Wahaya mmelogwa na nani? mji wa Bukoba umekanda sana

Mbweno?

514.jpg

..............mwenye suti ana mtaji mkononi !:photo:
 
Kwa mm nnavyoelewa na kaelimu kangu kadogo maendelea ya eneo fulani kuna vitu vingi vinaangaliwq kwanza pato la mkoa au eneo husika kuna pato la kila mwananchi idadi ya watu kulingana na mraba wa eneo husika miundombinu bora ya kibiashara,kiafya na kadharika maendeleo haya yanachangiwa kwakiasi kikubwan na wakazi wa eneo hisika haijalishi na wazawa au wakuja katika shughuli mbali mbali zinazofanywa katiaka eneo hisika.kuhusu wahaya kutokupajari pao kunq mawili kwa mtazamo wangu la kwanza laweza kuwa hilo la muweka mada la kutokupapenda pao la pili laweza kuwa wahaya wanaangalia fursa ziko wapi kutokana nq mji wao kutokuwa na maendeleo ya kutosha wanajaribu kwrnda mahala pengine ambapo wanaweza fanya kile ambacho wako vizuri kufanya na ndo maana wanakimbia.VIPI KUHISU MCHANGO WA WAKUJA KTK KUUENDELEZA MJI yawezekana wazawa wakawa hawana hospitality nzuri kwa wageni kama wadau wanavyodai ndo maana maendeleo kutoka kwa hao wageni pia hayapo kama mtoa mada anavyo dai,tuangali maendelei ya mkoa huo kwa kuangalia pato lake kwenye taifa liko vp over!
 
Kama ungekuwa umefika sehemu nyingine za kanda ya kati. Usingeiponda bk mkuu

kusema hapaendelezwi nimepaponda?? nadhani ungemwambia aliyeanzisha huu uzi ndo kaponda huko mie naongea reality aisee sio mambo ya kupond ana chuki chuki za kikabila kama ulizonazo wewe
 
kusema hapaendelezwi nimepaponda?? nadhani ungemwambia aliyeanzisha huu uzi ndo kaponda huko mie naongea reality aisee sio mambo ya kupond ana chuki chuki za kikabila kama ulizonazo wewe

Mimi swali langu liko palepale, kwa nin mmepaona bk tu? Wakati kuna sehemu nyingine nying hazijaendelezwa.

Mim sina chuki yoyote ya kikabila, ila wewe ndo una chuki ya kikabila, ambayo imekufanya uone ni bk tu ndo hapajaendelezwa wakati nina uhakika pameendelezwa ukilinganisha na mikoa mingine.

Halafu unasema reality?
 
Mkuu yamekuwa hayo? Hivi unanijibu mimi au mwingine? Mimi nimeuliza swali tu. Ni kosa kuuliza? Kama huna jibu si unapita tu? Nini kilichokuudhi au kukukera kwenye swali langu? Jifunze kuwa muungwana kwenye mijadala ya wazi kama hapa JF vinginevyo unajidhalilisha sana. Tuliosoma vitabu mbali mbali tunaambiwa ukitaka kujua tabia ya mtu ni pale atakapofungua mdomo kwenye hoja mbali mbali au kwenye maandishi yake. Sikujui lakini tayari kwa maandishi yako nimeshakuweka kwenye kundi unalostahili kuwemo.



Nshomile huyo mkuu keshapaniki tayari maana atakuongelea kiingereza sasa hivi
 
Mimi swali langu liko palepale, kwa nin mmepaona bk tu? Wakati kuna sehemu nyingine nying hazijaendelezwa.

Mim sina chuki yoyote ya kikabila, ila wewe ndo una chuki ya kikabila, ambayo imekufanya uone ni bk tu ndo hapajaendelezwa wakati nina uhakika pameendelezwa ukilinganisha na mikoa mingine.

Halafu unasema reality?

Muulize mwanzisha mada anatoka mkoa gani? Maanake makabila yanayojenga kwao yanajulikana wakiwemo wahaya.
 
Mwehh yani pale ndo umebadilishwa?? Honestly nilipofika pale mjini sikuamini mara kumikumi mbona hata wilaya tu ya same nzuri kushinda ule mkoa.... Kale ka picha kamgomba pale round about ndo tunapopigiaga picha za harusi kama round about nzuriiii za Dodoma.




kweli mkuu ata mimi nilienda hakuna hayo mabadiliko wanayosema maana niliapata mpaka nafasi kufika isingiro-kaisho hawa jamaaa shomile wamejaliwa sifa tu....watoto wa mseveni
 
Iko dhana potofu kuwa maendeleo yanapimwa kwa uzuri wa majengo na miundombinu nyingine iliyoko mijini.Mfano,kama jiji la Dar ni zuri basi hata wenyeji wenye asili kama wazaramo watakuwa wameendelea.Kigezo hicho siyo kamilifu na hakionyeshi hali halisi. Ukweli mji wa Bukoba uko nyuma kimiundombinu lakini miundombinu ya vijijini na mwananchi mmoja mmoja uko mbele sana. Fuatilia nyumba za wenyeji wa Bukoba huko vijijini, nyumba za ubora wa kiwango cha tembe au manyata ni chache sana au hazipo.

Huwezi kukuta nyumba za tembe vijijini na huwezi amini majumba vijijini yote utakuta ni self contained,umeme hadi migombani.
 
