Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,926
- 31,169
mimi si mkazi wa arusha kwahiyo sijui anayekubalika zaidi lakini jama niliona yule jamaa wa TLP [bonge ya mtu] kama mwenye vision ya juu zaidi na strategic thinking... i know this is unpopular here lakini ndio facts zangu
Heshima kwako Acid,
Heri wewe una ufahamu huo.