Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,883
- 155,856
Mimi ni Mhaya upande wa baba na Mnyakyusa upande wa mama.
Nia ya uzi huu ni kutafuta tiba ya kitabia.
Tabia za Wahaya na Wanyakyusa kwa kiasi kikubwa sana zinafanana.
Kinachoniuma na kuniumiza nafsini mwangu ni kuona Wahaya na Wanyakyusa wengi hufilisika kadiri wanavyo ongezeka umri mali nayo hupukutika.
Je tufanyeje ili tuwe kama Wachagga ambao mali hushamiri kadiri umri unavyoongezeka?
Nia ya uzi huu ni kutafuta tiba ya kitabia.
Tabia za Wahaya na Wanyakyusa kwa kiasi kikubwa sana zinafanana.
Kinachoniuma na kuniumiza nafsini mwangu ni kuona Wahaya na Wanyakyusa wengi hufilisika kadiri wanavyo ongezeka umri mali nayo hupukutika.
Je tufanyeje ili tuwe kama Wachagga ambao mali hushamiri kadiri umri unavyoongezeka?