Wagombe wa chadema arumeru

Kurunzi

JF-Expert Member
Jul 31, 2009
9,285
9,920
Wanabody nimeonaniweke hapa baadhi ya wagombea watakakaoteuliwa na chadema kuipeperusha bendera ya chama hicho kwenye kinyanganyiro cha ubunge jimbo la Arumeru.

1. Joshua Nassary - Muhitimu wa chuo kikuu UDSM 2009 shahada ya sayansi ya jamii katika masuala ya utengenezaji sera na utawala anauzoefu alioupata katika uchaguzi uliopita ambapo aliibuka na kura zaidi ya 19000.

2. Anna Mghwiri ni mmoja wa waliochukuwa fomu ambaye taatuma yake ni mwanasheria mtaalamu wa sheria za kimataifa ya haki za binadamu (LLM in International human rights law),

Amesaidia wananchi mbali mbali wa Arumeru mashariki masuala ya kisheria.

Pia ni mtetezi wa haki za binadamu mwenyeuzoefu mpana katika kazi za serikali za mitaa, mashirika yasiyo ya kiserikali.

3. Godllove Ismail huyu naye ni muhitimu wa chuo kikuu Stashada ya biashara BCOM chuo kikuu cha Udsm anafanyakazi katika shirika la kifedha USAWA NA FERT linalotoa fedha kwa wajasiria mali wadogo na SACCOS.

Ningependa tuwachambue hawa na wengine walio baki tuone nani anauwezo wa kupeperusha bendera ya chadema.
 
Wanabody nimeonaniweke hapa baadhi ya wagombea watakakaoteuliwa na chadema kuipeperusha bendera ya chama hicho kwenye kinyanganyiro cha ubunge jimbo la Arumeru.

1. Joshua Nassary - Muhitimu wa chuo kikuu UDSM 2009 shahada ya sayansi ya jamii katika masuala ya utengenezaji sera na utawala anauzoefu alioupata katika uchaguzi uliopita ambapo aliibuka na kura zaidi ya 19000.

2. Anna Mghwiri ni mmoja wa waliochukuwa fomu ambaye taatuma yake ni mwanasheria mtaalamu wa sheria za kimataifa ya haki za binadamu (LLM in International human rights law),

Amesaidia wananchi mbali mbali wa Arumeru mashariki masuala ya kisheria.

Pia ni mtetezi wa haki za binadamu mwenyeuzoefu mpana katika kazi za serikali za mitaa, mashirika yasiyo ya kiserikali.

3. Godllove Ismail huyu naye ni muhitimu wa chuo kikuu Stashada ya biashara BCOM chuo kikuu cha Udsm anafanyakazi katika shirika la kifedha USAWA NA FERT linalotoa fedha kwa wajasiria mali wadogo na SACCOS.

Ningependa tuwachambue hawa na wengine walio baki tuone nani anauwezo wa kupeperusha bendera ya chadema.


NA WEWE UMEMALIZA NINI WAPI??SEMA NA WEWE TUKUJUE KABLA HATUJAANZA KUWACHAMBUA WATU TUNAOWAJUA VIzURI
 
Back
Top Bottom