Shida ipo akijamba.....utasikia.....n'diiiiiiiiiiiii
Tehe...tehe...tehe!umesahau kuhusu kupiga makofi mkuu.Akishtuka usingizini, utasikia 'ndiyooooooo' bila ufahamu wa kilichojadiliwa,wananiudhi sana hawa
View attachment 32516
huyu ni waziri wa nchi ofisi ya rais (mahusiano na uratibu) wa serikali ya jamhuri ya muungano ya tanzania akisikiliza
bunge la bajeti ya serikali ya mwaka 2011/12.wassira ndie alieachiwa shughuri za serikali bungeni na waziri mkuu baada
ya mh.waziri mkuu kupata uzuru kwa siku ya jana.
Ajabu ni kwamba wanasinzia lakini bado wanendelea kugonga meza bila hata kujua ni kitu gani kimeongelewa!
lugha ya picha,tunasubiri ya pinda, makinda, mkulo na wengineo pia
kwani si huyu mwenye hiyo tabia pekee..
Ukiona kobe ameinama ujue ....
Sasa hivi kuna lugha mpya imekuja tunapoona waheshimiwa wakiwa wamesinzia huku vikao vya bunge vikiendelea pale bungeni, kwa mfano gazeti moja la kilasiku kutoa picha ya muheshimiwa naibu waziri wa ushirikiano wa Africa Mashariki, Dk. Abdulla Juma Saadalla akiwa ameuchapa usingizi kabisa pale bungeni siku ya jumanne katika kikao cha kuchangia bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2011 -2012 lakini lugha ilyotumika pale ni kua alikua ANATAFAKARI jambo! Haya tena siku ya jumatano gazeti hilohilo limetoa picha ya muheshimiwa waziri wa Nnchi,ofisi ya Raisi (Mahusiano na uratibu) Stephen Wassira naye kwenye picha gazeti la jumatano akiwa anaonekana ameuchapa usingizi kabisa, lakini lugha iliyotumika pale ni kua ANATAFAKARI! Jamani wanaJF wenzangu nisaidieni kuhusiana na hii lugha!