Mkuu kuna jamaa yangu alitokea Tukuyu akahamishiwa Bukoba kikazi. Alipofika BK akafanikiwa kufungua kaduka kake, aisee wahaya ni wabaguzi hadi katika manunuzi. Hawaji dukani kwako kama sio Mhaya. Jamaa akajikuta kwa siku anauza sigara moja au mbili tu, akafunga duka. Ni pale Rwamishenye

Mweh nimecheka sana
 
Huwezi kukuta nyumba za tembe vijijini na huwezi amini majumba vijijini yote utakuta ni self contained,umeme hadi migombani.

Ni makabila mawili au matatu tanzania yanayojenga kwao vijijini tena. Nayo ni;
1. Wachaga
2. Wahaya
3. Kidogo Wanyakyusa. ...I am not very much sure.

Mikoa nyingine wanababaishwa na barabara za lami na magorofa ya mijini huku kwao wakilala na ng'ombe au ndani ya tembe.
 
huyu anayesema kasahau kuwa hakufika bukoba kaadithiwa, na nahs anafanya research maana kutupia thread hii alijua tutamueleza yafuatayo, 1.bukoba ina uwanja wa ndege mkubwa na mzuri unazid viwanja ving sana,2, bukoba ina hotel za kitalii kubwa za kimataifa zaid ya kumi, si kama kigoma au tabora au mtwara, mnaojua mtawatajia hzo hotel, 3, hakuna kichochoro au barabara isiyo na rami,4, ina access ya mikoa na nch zote, ina bandari kubwa, ina shule za kimataifa zaid ya 15 sekondary, englsh medium tukianza kuzitaja utashndwa kuorodhesha, 7, nan asiyejua majengo na structure ya mji ni nzuri, PIA MALIMBUKEN WANASIKIA KUWA MAENDELEO NI KUENDELEZA MJI TU, MJIN HAPAHUSU SANA KAMA HUJAJENGA NYUMBAN KWENU, WAULIZE KANYIGO, MUGANA, ISHOZ ,KARAGWE, IBWELA, KATORO HVYO NI VIJIJI NA KATA ZILIZO NA HADHI YA KUWA MIJ, HUWEZ KUZILINGANISHA NA VIJIJJ VYA SINGDA ,DODOM. TABORA, AU KWINGNE NI BORA UTEMBEE UONE MAENEO YA KEMONDO, GERA, KATOM, KYAKA,NA PENGNE,


Mkuu karagwe ipi hiyo maana penye afadhali ni kayanga na omurushaka huko nkwendaaa,isingiro,kaisho ni ovyo kupita maelezo aiseee
 
acheni ujinga kulaumu wahaya,hapa nchini hakuna manisipaa iliyojengwa na wenyeji,mnataka kuniambia miundo mbinu yote iliyopo dodoma,imejengwa kwa nguvu za wagogo na warangi?.mi nimefika dodoma 2006,mji ulikuwa wa hovyo,leo mitaa yote rami! Ni kazi ya wagogo! Seriously!.bk tatizo ni kubwa kuliko mnavyofikiri,acheni kuwa wavivu wa kufikiri.Arusha vp au nayo,wenyeji walichanga hela wakapajenga pakawa vile,Think people! Acheni pety politcs.mtwara je,kwenye jamii iliyo nyuma kuliko zote Tz,lakini mkoa wao unavutia kuliko Bk,je hao fedha walitoa wapi?

Bro!uwezo wa wagogo na warangi sote tunaujua,halafu hawa sio watu wa mashauzi km wahaya!Tatizo la wahaya ni kujishow huku mjini wkt kwao hovyo! Mutabuzi uko wapi njoo huku!Utakuta muhaya kanunua kaverossa kake plate namba anapiga Rweyemamu!
 
Muulize mwanzisha mada anatoka mkoa gani? Maanake makabila yanayojenga kwao yanajulikana wakiwemo wahaya.
Kupitia title ya uzi huu ni rahisi kujua anatoka wapi.

[h=2]Wahaya mmelogwa na nani? mji wa Bukoba "umekanda" sana[/h]
 
Kinachowaponza ni roho ya ubinafsi waliyonayo, kila mtu anataka ajionyeshe yeye ndiyo yeye ili wenzake wampigie magoti! Ndio maana wao wenyewe hawapapendi kwao ila wakiwa dar ni misifa tu, mji umekuwa kama upo goma (drc)!!! Mi mala ya kwanza ckuamini kama hapo ndio bk, stend ovyo, soko ndio majanga.Na kitu kingine ni wabaguzi sana kwa watu ambao sio wahaya hususani ukiwa mfanyakazi wa serikali mbona utakoma, wao wanadhani kila mtu aliyoko pale ni muhaya!!! Na huu mkoa hautakuja kuendelea kamwe.

swadaktaaaaaaa!!
 
Nyie wapondeni tu lakini dada zao kwa huduma.............mmmh ntarundi tena Bukoba.
 
Mkuu kuna jamaa yangu alitokea Tukuyu akahamishiwa Bukoba kikazi. Alipofika BK akafanikiwa kufungua kaduka kake, aisee wahaya ni wabaguzi hadi katika manunuzi. Hawaji dukani kwako kama sio Mhaya. Jamaa akajikuta kwa siku anauza sigara moja au mbili tu, akafunga duka. Ni pale Rwamishenye

Mpe pole mie huwa naenda huko kupanda na kurudi zangu Mwanza.
 
Mlalamikaji amesahau jambo moja: watu hawa hujali vijijini kwao kwanza, mjini baadaye! Kama anataka aende vijijini aone watu wanavyomwaga radhi! Hakuna mkoa nchi hii uliojengwa vijijini kama Kagera -vijiji kama miji vile!
 
Back
Top Bottom