Wafanyakazi wa Vodacom na NSN mmejiponza wenyewe. Msitafute mchawi wenu. Ni nyinyi wenyewe.

Tabia hii naweza kuiita ni tabia ya kitanzania na ni ya watanzania, Watanzania kufanya kazi bila kuhujumu bado hawajaifanya na wengi hawataipenda, wakihujumu wakamaliza au mianya yao ya kuhujumu ikitaka kufikia tamati wanaanza kuonesha upinzani na kujitakasa kama vile wao ni watakatifu na ndio yanayotukuta hata serikalini wote wamekuwa wapinzani
 
Dah! Leo ndo nimepata picha kwanini wafanyakazi wa VODA baadhi yao wana mkwanja wa kufa mtu! Pamoja na usemi unaosema mbuzi anakula urefu wa kamba yake, wako wale mbuzi wa ma mwinyi wa msasani na kunduchi wanaojichunga wenyewe, hawa huwa wanakula mpaka wanavimbiwa unawakuta wamepiga dozi barabarani katikati ya lami usiku wa manane, mwisho wao huwa mmbaya, wanakanyagwa na magari ya walevi na yale ya cement. Hiyo inatoa fundisho moja tu kuwa shibe ni mwana malevya! Hata ukipewa uongozi kazini u shud make sure hushibi kupita kiasi laasivyo utawasahau na wengine ambao unatakiwa kuwa nao karibu katika mapambano.
 
uvivu wa kusoma vizuri ..mnaungaunga vi diploma vyemu fountain college afu mnataka mpewe udirekta..kwenda kule

acha ujinga wewe! watu wamesoma wewe nchi hii! angalilia hata hao viongozi wengine wa bara la africa elimu mbali mbali wamechukulia hapa tz! we mjinga kweli, yani mpaka sasa unafikiri tz hakuna wasomi wa kuongoza idara mbalimbali! mjinga wewe, watu kama wewe ndo mnafanya nchi idumae hii! we utakuwa mkenya afu ni mamruki humu.
 
Kama tunataka kuishinda njaa lets approach life differently...tuitane wote na kufikiria tufanye nini kwa partnership na haya makampuni. Hizi kelele tunazopiga hazitamzuia yeyote kufanya anachotaka kufanya katika kampuni yake . Nakuunga mkono mtoa mada kwa hoja za uhakika...
 
acha ujinga wewe! watu wamesoma wewe nchi hii! angalilia hata hao viongozi wengine wa bara la africa elimu mbali mbali wamechukulia hapa tz! we mjinga kweli, yani mpaka sasa unafikiri tz hakuna wasomi wa kuongoza idara mbalimbali! mjinga wewe, watu kama wewe ndo mnafanya nchi idumae hii! we utakuwa mkenya afu ni mamruki humu.

Kwani lazima mtu aajiriwe ndio mambo yake yaende vizuri?
 
Kama tunataka kuishinda njaa lets approach life differently...tuitane wote na kufikiria tufanye nini kwa partnership na haya makampuni. Hizi kelele tunazopiga hazitamzuia yeyote kufanya anachotaka kufanya katika kampuni yake . Nakuunga mkono mtoa mada kwa hoja za uhakika...


Ndahani hawa wafanyakazi wa Voda ni typical tatizo la akili za ki TZ,..
unaibaje pesa halafu uanzishe shule?
au ujenge nyumba ya kumshtua CEO wako?
ukijenga shule na wewe taaluma ni masuala ya communication hiyo akili au matope?
hivi kwa nini wasingeungana na kununua hisa?
au kuinunua sasatel ambayo ina struggle?

sasa barua wizarani inasaidia nini??????
 
