Wadau wa habari wamemshauri Sam Mahela apunguze kuvaa suti za kung'aa

Pia mwambie bwana yule wa magogoni apunguze kuvaa mi suti mikubwa mikubwa over size

lissu.jpg
 
Aaaah jamani watu mna maneno khaa!! Sasa mnanichokoza warumi nimwage ubuyu kuhusu jamaa, na mnajua fika mie umbea nimeacha naona mnanibeep
Hehee unalo bibi wee...nani asiejua jamaa na Harris lao moja hehehe mjini kutamuu
 
Acheni mambo ya kufatilia watu,kila mtu na maisha yake,pia cha muhimu ni kazi yake anaifikisha vipi kwa jamii...ila swala la mavazi personality na vingine si muhimu,acheni kukurupuka..wake up you dumb'
 
Dah ni kweli hata sredi zisizokuhusu na za kimbea haina haja ya kuzichangia
Acheni mambo ya kufatilia watu,kila mtu na maisha yake,pia cha muhimu ni kazi yake anaifikisha vipi kwa jamii...ila swala la mavazi personality na vingine si muhimu,acheni kukurupuka..wake up you dumb'
 
Leo niliamua kufanya utafiti hapa mtaani kwangu kwa mtindo wa kipima joto kuhusu mtangazaji nguli wa habari kutoka ITV.
Wadau wa habari nchini wamekuwa na maoni tofauti kuhusu swali la kipima joto lililouliza "tabia ya Sam Mahela kupenda kuvaa suti za kung'aa,je kunaharibu habari?"
Turudi studio kwa matokeo rasmi
Ndiyo:89%
Hapana:0%
Sijui:11%
Maoni
Mahela unajua kusoma habari vizuri ila tatizo unatuumiza macho watazamaji
Pia aache kujichubua hebu angalia mikono/vidole kwa makini then linganisha na uso.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom