Wafanyakazi wa Vodacom na NSN mmejiponza wenyewe. Msitafute mchawi wenu. Ni nyinyi wenyewe.

Laigwanan, Jamaakawaweza kinoma nasikia, Nyeti zinatonya wakati ule wa shinda mkoko head wafleet ndo aliingia mkataba na ile kampuni ya magari, cost ya gari moja cozalinunua in bulk ikawa km m6 hivi lkn kampuni ikalipia twice ya 12m so kilagari jamaa akapiga chake m6. nasikia alikula km 90m pamoja na discount, chaajabu yule jamaa akakamata kimda pale pale voda akajengea gorofa mbezi beachmkewe hata kuendesha gari la mmewe hajui, jamaa walimtema. hapo hapo fleetjamaa walishawahi lipia bima feki magari yote ya voda mpaka gari ya MD. siku yasiku walipata ajali barabarani trafik anacheki bima feki, MD akaamuru magariyote yakaguliwe na yakakutwa bima zote feki yule jamaa aliyehusika walahakubisha aka resign mwenyewe, aibu eenh. Hayo magari mliyokuwa mnayaonayalikuwa yamekodiwa na voda toka kampuni ta TANZUK na wala voda haikununua, sowatu wa fleet wakaendelea KULA. Chanzo changu kinalalamika kuwa Huko fleet nihatari sana, kuna jamaa alishawahi zawadiwa Nissan patrol kwa ajili tuanapeleka magari ya Voda service kwenye gereji flani pale Temeke. chanzo hikikimeshiba sana eti sasa ulaji mkubwa upo mpesa watu wanapiga mpaka bilioni,hebu ngoja nibebembeleze huyu kid halafu huenda nikarudi tena
 
•Managed Service aka Outsourcing
Lakini wakifanya retrenchment si mtalipwa hela? Mbona mwanzo wakati mnatoka voda kwenda nsn mlilipwa mishaara mi5? Msiogope nsn maisha sio voda tu,huyo tajiri aliyeacha kazi voda akaanzisha kampuni si ndio huyo mwenye MAKTECH?
•naungana na wewe bora watawale wazungu maana wabongo wakipewa nafasi yani ni manyanyaso tu,ufitini ubabaishaji tu,kuna wengine wanafanya juu chini wakufukuze kazi alete ndugu yake! Full **** bora wazungu waendelee kuwa Directors,HOD,Snr Managers,CEOs etc

Hii ilikua kwa mwezi au kama kiinua mgongo?
 
Nyie Magwanda si ndiyo huwa mko mbele kuwatetea wanyonge. Sasa mbona kwenye hili la Voda. mko nyuma na kujifanya kuanza kuulizia chama cha wafanyakazi? Au huwa wema wenu unaonekana tu mkisikia mtu ametekwa na kutupwa Mapwepande? Onyesheni roho yenu nzuri kwa hawa jamaa basi ili muonekane kuwa nyie ni watetea haki za wanyonge wa ukweli.

Watu wengine bwana...
Wakituletea malalamiko yao tutayashughulikia. Hata hivyo ninafuatilia habari hizi kwa karibu sana ili nipate pa kuanzia kwakuwa najua nina wapiga kura wengi sana hapo vodacom.

Kama wewe una taarifa zao unaweza kuziwasilisha kwangu ili kurahisisha kazi.
 
Laigwanan, Jamaakawaweza kinoma nasikia, Nyeti zinatonya wakati ule wa shinda mkoko head wafleet ndo aliingia mkataba na ile kampuni ya magari, cost ya gari moja cozalinunua in bulk ikawa km m6 hivi lkn kampuni ikalipia twice ya 12m so kilagari jamaa akapiga chake m6. nasikia alikula km 90m pamoja na discount, chaajabu yule jamaa akakamata kimda pale pale voda akajengea gorofa mbezi beachmkewe hata kuendesha gari la mmewe hajui, jamaa walimtema. hapo hapo fleetjamaa walishawahi lipia bima feki magari yote ya voda mpaka gari ya MD. siku yasiku walipata ajali barabarani trafik anacheki bima feki, MD akaamuru magariyote yakaguliwe na yakakutwa bima zote feki yule jamaa aliyehusika walahakubisha aka resign mwenyewe, aibu eenh. Hayo magari mliyokuwa mnayaonayalikuwa yamekodiwa na voda toka kampuni ta TANZUK na wala voda haikununua, sowatu wa fleet wakaendelea KULA. Chanzo changu kinalalamika kuwa Huko fleet nihatari sana, kuna jamaa alishawahi zawadiwa Nissan patrol kwa ajili tuanapeleka magari ya Voda service kwenye gereji flani pale Temeke. chanzo hikikimeshiba sana eti sasa ulaji mkubwa upo mpesa watu wanapiga mpaka bilioni,hebu ngoja nibebembeleze huyu kid halafu huenda nikarudi tena

Maneno yako yanaelekea kujaa ukweli, tatizo umeandika na haraka kama vile unakimbizwa. Nadhani ukitulia kidogo tu utaeleweka vizuri sana.
 
Ukisoma vizuri between the lines utaelewa vizuri ni jinsi gani watanzania walivyo. Hapa baada ya ukweli kujulikana utawajua kweli watanzania. Asilimia kubwa ni wanafiki. Wanalaumu sana viongozi wa siasa. Lakini kumbe kila mtu ni fisadi hila level inatofautiana kulingana na amekaa nafasi ipi. Mwingine kwenye nafasi yake anapiga elfu tano (asilimia ya mapato yake). Mwingine laki tano, mwingine milioni tanio.

