Wadau wa Kampala University tukutane hapa

taarifa za habari ..mitandao . redio...magazeti yana post matatzo ya vyuo hivi lakini stil mtu ana apply duuh mna roho ngumu
 
Mimi nakushauri upige simu TCU kama ni Diploma piga Nacte ila uwaulize mwenyewe. Ila ukwli nikwamba ilipotokea migogoro tatizo kubwa lilikua ni usajiri board ya Afya ila waziri wa Elimu na wa Afya wote walikuja wakaongea na wanafunzi kwamba chuo kimesajaliwa, ila wanafunzi wengine walikua wanataka kuhama kwhiyo wakaendelea na kugoma baada ya hapo uongozi uliamua kufunga chuo upande wa Afya kwa week mbili na hapo ilikua kama wanafunzi wote wa Afya wamefukuzwa chuo ila ukitaka kurudi u download form yakuomba kurudishwa pia uahidi kwamba huta goma tena ukigoma tena sheria itachukua mkondo wake, wanafunzi wengi walijaza hiyo form wakarudi ndio hawajagoma tena. Ukwli nikwamba chuo kinatambulika na TCU na Nacte pia tatizo lilikua kwenye board ya pharmacy ndio ilikua inachelewesha usajiri. Kwa masomo ya Afya ada ni kubwa pale kwhiyo wanafunzi wengine walikua wanatami kuhamia vyuo vyenye ada nafuu ndio maana walikua wanaendeleza migomo kwsababu watu wa TCU, Nacte, Wizara ya Afya na Elimu walikuja kuongea nao kwamba hakuna tatizo lolote waendelee kusoma ila wao walikua wanasema wanataka wapelekwe vyuo vingine.

Nonsence. Mgogoro wa KIU huujui sababu yake. Ingewa Hatuna Ada tungeacha chuo na kuapply upya, mbona tumeapply tena mwaka huu na wengi tumeenda HKMU na St. Joseph Medicine. Hujui Matatizo ya KIU. Binafsi labda baada ya Miaka 3 KIU ndio kitakuwa Bora... Kwanini usiseme waliorudi chuo walikuwa na Marks chini yaani ufaulu mbovu ndio maana waliogopa kuja kuapply upya?
 
Ndio kama unaomba kupitia Nacte na TCU nikwamba kimesajiliwa tatizo lilikua board ya pharmacy tu, mwanzoni pia kulikua na course ya MPP ambayo walikua wanasoma semester nzima ambayo ni pre-medicene walikua wanasoma masomo ya Biology, Chemistry, physics na Maths ndio waligoma pia ndio uongozi ukapunguza mda badala yakusoma semester nzima unasoma nusuu semester kwsababu ukisoma hiyo course wanafunzi walikua wanamaliza miaka 5 na nusuu badala ya miaka 5.

Hujui chochote pia juu ya MPP???!!! MPP utasoma hadi English, nk na sio nusu semester tuliisoma semester nzima na kuilipia ada kama tumeeanza Medicine. Mbaya zaidi utafundishwa mengi ya O level... Ingawa baada ya sisi kugoma mtakaoenda mwaka huu mtapata ahueni!!!
 
Hilo swali upige semu kwenye hayo mabaraza husika, ila swali ninalotaka kuuliza ni hivi KIU mwaka huu ndio mwaka huu watapata wanafunzi wa diploma kupitia Nacte kwsababu mwaka jana walikua wanaomba mojamoja kwa moja, hayo matatizo kama bado yapo Nacte wengeweka chuo kuomba kupitia wao zaidi baada ya migogoro yote ambayo ilifika hadi bungeni? Mimi nasema kuliko kusikiliza habari mitaani ni vizuri kupiga simu Nacte au board husika utapata jibu.

Mnaijua vizuri KIU?!!! Pigeni simu.
 
By:
muzdalifa.
kuweni makini nawaasa maana ada no za kwenu ila kiukweli naumia sana mengine hatuwez kuandika humu ila tuwe makini cz naongea nimeshuhudia watu wanavyohangaika had I sasa sababu ya hiko chuo .Google upate detail za chuo ndo upige simu huko

Nashkuru mkuu kwa ushaur wako nitaufanyia kaz mapema nijue moja.#
Godbless you
 
watu walikuwa mwaka pili walitakiwa waende kuingia mwaka WA tatu wameamua waache chuo wakaombe diplom hamna MTU anaekukataza kwenda nenda ukajionee mwenyewe .but hakikisha cz unayoenda kusoma Kiu i natambulika na bord husika in short chuo kipo tz but mitaala in ya kiganda japo TCU waliapprove.nenda kasome si unataka Afya ennnnh utaipata

vipi kuhusu kozi nyingine....sheria ....biashara?????? ubovu uko pote
 
By:
muzdalifa.
kuweni makini nawaasa maana ada no za kwenu ila kiukweli naumia sana mengine hatuwez kuandika humu ila tuwe makini cz naongea nimeshuhudia watu wanavyohangaika had I sasa sababu ya hiko chuo .Google upate detail za chuo ndo upige simu huko

