Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,402
- 7,310
Alafu hili linamuhusu na Mgombea wa mkopo wa CDM, yaani akivaa kaunda kama kaazima kwa Kangi LugolaPia mwambie bwana yule wa magogoni apunguze kuvaa mi suti mikubwa mikubwa over size
Alafu hili linamuhusu na Mgombea wa mkopo wa CDM, yaani akivaa kaunda kama kaazima kwa Kangi LugolaPia mwambie bwana yule wa magogoni apunguze kuvaa mi suti mikubwa mikubwa over size
Pia mwambie bwana yule wa magogoni apunguze kuvaa mi suti mikubwa mikubwa over size
Hehee unalo bibi wee...nani asiejua jamaa na Harris lao moja hehehe mjini kutamuuAaaah jamani watu mna maneno khaa!! Sasa mnanichokoza warumi nimwage ubuyu kuhusu jamaa, na mnajua fika mie umbea nimeacha naona mnanibeep
Weka picha,mimi sijawahi muona niko huku Chemba ndani ndani hata TV Hakunaga.Pia mwambie bwana yule wa magogoni apunguze kuvaa mi suti mikubwa mikubwa over size
Huwa namshauri kila cku kaka angu aoe, angekuwa kashavuta jiko angalau angemsaidia swala la mavazi
Tujuze binamuHuyo jamaa humjui vizuri!!
Ukipata muda njoo kimara nikupeleke kwa wazaz wake ukaulize sam mahela kaoa liniHuyo jamaa humjui vizuri!!
Basi muulize Sam ramso wa mwanza ni nani kwakeUkipata muda njoo kimara nikupeleke kwa wazaz wake ukaulize sam mahela kaoa lini
Sasa unabisha nin, lin tulienda kula ubwabwa wa ndoa wa Sam mahela?? Tujitahid kumshawish jamaa avute jikoBasi muulize Sam ramso wa mwanza ni nani kwake
Kweli kabisa, anajipendekezaga Sana, naona anataka uDC kwa nguvu sanaApunguzage mbwembwe..
sometimes anajipendekezaga kwa serikali sjui anataka cheo gani?
mbavu zangu,Pia mwambie bwana yule wa magogoni apunguze kuvaa mi suti mikubwa mikubwa over size
Acheni mambo ya kufatilia watu,kila mtu na maisha yake,pia cha muhimu ni kazi yake anaifikisha vipi kwa jamii...ila swala la mavazi personality na vingine si muhimu,acheni kukurupuka..wake up you dumb'
Pia aache kujichubua hebu angalia mikono/vidole kwa makini then linganisha na uso.Leo niliamua kufanya utafiti hapa mtaani kwangu kwa mtindo wa kipima joto kuhusu mtangazaji nguli wa habari kutoka ITV.
Wadau wa habari nchini wamekuwa na maoni tofauti kuhusu swali la kipima joto lililouliza "tabia ya Sam Mahela kupenda kuvaa suti za kung'aa,je kunaharibu habari?"
Turudi studio kwa matokeo rasmi
Ndiyo:89%
Hapana:0%
Sijui:11%
Maoni
Mahela unajua kusoma habari vizuri ila tatizo unatuumiza macho watazamaji