VIKWAZO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,899
- 580
Shida ipo akijamba.....utasikia.....n'diiiiiiiiiiiii
inakuwa sehemu ya kura sio
hahahaha duh
Shida ipo akijamba.....utasikia.....n'diiiiiiiiiiiii
Hewalaa emrema unajuwa baada ya kuona hiyo picha nimetafakari sana je huyo ni mtu au ni ile ulioitaja hapo juu?Mmmh maliasili imesinzia aka homo eractus
Kama alivyosema Mhe Mizengo Pinda kuwa wabunge hutumia posho za kukaa wanazolipwa kutatua matatizo ya wananchi, inategemewa kuwa pindi watakapolipwa posho za kulaa watazitumia kutatua matatizo ya wananchi yanayowajia katika njizo wanakuwa wakikoroma katika ukumbi wa bunge.Naunga mkono hoja. Bunge lianze kuwalipa waheshimiwa posho ya kulala maana wanalipwa posho ya kukaa tu wakati kuna wakati wanatakiwa kulala ukumbini huku wakitafakari
Wana jf tujadiliane sababu hasa inayopelekea wabunge kulala bungeni wakati wana mda wa kutosha wa kupumzika usiku,kitalaamu mtu inabidi alale kati ya masaa sita hadi saba mbona muda wanao,tatizo ni nini