Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Jamani nimekaa nikajiuliza inapotokea mtu akafungwa Jela, na alikuwa na mke/mume je hatma ya ndoa yao ikoje? Je anayebaki uraiani anatakiwa asipate unyumba hadi kifungo cha mwenzi wake kiishe mfano Miaka 15? Je kiubinadamu inawezekana kuvumilia kwa muda wote huo hata kama unajilinda? Haki ya wanaobaki uraiani ikoje? Na km akitoka nje kuna ubaya au afanyaje?