Nashkuru mkuu kwa ushaur wako nitaufanyia kaz mapema nijue moja.#
Godbless you

vipi kuhusu kozi nyingine ukiachilia mbali afya
 
Hujui chochote pia juu ya MPP???!!! MPP utasoma hadi English, nk na sio nusu semester tuliisoma semester nzima na kuilipia ada kama tumeeanza Medicine. Mbaya zaidi utafundishwa mengi ya O level... Ingawa baada ya sisi kugoma mtakaoenda mwaka huu mtapata ahueni!!!

vipi kuhusu kozi nyingine.......tusaidieni
 
Aisee wasomi wa kipindi hivhi wanamatatizo kweli simlisikia nyinyi chuo kinamigogoro sasa mumeomba ili iweje hasa katika upande wa afya kama umeomba fanya michakato ya kubadilisha chuo kwa kweli hakifai note kwa upande wa afyaaa
 
duuh! mm nme apply hapo cozi ya clinical medicn(CO).sasa yanayo zngumzwa humu yananivnja moyo maana hamna mweny uhakika na usajl wa hikitu.nimebak njia panda msaada wenu plz km yupo anaepga hiz cozi hapo atusaidie ndugu.

nasoma kiu health science( co) ee bwana kiu bado hapana uhakika 100% ila mawaziri walituambia tutatambulka kwa hyo tunaishi kwa imani tu kuwa watatutambua unajua kiu hakuna mwanafunzi aliyeajiriwa serikali kwa kozi za afya mwez nov. ndio kuna jamaa wanamalza tuone km wataajiriwa
 
nasoma kiu health science( co) ee bwana kiu bado hapana uhakika 100% ila mawaziri walituambia tutatambulka kwa hyo tunaishi kwa imani tu kuwa watatutambua unajua kiu hakuna mwanafunzi aliyeajiriwa serikali kwa kozi za afya mwez nov. ndio kuna jamaa wanamalza tuone km wataajiriwa

vipi kozi nyingine achana na afya......
 
By
xerophyte;
nasoma kiu health science( co) ee bwana kiu bado hapana uhakika 100% ila mawaziri walituambia tutatambulka kwa hyo tunaishi kwa imani tu kuwa watatutambua unajua kiu hakuna mwanafunzi aliyeajiriwa serikali kwa kozi za afya mwez nov. ndio kuna jamaa wanamalza tuone km wataajiriwa

ahsant sana nimekuelewa mkuu.vp kuhuc swala la ada au malipo yanayo itajika kwa mwaka n Tsh ngap?
 
Mkuu funguka tuu kama kimsajiliwa au hakijasaliwa katika mabaraza husika

Mimi nilikushauri kwamba upige simu kwenye mabaraza husika na sio chuo chenyewe hapa hutapata ukwli wowote wewe Google wizara ya afya tafuta namba za mabaraza husika piga simu huko upate uhakika hapa utapotoshwa bure.
 
jaman mna mioyo migumu sanaaaa kuelewaaaa eti eheeee chuo kimetangazwaaa sanaa hicho kibovu mabaraza yote yamegoma kusajil mpaka sasa nyie mnajidai mnakijua kiu kuliko sis ambao tumesoma pale tukaacha wakati hata majengo huyajuiii hayaaaa ww bishaaa nenda bana tutaona utasajiriwaa na nan hapa tanzania au utafanya kaz wap kwa ufupi unaapply vp chuo hujauliza kikovp tena kama kiu ambao takriban mwaka mzima vyombo vya habar vimetangaza kuhusu hicho chuo na kesi iko mahakaman ya hicho chuo kuhusu kutapeli wanafunziiii duuuuuuh watanzania kwel hiii ni BRN
 
jaman mna mioyo migumu sanaaaa kuelewaaaa eti eheeee chuo kimetangazwaaa sanaa hicho kibovu mabaraza yote yamegoma kusajil mpaka sasa nyie mnajidai mnakijua kiu kuliko sis ambao tumesoma pale tukaacha wakati hata majengo huyajuiii hayaaaa ww bishaaa nenda bana tutaona utasajiriwaa na nan hapa tanzania au utafanya kaz wap kwa ufupi unaapply vp chuo hujauliza kikovp tena kama kiu ambao takriban mwaka mzima vyombo vya habar vimetangaza kuhusu hicho chuo na kesi iko mahakaman ya hicho chuo kuhusu kutapeli wanafunziiii duuuuuuh watanzania kwel hiii ni BRN

labda hatuijui Kiu chuo kinahistoria ya mgomo kila mwaka toka 2011 had I mwaka 2015 so hats we ukienda tegemea mgomo wako.MTU anaweza kusema watu wanasema uongo hats miaka ya nyuma watu walikua wakiandika uzi wa kiu humu kilisemwa vibaya mno na watu hawakuamini hadi waende wakasome ndo waanze kulilia
 
Back
Top Bottom