Kwani lazima mtu aajiriwe ndio mambo yake yaende vizuri?

tunazungumzi watu waliokuwa kwenye ajira, ishu ya kuajiriwa na kuto kuajiriwa ni nyingine kabisa! tunazungumzia work environment chini ya wageni! we kumbe nawe ni mjinga kabisa huna hata akili ya kuazimwa, yani watu watoke nje waje kuwekeza kwetu na biashara sisi ndo soko lao afu bado waajiri wasomi tulionao kwa kuwanyanyasi na mengineyo! we kumbe ni mjinga sana, nina wasiwasi na uzao wako
 
Ndahani hawa wafanyakazi wa Voda ni typical tatizo la akili za ki TZ,..
unaibaje pesa halafu uanzishe shule?
au ujenge nyumba ya kumshtua CEO wako?
ukijenga shule na wewe taaluma ni masuala ya communication hiyo akili au matope?
hivi kwa nini wasingeungana na kununua hisa?
au kuinunua sasatel ambayo ina struggle?

sasa barua wizarani inasaidia nini??????

The Boss, unajua nashangaa sana inakuwaje watu wengi wanasoma halafu wanatoka shule bila educated mind...they can't change the formation of the game by crying loud like little babies. Mabepari wanakuja kuvuna...shule ingetusaidia kuonyesha tofauti. We should aim to match them in our own way. Eti leo tunaona kuandika mabarua marefu marefu ndio itatusaidia....ngoja nione. but for sure we waste time, talents and life by approaching life with complaints. Nobody pay attention to them.
 
Last edited by a moderator:
tunazungumzi watu waliokuwa kwenye ajira, ishu ya kuajiriwa na kuto kuajiriwa ni nyingine kabisa! tunazungumzia work environment chini ya wageni! we kumbe nawe ni mjinga kabisa huna hata akili ya kuazimwa, yani watu watoke nje waje kuwekeza kwetu na biashara sisi ndo soko lao afu bado waajiri wasomi tulionao kwa kuwanyanyasi na mengineyo! we kumbe ni mjinga sana, nina wasiwasi na uzao wako

markj, wakati ule tunasoma vipanga wengi kwenye masomo ya science na hesabu kama nyinyi walikuwa wanasomea kufanya kazi vodacom! Na bado mnaendeleza vipaji vyenu...wengine slow tunakwenda...mwendo mdundo.hata ukiniitaje hutabadili ukweli kwamba NSN na Vodacom siyo vya kwenu. Mkitaka vyeo muanzishe kampuni zenu mjiite vyovyote mnavyotaka. Kulialia kwenye kampuni za watu sio suluhisho. Namsifu mtoa mada kwa kuwa mkweli kwa nafsi yake. wewe endelea kusubiri kuwa CEO wa NSN au Vodacom, teh teh teh!
Wawekezaji hata Ulaya na Marekani wanaamua kufanya wanayotaka ndani ya kampuni zao, ndo itakuwa Tanzania?
 
Last edited by a moderator:
Hii Habari ilivyokuwa ndefuuu daaahhh........ushauri wangu, chukua Hii Habari ilivyo Halafu mpelekee mzee Yusuph, nadhani itakamilisha album nzima
 
Ukisoma vizuri between the lines utaelewa vizuri ni jinsi gani watanzania walivyo. Hapa baada ya ukweli kujulikana utawajua kweli watanzania. Asilimia kubwa ni wanafiki. Wanalaumu sana viongozi wa siasa. Lakini kumbe kila mtu ni fisadi hila level inatofautiana kulingana na amekaa nafasi ipi. Mwingine kwenye nafasi yake anapiga elfu tano (asilimia ya mapato yake). Mwingine laki tano, mwingine milioni tanio.

Hali hii inatisha na inaonyesha tanzania ni nchi yenye risk kubwa katika uwekezaji. Hili ni suala zima linalotakiwa kuonwa na policy maker wakaliwekea sheria. Haiwezekani ukaiba Voda/NSN ukaanzisha kampuni na ukaonekana ni mwema tena unapambana na ufisadi.


