Following User Says Thank You to Baba_Enock For This Useful Post:

Asprin (Today)
 
kwenye red unamshauri aendelee kufanya lakini aongeze umakini...geez! blue well said, nakuhakikishia kama mwanamke, huyo anafikiria cha kufanya, ogopa mwanamke wa hivyo...utapata kisukari cku hiyo hiyo.

nyamayao dear u get me wong,i don mean so,what i mean ni kwamba ajirekebishe nyendo zake
 
So kwenye red hapo unamaanisha kazi za nje niendelee kama kawaida ila niwe makini kwenye sms tu? Asante sana.

hapana,nimeomba uache kuisaliti ndoa yako!
mkeo ni bora kuliko mwanamke mwingine yeyote yule,huko nje huna la zaidi upatalo zaidi ya magonjwa kisha uje umletee na dada wa watu asiye na hatia,mwishowe watoto wabaki yatima.
badili mwendo huo kaka.
 
nipo dearest....nimekacrika kama nini, yaani Ndibalema amenikacrisha sana,hapo ana cm card ya magendo akija home cm yake ipo hapo ni ya kifamilia zaidi, mwanamke unajidai ooohh mume wangu, oohh mume wangu jamani hatoki nje ...oohh mume wangu jamani cjawahi kuona vituko kwenye cm yake...nachukiaga sana wadada wanaojifanyaga mume wangu mume wangu kumbe ndio kama hawa, wameshamaliza mambo yao huko wakija nyumbani wanakuchora tu.....yaani cjuagi kwanini niliolewa.....unamuamini mtoto wa mwanamke mwenzio kuliko unavyojiamini....mschew!...WADADA WA HUMU NDANI WANAUME WOTE MAMA YAO MMOJA....HAKUNA HAKUNA MWENYE MAMA TOFAUTI...TUNAYAONA KILA KUKICHA...UPATE WA KUKUPENDA/KUKUPA HESHIMA/KUJALI


Duh!, Hayo maneno ni makali sana, yapunguzie kidogo ukali sio wanaume wote wako vile inatokea kwa baadhi, lakini wengine wanaheshimu ndoa zao vilivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom