Wafanyakazi wa ndani wapo na tunakuletea mpaka nyumbani kwako

Neo-slave trade.
Tanzania kiukweli bado tupo kwenye utawala wa kikoloni hakuna ukombozi bado.
na Nyerere alisema hili kama ww ni mwafrika lakini unavitendo vya kikaburu na ww ni kaburu tu.

maana halisi ya utumwa ni biashara ya kuuza na kununua watu.lakini sisi hatuuzi watu.tunawaunganisha wasionacho ili na wenyewe angalau wakagawane na wale mungu aliowabariki kuwa nacho.hata wewe hapo ajira uliyonayo kuna kitu kilikuunganisha eidha gazeti,radio au mtu na ukafanikiwa kupata hiyo.ni watanzania wangapi wanapitia hapa JF kuomba kazi?usiwanyime riziki wale ambao hawajiwezi na utafute njia na wewe uwe daraja la kuwakomboa kama JOYCE KIRIA
 
Neo-slave trade.
Tanzania kiukweli bado tupo kwenye utawala wa kikoloni hakuna ukombozi bado.
na Nyerere alisema hili kama ww ni mwafrika lakini unavitendo vya kikaburu na ww ni kaburu tu.

safi sana,kwa kumkoti baba wa taifa.ila kutokana na muundo wa serikali yetu,kama ningelikuwa nafanya biashara ya utumwa wallah ningekuwa segerea muda huu na hata hizi comment za watanzania nisingeweza jibu
 
Slave trade

ninachopenda kuwaomba watanzania tubuni njia zilizo za kisheria kuweza kuajiajiri.mfano upande wangu mimi ijapokuwa na elimu yangu ya juu na kuajiliwa na serikali nimeona ni bora kubuni njia mbadala ya kuweza kuwasaidia wengne kupata ajira kama mimi.watanzania naomba tubuni njia nying za kuongeza ajira na sio kuishia kukashifu mazuri wayafanyo wengne
 
Ajira milioni moja za jk

bara la afrika tuna ajira nyingi sana ila ni ubunifu tu unatushinda.mfano sidhani kama kuna mtu ambae atashindwa kuanzisha kampuni ya usafi,ambayo utaweza pata fedha zaidi na hata kutoa ajiri nying kwa watanzania.pia nadhani huwez ukashindwa kuanzisha kampuni ya udalali wa uuzaji magari na hata mashamba na viwanja.mimi si ccm wala chadema wala chama chochote kile ila tunaweza kujiajiri na kuanzisha ajira nying sana kwa watanzania
 
Kuna makampuni yalichepuka miaka ya nyuma, wakawa wanakupa mtu anakaa mwezi mmoja, anaondoka anapelekwa kwa mwingine..hela hurudishiwi.
 
Ajira za watoto zinapgwa vita hata UN. Usikute ukaletewa mfanyakazi akiwa ananyonyesha.
 
revolunary idea huwa ngumu sana kuwafikia watu wenye utambuzi hafifu.hata wanasayansi wanapogundua kitu,baadhi ya watumia husita kutumia,mfano mzuri husianisha matumizi ya kondom yanavyopingwa na baadh ya watu na kusema kuwa huwa zinavirus.change your mind and digitika
Bw. Issa, sijapendezwa na jinsi ulivyomjibu huyo bwana baada ya kueleza hali halisi ambayo binafsi nilitegemea ungechukua kama changamoto ya kuboresha huduma yako hiyo.
Hata hivyo umesema mteja atapatiwa mfanyakazi toka mkoa wowote anaopenda. Napenda kufahamu yafuatayo;
1. Nikihitaji atokaye labda mkoa A, ndio mnamtafuta na kumleta DSM kisha mnamfundisha ndio mnaniletea?
2. Katika kumtafuta huko mkoani, mnachagua kulingana na hitaji langu hukohuko mfano, nahitaji aliyehitimu kidato cha 4, asiwe na mtoto.
3. Mshahara anapanga yeye au nyie? Gharama/nauli mnalipa nyie au nitatakiwa kutoa kwanza ndio afuatwe? Niliwahi kudaiwa nauli ya kumsafirisha msichana kutoka Njombe kumbe alikuwa mtaa wa pili toka nilipo. Aliondoka ndani ya masaa 72 tangu afike.
kwa sasa ni hayo tuuuu
 
kampuni ya FAST and FASTA inapenda kukufahamisha ewe mtanzania kuwa,tunatoa mafunzo ya wafanyakazi wa ndani na pia tunaweza kukuletea mfanyakazi kutoka mkoa wowote unaotaka mpaka nyumbani kwako.tupo tegeta kwa ndevu.tupigie 0762935154 au 0653218728

Mnawapatia "police clearence"?
 
Bw. Issa, sijapendezwa na jinsi ulivyomjibu huyo bwana baada ya kueleza hali halisi ambayo binafsi nilitegemea ungechukua kama changamoto ya kuboresha huduma yako hiyo.
Hata hivyo umesema mteja atapatiwa mfanyakazi toka mkoa wowote anaopenda. Napenda kufahamu yafuatayo;
1. Nikihitaji atokaye labda mkoa A, ndio mnamtafuta na kumleta DSM kisha mnamfundisha ndio mnaniletea?
2. Katika kumtafuta huko mkoani, mnachagua kulingana na hitaji langu hukohuko mfano, nahitaji aliyehitimu kidato cha 4, asiwe na mtoto.
3. Mshahara anapanga yeye au nyie? Gharama/nauli mnalipa nyie au nitatakiwa kutoa kwanza ndio afuatwe? Niliwahi kudaiwa nauli ya kumsafirisha msichana kutoka Njombe kumbe alikuwa mtaa wa pili toka nilipo. Aliondoka ndani ya masaa 72 tangu afike.
kwa sasa ni hayo tuuuu

habari ndugu yangu.asante kwa maswali mazuri ila naomba unipigie au nibip nikupe maelezo zaidi
 
Bw. Issa, sijapendezwa na jinsi ulivyomjibu huyo bwana baada ya kueleza hali halisi ambayo binafsi nilitegemea ungechukua kama changamoto ya kuboresha huduma yako hiyo.
Hata hivyo umesema mteja atapatiwa mfanyakazi toka mkoa wowote anaopenda. Napenda kufahamu yafuatayo;
1. Nikihitaji atokaye labda mkoa A, ndio mnamtafuta na kumleta DSM kisha mnamfundisha ndio mnaniletea?
2. Katika kumtafuta huko mkoani, mnachagua kulingana na hitaji langu hukohuko mfano, nahitaji aliyehitimu kidato cha 4, asiwe na mtoto.
3. Mshahara anapanga yeye au nyie? Gharama/nauli mnalipa nyie au nitatakiwa kutoa kwanza ndio afuatwe? Niliwahi kudaiwa nauli ya kumsafirisha msichana kutoka Njombe kumbe alikuwa mtaa wa pili toka nilipo. Aliondoka ndani ya masaa 72 tangu afike.
kwa sasa ni hayo tuuuu

Kumbe nawe ni mhanga wa kudaiwa nauli na mtu aliye mtaa wa pili then akasepa ndani ya muda mfupi
 
maana halisi ya utumwa ni biashara ya kuuza na kununua watu.lakini sisi hatuuzi watu.tunawaunganisha wasionacho ili na wenyewe angalau wakagawane na wale mungu aliowabariki kuwa nacho.hata wewe hapo ajira uliyonayo kuna kitu kilikuunganisha eidha gazeti,radio au mtu na ukafanikiwa kupata hiyo.ni watanzania wangapi wanapitia hapa JF kuomba kazi?usiwanyime riziki wale ambao hawajiwezi na utafute njia na wewe uwe daraja la kuwakomboa kama JOYCE KIRIA

kama hufanyi biashara ya kuuza watu je unafaidika na nini kwenye hyo kazi?
 
Back
Top Bottom