Wale watoa vitambulisho vya taifa please fanya haraka tusaidie vizazi vijavyo. Uroho wetu utasababisha wawekezaji wakose imani na nchi yetu.

well said mkuu KakindoMaster.

umenikumbusha falsafa aliwahi kuitoa Jenerali Ulimwengu some years back katika gazeti la RAI kabla ya habari Copr haijanunuliwa na RA....tumejenga utamaduni wa kila mtu anachoma kamuhogo kake kwenye kona yake na jiko lake tena katika nyumba ya nyasi...moto ukilipuka sote tunaangamia na hicho ndiyo kimewakuta hao jamaa wa voda.

kila mtu kwa nafasi yake alikuwa anawaza kupiga..sasa mambo yamegeuka wametahayari na kuanza kunyoosheana vidole!
 
markj, wakati ule tunasoma vipanga wengi kwenye masomo ya science na hesabu kama nyinyi walikuwa wanasomea kufanya kazi vodacom! Na bado mnaendeleza vipaji vyenu...wengine slow tunakwenda...mwendo mdundo.hata ukiniitaje hutabadili ukweli kwamba NSN na Vodacom siyo vya kwenu. Mkitaka vyeo muanzishe kampuni zenu mjiite vyovyote mnavyotaka. Kulialia kwenye kampuni za watu sio suluhisho. Namsifu mtoa mada kwa kuwa mkweli kwa nafsi yake. wewe endelea kusubiri kuwa CEO wa NSN au Vodacom, teh teh teh!
Wawekezaji hata Ulaya na Marekani wanaamua kufanya wanayotaka ndani ya kampuni zao, ndo itakuwa Tanzania?

hawa ni mambwiga tu! na ndo mana mimi sitaki kazi kampu ni zao, kuna hawa tigo si unaona wanajifanya saivi wao ndo wao, basi soooooon tu! utaona litakalotokea! we ngoja mie naendelea ku brush viatu posta tu hapa na pata pesa ya kusukuma maisha
 
markj, wakati ule tunasoma vipanga wengi kwenye masomo ya science na hesabu kama nyinyi walikuwa wanasomea kufanya kazi vodacom! Na bado mnaendeleza vipaji vyenu...wengine slow tunakwenda...mwendo mdundo.hata ukiniitaje hutabadili ukweli kwamba NSN na Vodacom siyo vya kwenu. Mkitaka vyeo muanzishe kampuni zenu mjiite vyovyote mnavyotaka. Kulialia kwenye kampuni za watu sio suluhisho. Namsifu mtoa mada kwa kuwa mkweli kwa nafsi yake. wewe endelea kusubiri kuwa CEO wa NSN au Vodacom, teh teh teh!
Wawekezaji hata Ulaya na Marekani wanaamua kufanya wanayotaka ndani ya kampuni zao, ndo itakuwa Tanzania?

huyu jamaa nilie mdisi alikuwa anamaanisha wabongo hawana uwezo wa ku lead, yani hawana elimu hiyo kumbe sikweli, sema wamekosa muuongozo wakuwa na makampuni yao binafsi ya kitanzania
 
huyu jamaa nilie mdisi alikuwa anamaanisha wabongo hawana uwezo wa ku lead, yani hawana elimu hiyo kumbe sikweli, sema wamekosa muuongozo wakuwa na makampuni yao binafsi ya kitanzania

markj, mwisho wa siku tujaribu kutumia nguvu za kutuunganisha kuliko kututenganisha. Dawa yao hawa ni kuwabana ili tuwe part of whatever they do...kuajiriwa watatunyanyasa tu
 
Umechambua vizuri sana kiongozi. Hata mm na elimu yangu ya darasa la 7 nimelewa nini kinaendelea ndani VODACOM KAZI NI KWAKO. Nawashangaa hao wengine wanaona uvivu kuisoma habari. Tatizo sio mtu kuiba then afungue Kampuni yake binafsi. Tatizo watanzania tunapenda kushauri watu kwenye ofisi kuanzisha harakati ya kitu fulani, lakini muda ukifika umepewa usukani wa uongozi unaanza kuwadharau na kuwasahau wenzako waliopigania hizo harakati. Mwisho inakuja kuonekana bora MDHUNGU aendelee kutawala.
 
Back
Top Bottom