Hali hii inatisha na inaonyesha tanzania ni nchi yenye risk kubwa katika uwekezaji. Hili ni suala zima linalotakiwa kuonwa na policy maker wakaliwekea sheria. Haiwezekani ukaiba Voda/NSN ukaanzisha kampuni na ukaonekana ni mwema tena unapambana na ufisadi.


Wale watoa vitambulisho vya taifa please fanya haraka tusaidie vizazi vijavyo. Uroho wetu utasababisha wawekezaji wakose imani na nchi yetu.
 
Hii ndio Tanzania! "Wenyeji wanathaminiwa" kuliko wageni!! Kwa maana mtu mwenye masters kuwa chini ya mwenye diploma dah! ni zaidi ya kudhalilishwa! Labda kama master yenyewe ni ya kusomea cheti!!!
 
Du You Tube kali inafaa kwa kupotezea muda baada ya kukasirika jinsi wenzetu mnavyosalitiana.
Huku kwetu kuna kamjamaa kamepata kazi ya ulinzi wa hii minara hadi Mkoa wa Ruvuma kuanzia njia ya Kilimanjaro (Moshi, Same, Segera Chalinze hadi Singida) akaweka na nduguze km mameneja, sasa mshahara akawapunja Wale wa Songea wao walikuwa na mwingine kabla wakalibumbulua. Alibidi aje tajiri toka S. Africa ndio tukajua kumbe Voda hela ipo na inakaliwa wa wenzetu, Acheni wazungu waendeshe wenyewe
 
Laigwanan, Jamaakawaweza kinoma nasikia, Nyeti zinatonya wakati ule wa shinda mkoko head wafleet ndo aliingia mkataba na ile kampuni ya magari, cost ya gari moja cozalinunua in bulk ikawa km m6 hivi lkn kampuni ikalipia twice ya 12m so kilagari jamaa akapiga chake m6. nasikia alikula km 90m pamoja na discount, chaajabu yule jamaa akakamata kimda pale pale voda akajengea gorofa mbezi beachmkewe hata kuendesha gari la mmewe hajui, jamaa walimtema. hapo hapo fleetjamaa walishawahi lipia bima feki magari yote ya voda mpaka gari ya MD. siku yasiku walipata ajali barabarani trafik anacheki bima feki, MD akaamuru magariyote yakaguliwe na yakakutwa bima zote feki yule jamaa aliyehusika walahakubisha aka resign mwenyewe, aibu eenh. Hayo magari mliyokuwa mnayaonayalikuwa yamekodiwa na voda toka kampuni ta TANZUK na wala voda haikununua, sowatu wa fleet wakaendelea KULA. Chanzo changu kinalalamika kuwa Huko fleet nihatari sana, kuna jamaa alishawahi zawadiwa Nissan patrol kwa ajili tuanapeleka magari ya Voda service kwenye gereji flani pale Temeke. chanzo hikikimeshiba sana eti sasa ulaji mkubwa upo mpesa watu wanapiga mpaka bilioni,hebu ngoja nibebembeleze huyu kid halafu huenda nikarudi tena
NCHI YA MAFISADI...! Ndio maana VODA WAMENIWEKEA WIMBO AMBAO SIKUJIUNGA NA WAMEKATA!!! sasa kama wamekata kwa wateja 500,000 zitakuwa zimetosha!!

SITOSHANGAA HAOHAO UCHAGUZI UJAO WAKAWA MAJUKWAANI KWENYE DEAL LA SIASA NA KUUSEMA UFISADI! Tanzanoo nakupendo kwa moyo wote!
 
mmmmh kupata kazi hapo sijui fujo zake inaonekana pana hela kuliko tra,bot
 
Ungefupisha maelezo yako. Si kila mtu ni mpenzi wa kusoma maelezo mareeeeeefu yasiyokuwa na umuhimu kwake.

Kuna baadhi ya watu ukitaka kuwaficha kitu wewe kiweke kwenye maandishi.............. Issue hapa si upenzi wa jambo, bali unyeti wake.
 
Ungefupisha maelezo yako. Si kila mtu ni mpenzi wa kusoma maelezo mareeeeeefu yasiyokuwa na umuhimu kwake.
Acha hizo,hukuombwa usome wewe ni miongoni mwa watu ambao kufikiri kumefika mwasho sasa unalazimisha.Postively wewe ni mwigulu mwichemba tu?
 
Aloandika inaelekea amefanya kazi muda mrefu sana bila kupandishwa cheo ..(sometime ukipiga siasa vizuri kazini ""Kuongea"" na Kupamba mail " watu/management ndo wanajua unafanya kazi kumbe sio)..any .kama NSN watafanikiwa kucentralize MS India .then watu wengi wataenda na maji kwa mfano hakuna haja ya kuwa na OSS/BSS,NOC,IN engineer tanzania tena.
wanoweza kubaki ni RNO na wachache wa field ambao na wenyewe am very sure watauzwa kwa subcontractors wa kihindi .NSN watahitaji kubakiza probably mtu mmoja tu kila section ambae atakuwa ana interact na customer /subcontactor .
 
uvivu wa kusoma vizuri ..mnaungaunga vi diploma vyemu fountain college afu mnataka mpewe udirekta..kwenda kule
 
I see! Ufisadi kila mtu naona anao kwa nafasi yake. Sijui kitu gani kifanyike watz tuweze kutumia vizuri madaraka tunayopewa.
 
Back
Top Bottom